Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
Niko kwenye majaribio.mkuu mfumo bado haujaanza kufanya kazi au upo majaribioni now
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko kwenye majaribio.mkuu mfumo bado haujaanza kufanya kazi au upo majaribioni now
Mama kifusi.....sio kifurushi[emoji38]Hii ishu inawezekana sana, kuna mama ntilie aka mama "kifurushi"( huyu alikuwa anatupimia wali na ugali wa kushiba)mabibo hostel pale alikuwa anauza mpaka laki 3 kwa siku.gharama za uendeshaji kwa siku laki na nusu: mama ntilie yupo vizuri sasa kajenga nyumba nzuri ya kisasa tu mbezi- makabe. Kwaiyo sometym na location katika biashara inachangia sana.
[emoji23][emoji23]umenikumbusha kwa yule mama...Mama Kifusi miaka hiyoMama kifusi.....sio kifurushi[emoji38]
Those days!
Lazima uibe na kipindi hiki utafungwa !!!! Tamaa mbele mauti ..,,Wakuu!
Wasalaam!
najua kuna magreat thinker hapa, wanao uwezo wa kunishauri vyema,
Ni Hivi kutokana na sababu ambazo siwezi kuzielezea hapa kiundani, nimejikuta kwamba kama nisipokuwa na uwezo wa kuzalisha angalau 175,000 au approximately laki mbili kwa wiki, yaani wastani wa shillingi laki nane hivi kwa mwezi nje ya mshahara basi hesabu zangu za kujikwamua zitachelewa,
Ni HESABU ZA Kujikwamua kimaisha, sio kutoka, yaani namaanisha kufanya hivi ni lazima ili nijikwamue, kisha nikishajikwamua ndo nianze kupiga mahesabu ya kutoka kimaisha
Nina uwezo wa kuinject any amount kama capital lakini isizidi million 1. na sio lazima hizo return ziwe za haraka, yaani hata kama return za 200,000 kwa wiki zitaanza baada ya mwezi miezi miwili sio mbaya sana, cha muhimu ni kuwa within a period of six month from today, na kuendelea had miaka 6-7 mbele, ninapaswa kuwa na mradi nje ya mshahara unaoniingizia atleast 200,000 kwa wiki, na mradi huo usinigharimu zaid ya million kama mradi sasa, uwezo wa kuusimamia mimi pysicaly ni ijumaa, jumamosi na jumapili, lakini naweza weka mtu naemuamini, ninao few of them ambao wanaweza lipwa na mradi huo huo.
Naombeni sana mawazo weyu, wakuu, hali ya baba wa taifa sio nzuri, Huwa nakuwa mjanja mjanja sana kwenye hayo mambo ila hadi nimekuja hapa tambua nahitaji mawazo yako chanja
so kabla hauja fikiria kupuuzia, au kujibu upuuzi na kejeli au kuchukulia poa, jaribu kuvaa viatu vyangu japo hauvion vizuri kisha unijibu.
Asante
Siyo mil. 800 kweli, vipi ushamchangia sportpesa kitu maana waswahili wanasema mkono mtupu haulambwi..😂😂😂Jackpot ya SportPesa imefkia Millioni 700.
Changamka
Nunua handbags za kike, classic ,inakaa pc tatu au nne, znakuwa tofaut kabsa na zile zinazouzwa kkoo... Unanunua kwa 17,000 usafir 3500 kila handabag, jumla 20500...
Ww uza 28,000 jumla
Maana huku jumla wanauzaga 35 rejareja 40 hadi elfu 60..
Ukipost mitandaon utapata wateja kutoka mikoa weng na hapa dar kwa ajili iyo bei ndogo.
Kuuza handbags 20 kwa siku n kitu cha kawaida kabsa..
Au unawauzia wenye maduka unachukua order
Unapofata mzigo wa handbags unachanganya na vichwa vya kuuzia mawigi vinauzwa 1700 usafiri wa kila kochwa 2000 jumla 3700 kikifika Tanzania huwa vinauzwa 15,000 hadi 20,000
Pia changanya na midoli ya kuuzia nguo,
Inauzwa 17,000 usafiri 17,000 jumka 34,000 hapa tanzania inauzwa elfu 80 hadi 150,000.
