Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

Hii ishu inawezekana sana, kuna mama ntilie aka mama "kifurushi"( huyu alikuwa anatupimia wali na ugali wa kushiba)mabibo hostel pale alikuwa anauza mpaka laki 3 kwa siku.gharama za uendeshaji kwa siku laki na nusu: mama ntilie yupo vizuri sasa kajenga nyumba nzuri ya kisasa tu mbezi- makabe. Kwaiyo sometym na location katika biashara inachangia sana.
Mama kifusi.....sio kifurushi[emoji38]
Those days!
 
Wakuu!

Wasalaam!

najua kuna magreat thinker hapa, wanao uwezo wa kunishauri vyema,

Ni Hivi kutokana na sababu ambazo siwezi kuzielezea hapa kiundani, nimejikuta kwamba kama nisipokuwa na uwezo wa kuzalisha angalau 175,000 au approximately laki mbili kwa wiki, yaani wastani wa shillingi laki nane hivi kwa mwezi nje ya mshahara basi hesabu zangu za kujikwamua zitachelewa,

Ni HESABU ZA Kujikwamua kimaisha, sio kutoka, yaani namaanisha kufanya hivi ni lazima ili nijikwamue, kisha nikishajikwamua ndo nianze kupiga mahesabu ya kutoka kimaisha

Nina uwezo wa kuinject any amount kama capital lakini isizidi million 1. na sio lazima hizo return ziwe za haraka, yaani hata kama return za 200,000 kwa wiki zitaanza baada ya mwezi miezi miwili sio mbaya sana, cha muhimu ni kuwa within a period of six month from today, na kuendelea had miaka 6-7 mbele, ninapaswa kuwa na mradi nje ya mshahara unaoniingizia atleast 200,000 kwa wiki, na mradi huo usinigharimu zaid ya million kama mradi sasa, uwezo wa kuusimamia mimi pysicaly ni ijumaa, jumamosi na jumapili, lakini naweza weka mtu naemuamini, ninao few of them ambao wanaweza lipwa na mradi huo huo.

Naombeni sana mawazo weyu, wakuu, hali ya baba wa taifa sio nzuri, Huwa nakuwa mjanja mjanja sana kwenye hayo mambo ila hadi nimekuja hapa tambua nahitaji mawazo yako chanja

so kabla hauja fikiria kupuuzia, au kujibu upuuzi na kejeli au kuchukulia poa, jaribu kuvaa viatu vyangu japo hauvion vizuri kisha unijibu.

Asante
Lazima uibe na kipindi hiki utafungwa !!!! Tamaa mbele mauti ..,,
 
Naombeni ushauri hapa kwangu Nina kaeneo hivi 20 kwa 20 hii biashara ya green house nikiweka kanyumba walau kamoja nikalima nyanya au hoho vizuri siwez pata kalaki 2 kwawiki wajameni maana nyanya na hoho mtaani nishida.
Wenye green house wanishauri hapa natafuta biashara bila mikwaju ya TRA nk.
 
Nunua handbags za kike, classic ,inakaa pc tatu au nne, znakuwa tofaut kabsa na zile zinazouzwa kkoo... Unanunua kwa 17,000 usafir 3500 kila handabag, jumla 20500...
Ww uza 28,000 jumla

Maana huku jumla wanauzaga 35 rejareja 40 hadi elfu 60..

Ukipost mitandaon utapata wateja kutoka mikoa weng na hapa dar kwa ajili iyo bei ndogo.

Kuuza handbags 20 kwa siku n kitu cha kawaida kabsa..

Au unawauzia wenye maduka unachukua order
Unapofata mzigo wa handbags unachanganya na vichwa vya kuuzia mawigi vinauzwa 1700 usafiri wa kila kochwa 2000 jumla 3700 kikifika Tanzania huwa vinauzwa 15,000 hadi 20,000

Pia changanya na midoli ya kuuzia nguo,
Inauzwa 17,000 usafiri 17,000 jumka 34,000 hapa tanzania inauzwa elfu 80 hadi 150,000.

Ningekuwa na capital mimi ningekuwa tajiri tayar daaa maana machimbo ya hivi vitu nayajua vzur

Sent using Jamii Forums mobile app

Hey dear hilo chimbo lipo wapi? Au kuna website unaijua?
 
Nunua handbags za kike, classic ,inakaa pc tatu au nne, znakuwa tofaut kabsa na zile zinazouzwa kkoo... Unanunua kwa 17,000 usafir 3500 kila handabag, jumla 20500...
Ww uza 28,000 jumla

Maana huku jumla wanauzaga 35 rejareja 40 hadi elfu 60..

Ukipost mitandaon utapata wateja kutoka mikoa weng na hapa dar kwa ajili iyo bei ndogo.

Kuuza handbags 20 kwa siku n kitu cha kawaida kabsa..

Au unawauzia wenye maduka unachukua order
Unapofata mzigo wa handbags unachanganya na vichwa vya kuuzia mawigi vinauzwa 1700 usafiri wa kila kochwa 2000 jumla 3700 kikifika Tanzania huwa vinauzwa 15,000 hadi 20,000

Pia changanya na midoli ya kuuzia nguo,
Inauzwa 17,000 usafiri 17,000 jumka 34,000 hapa tanzania inauzwa elfu 80 hadi 150,000.

Ningekuwa na capital mimi ningekuwa tajiri tayar daaa maana machimbo ya hivi vitu nayajua vzur

Sent using Jamii Forums mobile app

Hey dear hilo chimbo lipo wapi? Au kuna website unaijua?
 
Mrejesho mkuu leta tujifunze zaidi. Mtaani kugumu😀
 
Ni Bora labda ukanunua Boda used let say kwa 1.3m then unamkabidhi mtu kwa mkataba wa8 mths..hapa itakuletea 2 .4!
kibongo bongo kama unataka kununua boda hakikisha ina miez mi3 or less tangu inunuliwe....vinginevyo tenga kabisa pesa za matengenezo.....tena ukijichanganya ukanunua hz boxer za Mo au hz domo la mamba ndo imesisha hyoo
 
kibongo bongo kama unataka kununua boda hakikisha ina miez mi3 or less tangu inunuliwe....vinginevyo tenga kabisa pesa za matengenezo.....tena ukijichanganya ukanunua hz boxer za Mo au hz domo la mamba ndo imesisha hyoo

Namskia *haouajue* ndo brand Bora kwa sasa..sijui spelling zake poa...!
 
haojue labda mkoan lakini sio dar hakuna abiria atapanda haojue yako aache tvs/boxer

Dar na dodoma maeneo ya town boxer na tvs inatamba saba

Mzee nilikutana na haojue hii hapa Mwanza ata Boxer inasubiri
1.jpg
 
Back
Top Bottom