Nifanye nini?, mdogo wa mke wangu amenasa ujauzito wangu

Nifanye nini?, mdogo wa mke wangu amenasa ujauzito wangu

Sasa mimi nitaonekanaje kwenye familia yangu na yao nitaonekana mtu nisiefaa kabisa kwa maana hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufanya haya mambo


Imeisha hiyi sio akili yako ushasema toeni acha ujinga
 
acha woga mimba ilelewe kijana apatinake
yaan mfanye mauaji kwa kuogopa wanadamu acheni mimba iyo, jiandaeni kwa aibu maana mmetaka wenyewe
 
Sometimes huwa najiuliza,kwa nini Tanganyika ilidai uhuru wakti bado hatuhitaji kuwa huru?
 
Ndugu zangu, naomba ushauri huku nikiwa naona Aibu kwa niliyoyafanya lakini yashatokea [emoji116]

Naomba msaada wenu kwa jambo zito ambalo nalipitia. Nina mwanamke ambaye nimezaa naye mtoto mmoja na yeye ana mdogo wake wa kike ambaye tulikuwa tunamazoea sana, mpaka ikafika mahali dada ake alipoona nikiongea naye, anakosa amani kabisa. Kwa bahati mbaya, baada ya mwaka kupita, mdgo wake aliondoka lakini amerudi tena mwaka huu.

Baada ya kurudi tukajikuta tunchat na tunatumiana video vya hovyo hivyo . Mwezi uliopita siku moja tukatoka kwa siri na tukazini lakini sasa baada ya wiki tatu, akaniambia kuwa siku zake hazioni. nikamwmbia asubiri wiki 2 tuone, lakini juzi akajaribu kupima na akapata majibu kwamba kitu kimenasa. daaaaah nimemshauri hpa aote (aatoe mimba) lakini anasema anaogopa.

Naomba ushauli wenu japo nimefanya makosa hata naandika haya huku nikiona aibu sijui nifanye nini kwenye hali.

Sasa mimi nitaonekanaje kwenye familia yangu na yao nitaonekana mtu nisiefaa kabisa kwa maana hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufanya haya mambo, kwakuwa hakuna nikimwmbia asitoe hakutokuwa na siri tena hapo .
Uzuri hapo mwisho umemalizia kuandika vizuri. Unasema ulichofanya hàkuna mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya. Sasa kwa vile wewe huna akili timamu usijali hàkuna mtu mwenye akili timamu akifanya kosa akatiwa hatiani.
Wewe punguani tulia tuu huna kosa hata punguani akiua huachiwa na mahakama,
 
Kipindi unamtomba peku ulikuwa unafikilia hilo ni shimo la taka.
Sasa yamekukuta unakuja unatulilia sisi tukusaidie nini.

Pambana nalo hilo nilako.
 
Narudia kikao cha 15 cha wanaume kilikuwa na tamko hili. Mwanamke asiye mkeo au usiye na future naye ni marufuku kumla bila condom. Mwisho wa kunukuu tamko
 
maana hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufanya haya
Kwani Yakobo baba wa taifa teule la Israel hakuwa na akili timamu alipooa mwanamke na mdogo wako. Utalinywa kwa namna ya ulivyolikoroga.
 
Kwa akili zangu za kijasusi nikiwa kama 007, huyo dem hana mimba ama lah hiyo mimba sio yako.

Umedakwa mtegoni na kwa jinsi ulivyodakwa ni lazima pesa ikutoke.

Pole sana.
 
Ndugu zangu, naomba ushauri huku nikiwa naona Aibu kwa niliyoyafanya lakini yashatokea [emoji116]

Naomba msaada wenu kwa jambo zito ambalo nalipitia. Nina mwanamke ambaye nimezaa naye mtoto mmoja na yeye ana mdogo wake wa kike ambaye tulikuwa tunamazoea sana, mpaka ikafika mahali dada ake alipoona nikiongea naye, anakosa amani kabisa. Kwa bahati mbaya, baada ya mwaka kupita, mdgo wake aliondoka lakini amerudi tena mwaka huu.

Baada ya kurudi tukajikuta tunchat na tunatumiana video vya hovyo hivyo . Mwezi uliopita siku moja tukatoka kwa siri na tukazini lakini sasa baada ya wiki tatu, akaniambia kuwa siku zake hazioni. nikamwmbia asubiri wiki 2 tuone, lakini juzi akajaribu kupima na akapata majibu kwamba kitu kimenasa. daaaaah nimemshauri hpa aote (aatoe mimba) lakini anasema anaogopa.

Naomba ushauli wenu japo nimefanya makosa hata naandika haya huku nikiona aibu sijui nifanye nini kwenye hali.

Sasa mimi nitaonekanaje kwenye familia yangu na yao nitaonekana mtu nisiefaa kabisa kwa maana hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufanya haya mambo, kwakuwa hakuna nikimwmbia asitoe hakutokuwa na siri tena hapo .
HUU UPUUZI KAMWELEZE MKEO MJADILIANE AKWAMBIEJEEEEEE

WE HATA MWANAO UNAMPIGA MIMBA HUNA MAANA SHAME N YOU
 
Mwache azae kwani kuna shida gani, kipindi mnatongozana mbona hukutuomba ushauri kama unampenda au yy anakupenda mlikaa kimya saizi mmpeana mimba ndio makelele yanaanza hapa acha azae mlee huyo mtoto kama mkeo atakuacha au atavumilia kalaga baho
Ndugu zangu, naomba ushauri huku nikiwa naona Aibu kwa niliyoyafanya lakini yashatokea [emoji116]

Naomba msaada wenu kwa jambo zito ambalo nalipitia. Nina mwanamke ambaye nimezaa naye mtoto mmoja na yeye ana mdogo wake wa kike ambaye tulikuwa tunamazoea sana, mpaka ikafika mahali dada ake alipoona nikiongea naye, anakosa amani kabisa. Kwa bahati mbaya, baada ya mwaka kupita, mdgo wake aliondoka lakini amerudi tena mwaka huu.

Baada ya kurudi tukajikuta tunchat na tunatumiana video vya hovyo hivyo . Mwezi uliopita siku moja tukatoka kwa siri na tukazini lakini sasa baada ya wiki tatu, akaniambia kuwa siku zake hazioni. nikamwmbia asubiri wiki 2 tuone, lakini juzi akajaribu kupima na akapata majibu kwamba kitu kimenasa. daaaaah nimemshauri hpa aote (aatoe mimba) lakini anasema anaogopa.

Naomba ushauli wenu japo nimefanya makosa hata naandika haya huku nikiona aibu sijui nifanye nini kwenye hali.

Sasa mimi nitaonekanaje kwenye familia yangu na yao nitaonekana mtu nisiefaa kabisa kwa maana hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufanya haya mambo, kwakuwa hakuna nikimwmbia asitoe hakutokuwa na siri tena hapo .
 
Huyu na wasiwasi kakayake kapita na mkewe anatafuta wazo la kufanyaaa

Hahahahahahahaaa
 
Back
Top Bottom