Ningekuwa na capital mimi ningekuwa tajiri tayar daaa maana machimbo ya hivi vitu nayajua vzur
Sent using Jamii Forums mobile app
Nunua handbags za kike, classic ,inakaa pc tatu au nne, znakuwa tofaut kabsa na zile zinazouzwa kkoo... Unanunua kwa 17,000 usafir 3500 kila handabag, jumla 20500...
Ww uza 28,000 jumla
Maana huku jumla wanauzaga 35 rejareja 40 hadi elfu 60..
Ukipost mitandaon utapata wateja kutoka mikoa weng na hapa dar kwa ajili iyo bei ndogo.
Kuuza handbags 20 kwa siku n kitu cha kawaida kabsa..
Au unawauzia wenye maduka unachukua order
Unapofata mzigo wa handbags unachanganya na vichwa vya kuuzia mawigi vinauzwa 1700 usafiri wa kila kochwa 2000 jumla 3700 kikifika Tanzania huwa vinauzwa 15,000 hadi 20,000
Pia changanya na midoli ya kuuzia nguo,
Inauzwa 17,000 usafiri 17,000 jumka 34,000 hapa tanzania inauzwa elfu 80 hadi 150,000.
Ningekuwa na capital mimi ningekuwa tajiri tayar daaa maana machimbo ya hivi vitu nayajua vzur
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mkuu uweke milioni ,5.6 kwa faida ya 20 elfu kwa siku?Nunua Pikipiki mkuu Ifanye kuwa Boda boda kwa siku kipande Elfu 10 kwa wiki Elfu 70 mkuu Ukiwa nazo hata 2 sio mbaya Boda boda inalipa
Sent from my iPhone using JamiiForums
akitaka fx inawezekana ila ajipe mwaka mzima au miez si chini ya sita kujifunzaMkuu Usije ukashawishika Kubeti au Kutrade Forex Kaa mbali kabisa na Hizo Mambo
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni Bora labda ukanunua Boda used let say kwa 1.3m then unamkabidhi mtu kwa mkataba wa8 mths..hapa itakuletea 2 .4!Hivi mkuu uweke milioni ,5.6 kwa faida ya 20 elfu kwa siku?
Nashida na wewe Mkuu fungua pm plzNi Bora labda ukanunua Boda used let say kwa 1.3m then unamkabidhi mtu kwa mkataba wa8 mths..hapa itakuletea 2 .4!
PoaNashida na wewe Mkuu fungua pm plz
kibongo bongo kama unataka kununua boda hakikisha ina miez mi3 or less tangu inunuliwe....vinginevyo tenga kabisa pesa za matengenezo.....tena ukijichanganya ukanunua hz boxer za Mo au hz domo la mamba ndo imesisha hyooNi Bora labda ukanunua Boda used let say kwa 1.3m then unamkabidhi mtu kwa mkataba wa8 mths..hapa itakuletea 2 .4!
kibongo bongo kama unataka kununua boda hakikisha ina miez mi3 or less tangu inunuliwe....vinginevyo tenga kabisa pesa za matengenezo.....tena ukijichanganya ukanunua hz boxer za Mo au hz domo la mamba ndo imesisha hyoo
Ni bora mkuuNi Bora labda ukanunua Boda used let say kwa 1.3m then unamkabidhi mtu kwa mkataba wa8 mths..hapa itakuletea 2 .4!
haojue labda mkoan lakini sio dar hakuna abiria atapanda haojue yako aache tvs/boxerNamskia *haouajue* ndo brand Bora kwa sasa..sijui spelling zake poa...!
haojue labda mkoan lakini sio dar hakuna abiria atapanda haojue yako aache tvs/boxer
Dar na dodoma maeneo ya town boxer na tvs inatamba saba