Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

Pointyangu ni 1!uwekeze 1m alafu return upate laki8 kwa mwezi๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜...means200000@week!kha!...sijui hesabu labda
Hayo mambo watu wanafanya maybe kama huna uzoefu vyema na biashara ... nimekutolea mchanganuo kuhusu hiyo biashara ya pili watu huwa wanaingiza hiyo faida ya laki 2per week tu ... achilia mbali kuhusu hiyo humu kuna uzi unahusu biashara ya nazi toka tanga kwenda Zanzibar .. utafute uupitie uone watu wanavyoingiza pesa tena kwa mtaji mdogo tu wa laki 5
 


๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Šsawa!
 
mtaji wa milioni 1 faida 200,000 kwa wiki inawezekana au isiwezekane inategemea na aina ya biashara na muda wa uzalishaji.
 
Biashara bila usimamizi wa kutosha lazima ife
 
Mkuu kwenye Apps (Application) watu wanapiga elaa sana sikuizi, ningekushauri uangalie upande huo, watu wanapiga zaidi ya dollar 1000 kwa mwezi. Kama ukihitaji kujua zaidi kuhusu application nitafute hapa kiongozi 0692941440
 
Mkuu kwenye Apps (Application) watu wanapiga elaa sana sikuizi, ningekushauri uangalie upande huo, watu wanapiga zaidi ya dollar 1000 kwa mwezi. Kama ukihitaji kujua zaidi kuhusu application nitafute hapa kiongozi 0692941440


Namba iko whatsapp hii?
 
sio kama sitaki kukujibu lakini nafikiria bajeti ya milion moja afu baada ya miezi mbili uingize laki 8 kwa mwezi, dah


Sio miez mi2..ni mwezi 1 unalaki 8..ni kama ung'ang'anie 8-10 useme ni 2!never..wekeza mtaji mkubwa upate faida kubw!thts all
 
Habari zako pole na majukumu nnachoweza kuku saidia bila shida ni biashara ya leather sandles unaweza kuweka laki tano 500,000 laki moja tu ukatafuta meza na yakuanzia biashra sehemu ya population stend au nje ya soko pia unalipia kwa atakaekuuzia kipande kununu kwa ajili ya eneo la biashra biashara 400,000 una chukua mzigo pic 40 na pea siku tatu au nne umemaliza kila kiatu 13,000 tuu so piga 3000x40 120000 kwa wiki mara nne 480,000 kadri unavyo zidi ndio mtaji unakuwa namba zangu whats up call 0719818147/0687365045

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cheza biko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