Ndugu zangu, naomba ushauri huku nikiwa naona Aibu kwa niliyoyafanya lakini yashatokea [emoji116]
naomba msaada wenu kwa jambo zito ambalo nalipitia. Nina mwanamke ambaye nimezaa naye mtoto mmoja na yeye ana mdogo wake wa kike ambaye tulikuwa tunamazoea sana, mpaka ikafika mahali dada ake alipoona nikiongea naye, anakosa amani kabisa. Kwa bahati mbaya, baada ya mwaka kupita, mdgo wake aliondoka lakini amerudi tena mwaka huu.
baada ya kurudi tukajikuta tunchat na tunatumiana video vya hovyo hivyo . Mwezi uliopita siku moja tukatoka kwa siri na tukazini lakini sasa baada ya wiki tatu, akaniambia kuwa siku zake hazioni. nikamwmbia asubiri wiki 2 tuone, lakini juzi akajaribu kupima na akapata majibu kwamba kitu kimenasa. daaaaah nimemshauri hpa aote (aatoe mimba) lakini anasema anaogopa.
Naomba ushauli wenu japo nimefanya makosa hata naandika haya huku nikiona aibu sijui nifanye nini kwenye hali.
Sasa mimi nitaonekanaje kwenye familia yangu na yao nitaonekana mtu nisiefaa kabisa kwa maana hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufanya haya mambo, kwakuwa hakuna nikimwmbia asitoe hakutokuwa na siri tena hapo .
upo mkoa gani chif nikusaidie jamboNdio ukweli huo mkuu
Mkuu hapo inabidi uwe mpole uombe msamaha jishushe sema shetani alikupitia au ulikuwa umelewa (kama unatumia) .Nifanye
Hako kashemeji kana umri gani?Ushenzi wangu nini
Sitaki kabisa kukumbuka matatizo Kama haya, jamaa kazi anayopatrickk ushauri wako ni muhimu sana hapa Baba G'..!😂😂
Wote wawili wamekosea. Aliyetoa mborlo na aliyempa Quuma wote ni wakosefu, wapambane na aibu yaoKosa sio lako ni la huyo shemeji yako.
Mwambie azae watoto ni baraka.
kunywa sumu ujiue tu kijana wangu, usihangaike sana kuomba ushauri kwa upumbavu wako uloufanya ukiwa na akili timamu, mpuuzi kabisa wewe![emoji34]Ndugu zangu, naomba ushauri huku nikiwa naona Aibu kwa niliyoyafanya lakini yashatokea [emoji116]
naomba msaada wenu kwa jambo zito ambalo nalipitia. Nina mwanamke ambaye nimezaa naye mtoto mmoja na yeye ana mdogo wake wa kike ambaye tulikuwa tunamazoea sana, mpaka ikafika mahali dada ake alipoona nikiongea naye, anakosa amani kabisa. Kwa bahati mbaya, baada ya mwaka kupita, mdgo wake aliondoka lakini amerudi tena mwaka huu.
baada ya kurudi tukajikuta tunchat na tunatumiana video vya hovyo hivyo . Mwezi uliopita siku moja tukatoka kwa siri na tukazini lakini sasa baada ya wiki tatu, akaniambia kuwa siku zake hazioni. nikamwmbia asubiri wiki 2 tuone, lakini juzi akajaribu kupima na akapata majibu kwamba kitu kimenasa. daaaaah nimemshauri hpa aote (aatoe mimba) lakini anasema anaogopa.
Naomba ushauli wenu japo nimefanya makosa hata naandika haya huku nikiona aibu sijui nifanye nini kwenye hali.
Sasa mimi nitaonekanaje kwenye familia yangu na yao nitaonekana mtu nisiefaa kabisa kwa maana hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufanya haya mambo, kwakuwa hakuna nikimwmbia asitoe hakutokuwa na siri tena hapo .
Hakun jambo litaloharibika lazima itoleweNakusomea mashtaka ndugu Baba Kija
1.Usaliti na kuumiza hisia za mkeo
2.Kumpa mimba ndugu wa damu wa mkeo
3.kukusudia kutaka kuitoa mimba hivyo kuhatarisha maisha ya kiumbe na mama yake
4.Kukiuka viapo vya ndoa na kutoka kimapenzi kwa siri na shemeji yako
5.Udanganyifu umemwingiza kingi shemeji yako kwa hadaa ili usuuuze rungu
6.Ulidhamiria kuvunja undugu wa mkeo na shemeji yako hali ukijua hilo kiimani ni kosa.
7.Umedharirisha familia yako na wazazi wako
8.Umejitangaza Jamii forum kutaka ushauri wakati hukutuomba ushauri wakati unaenda kuzagamua
FANYA HIVI
-Patana na mkeo kabla mambo hayajawa mabaya