Uchunjuba Punjubi
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 799
- 622
Hasira za nini mkuu, korosho zenu si zinanunuliwa na serikali au vipiPaka super black
Ndo ipi hiyo mkuutumia nta/wax ya kunyolea mavuzi
Hasira za nini mkuu, korosho zenu si zinanunuliwa na serikali au vipi
Upara unapakwa super black ili iweje mkuu, usipanic ugumu wa maisha ndo kipimo cha akiliHasira ziko wapi?
ulizia maduka makubwaNdo ipi hiyo mkuu
Upara unapakwa super black ili iweje mkuu, usipanic ugumu wa maisha ndo kipimo cha akili
Niiulizie kama bidhaa gani sasa mkuu, maana hilo jina ulilolisema halina stahaulizia maduka makubwa
shaving waxNiiulizie kama bidhaa gani sasa mkuu, maana hilo jina ulilolisema halina staha
Shukran mkuu, kama ipi sijuiTumia shampoo yenye aloe vera
Shukran mkuu, nikaulizie kwenye maduka makubwa ya vipodozi sio, huwa inasaidia kutoa vipele na makovu?shaving wax
Nenda supa maketi chukua shampoo then angalia imetengenezwa na nini?Shukran mkuu, kama ipi sijui
Sawa mkuuNenda supa maketi chukua shampoo then angalia imetengenezwa na nini?