Nifanye nini ili niwe na mwanamke mwenye makalio makubwa?

Nifanye nini ili niwe na mwanamke mwenye makalio makubwa?

Unatafuta matatizo wewe rizika na ulicho nacho,siku ukipata kaswende na fungus uje utusumbue hospitali nzuri ni ip.
 
Unatafuta matatizo wewe rizika na ulicho nacho,siku ukipata kaswende na fungus uje utusumbue hospitali nzuri ni ip.
Kulizika tena.! Wakati motivation speaker wanatuambie tuzilizike kwenye mafanikio
 
Zigo![emoji39][emoji39][emoji39]
20190130_231150.gif
 
Ni vyema kutimiza hitaj la moyo wako..
Onyo; utakuwa na wivu/stress nying, coz ni wanawake ambao wanaangaliwa na watu na wanaume weng huwashobokea.
Kuna dada nilikuwa nae , ana tako kubwa kama ubungo mpaka kibaha. Stress zake sasa, aaagh, miez miwil tu nikaacha aende,.
ukikaa nae sehem macho yote kwenu, na kadhia kadhia nying, nikashindwa kuvumilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vyema kutimiza hitaj la moyo wako..
Onyo; utakuwa na wivu/stress nying, coz ni wanawake ambao wanaangaliwa na watu na wanaume weng huwashobokea.
Kuna dada nilikuwa nae , ana tako kubwa kama ubungo mpaka kibaha. Stress zake sasa, aaagh, miez miwil tu nikaacha aende,.
ukikaa nae sehem macho yote kwenu, na kadhia kadhia nying, nikashindwa kuvumilia

Sent using Jamii Forums mobile app

😂😂😂
 
Back
Top Bottom