Elia
JF-Expert Member
- Dec 30, 2009
- 3,425
- 568
Alikuja kusalimia kwa shemeji yangu akapenda kunisalimia na mimi. (mambo ya extended family na kujuana)
Kwangu niliambiwa ataondoka baada ya siku mbili lakini ikawa wiki mara mwezi.
Akarudi kwa shemeji ikiwa ni safari ya kurudi mkoa nilimuaga na kumpa pocket money.
Alipofika kwa shemeji hakuondoka kama alivyoaga badala yake nikapigiwa simu tumchangie hela ili imsaidie maisha yake atapoondoka(mtaji) nilituma kwa M-pesa.
Miezi miwili ikapita kumbe bado yupo kwa shemeji hakuondoka
Sasa wiki iliyopita amekuja nyumbani kwangu haniambii story yoyote yaani amefika. Nilichukia sana maana alikuja bila taarifa narudi kazini namkuta amejaa sebuleni sikupendezwa na ujio wake
Nimejaribu kuchunguza mkoani kwa nini huyu mzee hataki kurudi kwao.
Jibu nililopata ndio lililo niogopesha nasikia hawamtaki kijijini kwake sababu za kichawi yaani ni mwanga sana nimeambiwa yeye na mwenzake walifukuzwa na sungusungu
Kwangu niliambiwa ataondoka baada ya siku mbili lakini ikawa wiki mara mwezi.
Akarudi kwa shemeji ikiwa ni safari ya kurudi mkoa nilimuaga na kumpa pocket money.
Alipofika kwa shemeji hakuondoka kama alivyoaga badala yake nikapigiwa simu tumchangie hela ili imsaidie maisha yake atapoondoka(mtaji) nilituma kwa M-pesa.
Miezi miwili ikapita kumbe bado yupo kwa shemeji hakuondoka
Sasa wiki iliyopita amekuja nyumbani kwangu haniambii story yoyote yaani amefika. Nilichukia sana maana alikuja bila taarifa narudi kazini namkuta amejaa sebuleni sikupendezwa na ujio wake
Nimejaribu kuchunguza mkoani kwa nini huyu mzee hataki kurudi kwao.
Jibu nililopata ndio lililo niogopesha nasikia hawamtaki kijijini kwake sababu za kichawi yaani ni mwanga sana nimeambiwa yeye na mwenzake walifukuzwa na sungusungu