Tony Cipriano
JF-Expert Member
- Nov 17, 2022
- 2,139
- 5,109
mixx ya yas
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WEwe kiazi kweli, sasa unataka kuonekana unafaa wakati ni kweli haufai, kwa hiyo unataka kuendelea kuonekana mtu fake.Ndugu zangu, naomba ushauri huku nikiwa naona Aibu kwa niliyoyafanya lakini yashatokea [emoji116]
Naomba msaada wenu kwa jambo zito ambalo nalipitia. Nina mwanamke ambaye nimezaa naye mtoto mmoja na yeye ana mdogo wake wa kike ambaye tulikuwa tunamazoea sana, mpaka ikafika mahali dada ake alipoona nikiongea naye, anakosa amani kabisa. Kwa bahati mbaya, baada ya mwaka kupita, mdgo wake aliondoka lakini amerudi tena mwaka huu.
Baada ya kurudi tukajikuta tunchat na tunatumiana video vya hovyo hivyo . Mwezi uliopita siku moja tukatoka kwa siri na tukazini lakini sasa baada ya wiki tatu, akaniambia kuwa siku zake hazioni. nikamwmbia asubiri wiki 2 tuone, lakini juzi akajaribu kupima na akapata majibu kwamba kitu kimenasa. daaaaah nimemshauri hpa aote (aatoe mimba) lakini anasema anaogopa.
Naomba ushauli wenu japo nimefanya makosa hata naandika haya huku nikiona aibu sijui nifanye nini kwenye hali.
Sasa mimi nitaonekanaje kwenye familia yangu na yao nitaonekana mtu nisiefaa kabisa kwa maana hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufanya haya mambo, kwakuwa hakuna nikimwmbia asitoe hakutokuwa na siri tena hapo .
Hehee ungewahi milembe mkuu, yasingekukuta haya pole sana.Sasa mimi nitaonekanaje kwenye familia yangu na yao nitaonekana mtu nisiefaa kabisa kwa maana hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufanya haya mambo,kwakuwa hakuna nikimwmbia asitoe hakutokuwa na siri tena hapo .
Anakwambia tayari kanasisha bhana.Condomize mjomba.
Yani mdogo wangu, kama kamati tutasimama kuhakikisha jua linawaka mpaka muive, maana ujinga kama huu unazidi 🚮🚮🚮🚮Mshangazi dot com unaitwa huku dyadya kweli jua acha liwake
Lea tu hiyo mimba , wife akijua mwambia achague kubaki au kuondokaUzuri anaogopa endelea kumshawishi atatoa tu.
Otherwise piga wote. Mwendo wa threesome. Mimba mtasema ya mtu mwingine ila yeye hamfahamu.
Ila sister tayari ana mtoto?
Hapo tumuache abebe msalaba mpaka Gethsemane.Anakwambia tayari kanasisha bhana.
mbona rahisi we muoe tuNdugu zangu, naomba ushauri huku nikiwa naona Aibu kwa niliyoyafanya lakini yashatokea [emoji116]
Naomba msaada wenu kwa jambo zito ambalo nalipitia. Nina mwanamke ambaye nimezaa naye mtoto mmoja na yeye ana mdogo wake wa kike ambaye tulikuwa tunamazoea sana, mpaka ikafika mahali dada ake alipoona nikiongea naye, anakosa amani kabisa. Kwa bahati mbaya, baada ya mwaka kupita, mdgo wake aliondoka lakini amerudi tena mwaka huu.
Baada ya kurudi tukajikuta tunchat na tunatumiana video vya hovyo hivyo . Mwezi uliopita siku moja tukatoka kwa siri na tukazini lakini sasa baada ya wiki tatu, akaniambia kuwa siku zake hazioni. nikamwmbia asubiri wiki 2 tuone, lakini juzi akajaribu kupima na akapata majibu kwamba kitu kimenasa. daaaaah nimemshauri hpa aote (aatoe mimba) lakini anasema anaogopa.
Naomba ushauli wenu japo nimefanya makosa hata naandika haya huku nikiona aibu sijui nifanye nini kwenye hali.
Sasa mimi nitaonekanaje kwenye familia yangu na yao nitaonekana mtu nisiefaa kabisa kwa maana hakuna mtu mwenye akili timamu anayeweza kufanya haya mambo, kwakuwa hakuna nikimwmbia asitoe hakutokuwa na siri tena hapo .
Hela yenyewe shngp nimempa 50000 akatoe hata kama kanidanganya haina shida hela ndogoKwa akili zangu za kijasusi nikiwa kama 007, huyo dem hana mimba ama lah hiyo mimba sio yako.
Umedakwa mtegoni na kwa jinsi ulivyodakwa ni lazima pesa ikutoke.
Pole sana.
Subiri mkuu, bomu hilo ushalitengeneza.Hela yenyewe shngp nimempa 50000 akatoe hata kama kanidanganya haina shida hela ndogo