Nifanye nini!? Namtamani kaka yangu

Ondoka kwenye familia ya watu...
 
Kaka yako wa damu?
 
Yaani umekuwa kama fisi, kama una kazi sasa unafanya nini kwa kaka yako?
 
Nenda Lindi kamroge kuna mganga huko wanawake wa mjini Daslamu na Unguja wanamtumia sana kupora waume za watu. Ila mganga mwenyewe ni wale ambao wanaua kabisa jina la adui likipelekwa kwake leo basi kesho unazikwa..
 
Story za kukopi na kupaste hizi
 
Kuna mawili, mtafute Tanzanian Dream au mtafute UMUGHAKA ... kaa nao waombe ushauri wanawezaje... then na we tuletee hapa
 
Nenda Lindi kamroge kuna mganga huko wanawake wa mjini Daslamu na Unguja wanamtumia sana kupora waume za watu. Ila mganga mwenyewe ni wale ambao wanaua kabisa jina la adui likipelekwa kwake leo basi kesho unazikwa..
Asee unnampromote sana huyu mganga (kama kweli yupo na sio utapeli) maana naona thread ya tatu hii unamtaja na kuwaambia watu waende huko... na najua mazuzu yashakufata inbox uyaelekeze 😄😄
 
Wewe si ulisema ni mwanaume, mkeo anakupiga?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…