Nifanye Nini Ili nizae watoto wazuri ?

Nifanye Nini Ili nizae watoto wazuri ?

Niamini mimi mkuu, tatizo sio sura yako, tatizo ni hiyo 'bullying' unayopitia.

Inakupa kinyongo, inakufanya ujichukie.

Tafuta namna ya kukabiliana na bullies wako, uondoe hiyo chuki na maumivu, utajikubali.

Nina uzoefu kama wako, kwenye suala la unene

I was bullied a lot kwasababu ya unene nikiwa mdogo, saivi ni kama nina vita na watu wanene, nikinenepa najichukia sana...
 
Si wanasema ubaya ubwela jamani 😆😆.

Anyway, but swala lako liko very subject kwa maana hayo mambo huwa ni probability sana so it's better ukaishi maisha yako pasi na kuskiliza maneno ya watu na kamwe usije ukaweka matarajio kwa huyo mtu utakae zaa nae eti kwamba atakubadilishia muonekano kuna wakati mambo yanafeli then utaishia kupata stress tu.

Kwanza usikute wewe ni mzuri ila watu walikua wanatumia hiyo kali ili wakumanipulate kwasababu waligundua wakikuambia hivyo unapoteza hali ya kujiamini.
 
Back
Top Bottom