Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi
Chat na mwenzioAna mood au hana mood?
Unatuchanganya na lugha yako isiyoeleweka.
Una miaka mingapi?
Inabidi utafute fedha, hamna mbadala.Jamani wana jamii,
Mimi nilikuwa na kaswali. Mwanamke akikuambia hana mood ya ku-chat na wewe unatakiwa umuache kwanza au?
Mwambie unachotaka kumwambia kwa kutumia meseji moja.Jamani wana jamii,
Mimi nilikuwa na kaswali. Mwanamke akikuambia hana mood ya ku-chat na wewe unatakiwa umuache kwanza au?
adhimu - enye sifa, iliyotukuka, tukufu, muhimu nk...Yaani unafaa alafu umenipiga na msamiati mwingine apo dadeki "adhimu" ndo nini?
😂😂Tupo wote baraza la kiswahili nini
Ukweli brooSisi wanaume tunatakiwa tujue wanawake sio sehemu ya kufanya kimbilio pindi tunapoona maisha yametushinda;; Utakufa kifo kibayaa Sanaa..
Hawa wanawake hawawezi kumpenda mwanaume Bure Bure tuuuu....
KweliMwambie unachotaka kumwambia kwa kutumia meseji moja.
Kuchati ni tabia ya watoto wasio na vya kufanya!
umepata ✅boe - boy
Ayo - hayo
darasa4 - darasa la 4
kwely - kweli
angu - yangu
ww - wewe
Aya - haya
atupo - hatupo
hv - hivyo
brooh - bro
Mtumie pesa we macca lee orJamani wana jamii,
Mimi nilikuwa na kaswali. Mwanamke akikuambia hana mood ya ku-chat na wewe unatakiwa umuache kwanza au?
Hayanaga muongozo...
she is not interested in you,sio kwaba hana mood ya kuchat hapana ni kwamba hana mood ya kuchati na wewe.Jamani wana jamii,
Mimi nilikuwa na kaswali. Mwanamke akikuambia hana mood ya ku-chat na wewe unatakiwa umuache kwanza au?
Boe ndo kusemaje?Boe tulia bas nimeuliza vizur tu Ayo mengine yametoka wapi sijui nilifika darasa4 kwely emu tulia basi kaka angu mbona unakuwa kama wakike ww kama ulikuwa unajuwa ungejib sijaona umuhimu wa wewe kusem yote Aya wanaume atupo hv brooh
Huyu hawezi kuwa nwenzangu. Ni mwanangu.Chat na mwenzio
Ntumie vocha mimi tuchat, achana nae huyo anaejitia hana mood.....Jamani wana jamii,
Mimi nilikuwa na kaswali. Mwanamke akikuambia hana mood ya ku-chat na wewe unatakiwa umuache kwanza au?
Haa mruke tuHuyu hawezi kuwa nwenzangu. Ni mwanangu.
Kivipi yaaniHaa mruke tu