Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

Nifanye nini ili niweze kuingiza laki mbili kwa wiki nje ya mshahara?

kila siku unatafuta odds2 tu usitake nyingi unaweka dau la 200k Tsh's , kwa wewe ukifungua account mpya kwa 1st deposit bonus ni 50%-100% inategemea na kampuni utakayo jisajili ,kwa hiyo hapo unaamua utaweka vipi kama ukiweka 200k pasipo kuunga na bonus ukipuna faida ni 200k,(400K) .na kama utaunga pamoja na bonus ambayo ni 100k/200k ukiweka dau lote limasoma 300k-400k ,kwa hiyo hapo ukipuna ni kuanzia 600k-800k ,faida ni 300k-400k ,kwa siku moja au masaa kadhaa tu na kama live bet ni dakika kadhaa tu, na possibility ya kupuna kwa odds 2 hadi 1.5 ni 80% , karibu tumfirisi muhindi mzazi

Hii ni kama Kilimo cha Matikiti maji kwenye Makaratasi kama nadanganya Mkuu nipe bet history yako ya wiki hii ambayo kila siku ulikuwa unaweka odd 2 kwa 200k na ukamla Mfululizo! Ukiileta hiyo nitakuamini! Na mm nitaskusaidia kutoa ushawishi mkubwa watu wabeti


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii ni kama Kilimo cha Matikiti maji kwenye Makaratasi kama nadanganya Mkuu nipe bet history yako ya wiki hii ambayo kila siku ulikuwa unaweka odd 2 kwa 200k na ukamla Mfululizo! Ukiileta hiyo nitakuamini! Na mm nitaskusaidia kutoa ushawishi mkubwa watu wabeti


Sent from my iPhone using JamiiForums
Odd mbili zina chana kabisa
 
Hii ni kama Kilimo cha Matikiti maji kwenye Makaratasi kama nadanganya Mkuu nipe bet history yako ya wiki hii ambayo kila siku ulikuwa unaweka odd 2 kwa 200k na ukamla Mfululizo! Ukiileta hiyo nitakuamini! Na mm nitaskusaidia kutoa ushawishi mkubwa watu wabeti


Sent from my iPhone using JamiiForums
hahahahaa
 
Hii ni kama Kilimo cha Matikiti maji kwenye Makaratasi kama nadanganya Mkuu nipe bet history yako ya wiki hii ambayo kila siku ulikuwa unaweka odd 2 kwa 200k na ukamla Mfululizo! Ukiileta hiyo nitakuamini! Na mm nitaskusaidia kutoa ushawishi mkubwa watu wabeti


Sent from my iPhone using JamiiForums
poa endelea kusubiri ushuhuda nd uanze sawa
 
Lete mikeka uliyokula acha mboyoyo mingi Mkuu thibitisha kauli yako Mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Aisee mzee baba nimechoka kuattach maana kwa jf hakuna opt ya kumark so izi chache zinakutosha mkuu next time acha ubishi wa kiboya betting kuna watu wanatoboabna wengine wanaliwa so its depends with your fortune!
Screenshot_20181208-113453.jpg
Screenshot_20181208-120557.jpg
Screenshot_20181122-104026.jpg
Screenshot_20181122-062011.jpg
Screenshot_20181122-062036.jpg
Screenshot_20181117-091737.jpg
Screenshot_20181208-120604.jpg
Screenshot_20181208-131701.jpg
Screenshot_20181208-120550.jpg
Screenshot_20181117-091808.jpg
Screenshot_20181123-140236.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mzee baba nimechoka kuattach maana kwa jf hakuna opt ya kumark so izi chache zinakutosha mkuu next time acha ubishi wa kiboya betting kuna watu wanatoboabna wengine wanaliwa so its depends with your fortune!View attachment 1040626View attachment 1040627View attachment 1040629View attachment 1040630View attachment 1040631View attachment 1040633View attachment 1040634View attachment 1040635View attachment 1040636View attachment 1040637View attachment 1040638

Sent using Jamii Forums mobile app

Aaaaaah Kumbe ankai bhana Ulipotelea wapi Mkuu kitambo sana huonekani Kule


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwa watumiaji wa TemplerFx Tuma email hii sasa bila kuchelewa"tuma email kwenda support@templerfx.com,andika ivi please make my account under the agent 123796 my account no is andika no yako ya account ya mt4 bila password.Spread the Love. kwa maelekezo zaidi nicheck +255767913761(whatsapp only)
 
Kwa watumiaji wa TemplerFx Tuma email hii sasa bila kuchelewa"tuma email kwenda support@templerfx.com,andika ivi please make my account under the agent 123796 my account no is andika no yako ya account ya mt4 bila password.Spread the Love. kwa maelekezo zaidi nicheck +255767913761(whatsapp only)
Af iweje!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Idea ya laki 2 kwa wiki uza vilevi fungua bar, pub nzuri kama ya uwoya last minutes afu uone
 
Back
Top Bottom