Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

Mkuu nimekusoma uzuri na umejieleza uzuri sana. Mimi ni mfanyabiashara na napenda kuinvest vijipesa vidogo vidogo sehemu nyingi na kupata small return. Target yako ya kuinvest 1M na upate return ya 80% per month, though from up to a six month period, its 99.99% impossible. Unless iwe ni biashara haramu!
 
Mkuu nimekusoma uzuri na umejieleza uzuri sana. Mimi ni mfanyabiashara na napenda kuinvest vijipesa vidogo vidogo sehemu nyingi na kupata small return. Target yako ya kuinvest 1M na upate return ya 80% per month, though from up to a six month period, its 99.99% impossible. Unless iwe ni biashara haramu!
Haramu ukitusua mara moja achana nayo usije somewa ramani.
 
Nipo Dodoma, ni mfanyakaz pia. Nimekodi greenhouse, nimelima nyanya ya aina ndefu inaitwa Uwezo F1, kila alhamis ya kila wèek navuna kila zisizopungua 250, kila kwa sasa ni 1000 kwa wasambazaji wa hotels km Dodoma Carnival, Dodoma hotel na Fantasy village.
Karibu kwenye fursa ya kilimo mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unalimia dodoma wapi kiongozi...
 
Boda boda labda aendeshe mwenyewe boss


Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu BodaBoda zote unazoziona mtaani zinaendeshwa na wenyewe? Kama sio kwanini sasa bado zipo zinatembea? Inamaana wamiliki wanadhulumiwa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Biashara yoyote ile inahitaji Umakini,ukishakuwa makini mfatiliaji hakuna kitakachoharibika


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu kwenye Apps (Application) watu wanapiga elaa sana sikuizi, ningekushauri uangalie upande huo, watu wanapiga zaidi ya dollar 1000 kwa mwezi. Kama ukihitaji kujua zaidi kuhusu application nitafute hapa kiongozi 0692941440
Apps gani? Viewer wa Youtube au ndio zile ngonjera za Ad-sense
 
Nenda sehemu ilochangamka, kodi frem, tengeneza mazingira ya frem yako ipendeze (rangi, wallpapers nk) then ufanye biashara ya kuuza supu ya pweza pure.. Usisahau na udambwiudambwi wa kachori, ukwaju etc.. Ukinunua pweza wa elfu 60,hyo faida ya laki mbili ni lazima utapata..
Najua utapuuzia...
Hakikisha ktk hyo frem unavutia wateja kwa mandhari ya usafi na muhudumu awe wa kike... Na usiuze bei ghali.. Uza bei sawa na wale wa mtaani... Then utaleta mrejesho

Sent using Jamii Forums mobile app

Yani we ndiyo hujui kabisa.....Supu ya Pweza huwa inapendeza kwenye mazingira ya hovyohovyo...pale ndipo watu wanapiga pesa....nenda pale kwa Msisiri uone jamaa anavyopiga pesa ukilinganisha na mazingira yake
 
Nipo Dodoma, ni mfanyakaz pia. Nimekodi greenhouse, nimelima nyanya ya aina ndefu inaitwa Uwezo F1, kila alhamis ya kila wèek navuna kila zisizopungua 250, kila kwa sasa ni 1000 kwa wasambazaji wa hotels km Dodoma Carnival, Dodoma hotel na Fantasy village.
Karibu kwenye fursa ya kilimo mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujaeleza gharama na changamoto ulizopitia mkuu....maelezo yako yamekaa kichai chai
 
Wakuu!

Wasalaam!

najua kuna magreat thinker hapa, wanao uwezo wa kunishauri vyema,

Ni Hivi kutokana na sababu ambazo siwezi kuzielezea hapa kiundani, nimejikuta kwamba kama nisipokuwa na uwezo wa kuzalisha angalau 175,000 au approximately laki mbili kwa wiki, yaani wastani wa shillingi laki nane hivi kwa mwezi nje ya mshahara basi hesabu zangu za kujikwamua zitachelewa,

Ni HESABU ZA Kujikwamua kimaisha, sio kutoka, yaani namaanisha kufanya hivi ni lazima ili nijikwamue, kisha nikishajikwamua ndo nianze kupiga mahesabu ya kutoka kimaisha

Nina uwezo wa kuinject any amount kama capital lakini isizidi million 1. na sio lazima hizo return ziwe za haraka, yaani hata kama return za 200,000 kwa wiki zitaanza baada ya mwezi miezi miwili sio mbaya sana, cha muhimu ni kuwa within a period of six month from today, na kuendelea had miaka 6-7 mbele, ninapaswa kuwa na mradi nje ya mshahara unaoniingizia atleast 200,000 kwa wiki, na mradi huo usinigharimu zaid ya million kama mradi sasa, uwezo wa kuusimamia mimi pysicaly ni ijumaa, jumamosi na jumapili, lakini naweza weka mtu naemuamini, ninao few of them ambao wanaweza lipwa na mradi huo huo.

Naombeni sana mawazo weyu, wakuu, hali ya baba wa taifa sio nzuri, Huwa nakuwa mjanja mjanja sana kwenye hayo mambo ila hadi nimekuja hapa tambua nahitaji mawazo yako chanja

so kabla hauja fikiria kupuuzia, au kujibu upuuzi na kejeli au kuchukulia poa, jaribu kuvaa viatu vyangu japo hauvion vizuri kisha unijibu.

Asante
nENDA
Wakuu!

Wasalaam!

najua kuna magreat thinker hapa, wanao uwezo wa kunishauri vyema,

Ni Hivi kutokana na sababu ambazo siwezi kuzielezea hapa kiundani, nimejikuta kwamba kama nisipokuwa na uwezo wa kuzalisha angalau 175,000 au approximately laki mbili kwa wiki, yaani wastani wa shillingi laki nane hivi kwa mwezi nje ya mshahara basi hesabu zangu za kujikwamua zitachelewa,

Ni HESABU ZA Kujikwamua kimaisha, sio kutoka, yaani namaanisha kufanya hivi ni lazima ili nijikwamue, kisha nikishajikwamua ndo nianze kupiga mahesabu ya kutoka kimaisha

Nina uwezo wa kuinject any amount kama capital lakini isizidi million 1. na sio lazima hizo return ziwe za haraka, yaani hata kama return za 200,000 kwa wiki zitaanza baada ya mwezi miezi miwili sio mbaya sana, cha muhimu ni kuwa within a period of six month from today, na kuendelea had miaka 6-7 mbele, ninapaswa kuwa na mradi nje ya mshahara unaoniingizia atleast 200,000 kwa wiki, na mradi huo usinigharimu zaid ya million kama mradi sasa, uwezo wa kuusimamia mimi pysicaly ni ijumaa, jumamosi na jumapili, lakini naweza weka mtu naemuamini, ninao few of them ambao wanaweza lipwa na mradi huo huo.

Naombeni sana mawazo weyu, wakuu, hali ya baba wa taifa sio nzuri, Huwa nakuwa mjanja mjanja sana kwenye hayo mambo ila hadi nimekuja hapa tambua nahitaji mawazo yako chanja

so kabla hauja fikiria kupuuzia, au kujibu upuuzi na kejeli au kuchukulia poa, jaribu kuvaa viatu vyangu japo hauvion vizuri kisha unijibu.

Asante
Nenda Q-net
 
Back
Top Bottom