Nifanye nini mwanamke akisema hana mood ya ku-chat?

Nifanye nini mwanamke akisema hana mood ya ku-chat?

Yaani mkuu hawa vijana wa siku hizi ni majanga matupu kuwaelewa wanachokiandika wanamaanisha nini hasa!

Hebu fikiria huenda hapo aliposema "......ana mood" yeye amemaanisha 'hana mood'.

Uandishi wa kipumbavu kabisa mpaka unajiuliza huyu kafika darasa la 4 kweli?
Dogo yupo chuo kikuu
 
Bado kijana mdpogo sana hao viumbe unaishi nae ndani ila akiwa hana mood bora ukalewe urudi usiku wa manane kuliko kujidai unambembeleza sijui unajiongelesha kwake..! akisema hana mood KULA BUYUUUUU.
 
Oya dogo wanaume huwa hatuchati na wanawake, mimi wanawake wanaotaka kunichatisha tu najua lengo Lao au huwa wanaishia wapi. Ikiingia txt tu Franky mambo...kama nina pesa za kuhonga najibu kama sina pesa za kuhonga sijibu. Na kujibu ni simple fresh niambie...basi wanawake wanaojielewa anaenda straight shida yake. Sasa ww unataka kuchat
 
Boe tulia bas nimeuliza vizur tu Ayo mengine yametoka wapi sijui nilifika darasa4 kwely emu tulia basi kaka angu mbona unakuwa kama wakike ww kama ulikuwa unajuwa ungejib sijaona umuhimu wa wewe kusem yote Aya wanaume atupo hv brooh
boe - boy
Ayo - hayo
darasa4 - darasa la 4
kwely - kweli
angu - yangu
ww - wewe
Aya - haya
atupo - hatupo
hv - hivyo
brooh - bro
 
Sasa atachat vipi na wewe wakati amekumbatiwa na mwanaume mwingine
 
Back
Top Bottom