Nifanye nini ili upara wangu uwe classic, ung'ae

Tafuta pesa utang'aa Hadi ngozi ya goti na pumbu
 
tumia nta/wax ya kunyolea mavuzi


Akifika dukani aulizie hivyo hivyo nta/wax ya kunyolea mavu***??!!😒

Kweli dunia imekwisha, hata tafsida umeshindwa, wewe hujui humu kuna watoto??!
 
Nasoma majibu ya humu nacheka tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…