Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Na Mimi ngoja nimuone.
๐๐๐๐sijui kwann watu biashara za networkng hamzikomi๐๐๐..imagine ana ndugu wangap asiwasaidie hao๐๐๐๐..nawafurahia kweli aise
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Mimi ngoja nimuone.
Aliyeelewa naomba msaada coz nimetoka empty....!!!!Habari zako pole na majukumu nnachoweza kuku saidia bila shida ni biashara ya leather sandles unaweza kuweka laki tano 500,000 laki moja tu ukatafuta meza na yakuanzia biashra sehemu ya population stend au nje ya soko pia unalipia kwa atakaekuuzia kipande kununu kwa ajili ya eneo la biashra biashara 400,000 una chukua mzigo pic 40 na pea siku tatu au nne umemaliza kila kiatu 13,000 tuu so piga 3000x40 120000 kwa wiki mara nne 480,000 kadri unavyo zidi ndio mtaji unakuwa namba zangu whats up call 0719818147/0687365045
Sent using Jamii Forums mobile app
mi nimeongea tu biashara za networking ni kama ulokole kabisa.๐๐๐๐sijui kwann watu biashara za networkng hamzikomi๐๐๐..imagine ana ndugu wangap asiwasaidie hao๐๐๐๐..nawafurahia kweli aise
๐๐๐๐๐๐mi nimeongea tu biashara za networking ni kama ulokole kabisa.
Kweli we fundi kubomoa mi nishajaribu hivo nkahama mjini ni noma.kila siku unatafuta odds2 tu usitake nyingi unaweka dau la 200k Tsh's , kwa wewe ukifungua account mpya kwa 1st deposit bonus ni 50%-100% inategemea na kampuni utakayo jisajili ,kwa hiyo hapo unaamua utaweka vipi kama ukiweka 200k pasipo kuunga na bonus ukipuna faida ni 200k,(400K) .na kama utaunga pamoja na bonus ambayo ni 100k/200k ukiweka dau lote limasoma 300k-400k ,kwa hiyo hapo ukipuna ni kuanzia 600k-800k ,faida ni 300k-400k ,kwa siku moja au masaa kadhaa tu na kama live bet ni dakika kadhaa tu, na possibility ya kupuna kwa odds 2 hadi 1.5 ni 80% , karibu tumfirisi muhindi mzazi
Teh teh teh teh... Kamari haiachi mtu salama!Kweli we fundi kubomoa mi nishajaribu hivo nkahama mjini ni noma.
In short kamari haiwezi lipa kabisa, wewe acha kabisa.Teh teh teh teh... Kamari haiachi mtu salama!
Tarehe tayari mkuu... Embu funguka!Tuwasiliane ifikapo Tarehe 01/ 03/ 2019, Je kwanini iwe hiyo tarehe?? , Nina sababu.
Ndio yawezekana ukapata zaidi ya 200,000 kila wiki.
sikuzote wanaopunwa kwenye kamari ni wale wasiojua kucheza kamari kifupi kamari inahitaji mtajiTeh teh teh teh... Kamari haiachi mtu salama!
vipi mzee siyo mtaji bali kamari ni kamari na siyo biashara ilesikuzote wanaopunwa kwenye kamari ni wale wasiojua kucheza kamari kifupi kamari inahitaji mtaji
mkuu sijakupata hapa msaada nduguPilot Project - Inakamilika baada ya wiki mbili, Hio ndio sababu.
Tuwasiliane ifikapo Tarehe 01/ 03/ 2019, Je kwanini iwe hiyo tarehe?? , Nina sababu.
Ndio yawezekana ukapata zaidi ya 200,000 kila wiki.
Aliniambia kwamba pale kijijini kwao pili pili mtama kwa kg1, moja wanauza 2500 gharama za usafiri kwa kila kg1ni 500 so jumla 3000 .. ukifika sokoni Zanzibar unauza pili pili mtama kwa kila kg1 kwa tsh:3000,... ukipeleka mzigo wa laki 3, unauhakika wa kupata faida laki 3
Nunua handbags za kike, classic ,inakaa pc tatu au nne, znakuwa tofaut kabsa na zile zinazouzwa kkoo... Unanunua kwa 17,000 usafir 3500 kila handabag, jumla 20500...
Ww uza 28,000 jumla
Maana huku jumla wanauzaga 35 rejareja 40 hadi elfu 60..
Ukipost mitandaon utapata wateja kutoka mikoa weng na hapa dar kwa ajili iyo bei ndogo.
Kuuza handbags 20 kwa siku n kitu cha kawaida kabsa..
Au unawauzia wenye maduka unachukua order
Unapofata mzigo wa handbags unachanganya na vichwa vya kuuzia mawigi vinauzwa 1700 usafiri wa kila kochwa 2000 jumla 3700 kikifika Tanzania huwa vinauzwa 15,000 hadi 20,000
Pia changanya na midoli ya kuuzia nguo,
Inauzwa 17,000 usafiri 17,000 jumka 34,000 hapa tanzania inauzwa elfu 80 hadi 150,000.
Ningekuwa na capital mimi ningekuwa tajiri tayar daaa maana machimbo ya hivi vitu nayajua vzur
Sent using Jamii Forums mobile app
hayo ni mawazo yako ila gambling ni bonge la business ukilijuliavipi mzee siyo mtaji bali kamari ni kamari na siyo biashara ile
Sema nini jana guimare na maritimo wa Portugal wamechana mkeka aisee nimewapea over 1.5 wamepata goli moja mbwa wale daaha elfu 50 imepita.hayo ni mawazo yako ila gambling ni bonge la business ukilijulia
Ni kweli ila ni umakini na kuacha pupa.hayo ni mawazo yako ila gambling ni bonge la business ukilijulia
kila siku unatafuta odds2 tu usitake nyingi unaweka dau la 200k Tsh's , kwa wewe ukifungua account mpya kwa 1st deposit bonus ni 50%-100% inategemea na kampuni utakayo jisajili ,kwa hiyo hapo unaamua utaweka vipi kama ukiweka 200k pasipo kuunga na bonus ukipuna faida ni 200k,(400K) .na kama utaunga pamoja na bonus ambayo ni 100k/200k ukiweka dau lote limasoma 300k-400k ,kwa hiyo hapo ukipuna ni kuanzia 600k-800k ,faida ni 300k-400k ,kwa siku moja au masaa kadhaa tu na kama live bet ni dakika kadhaa tu, na possibility ya kupuna kwa odds 2 hadi 1.5 ni 80% , karibu tumfirisi muhindi mzazi
Wakuu hii hesabu hapa imekaaje.?????