Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Nifanye nini? Nataka mume wangu aumie kama ninavyoumia mimi

Kwanza anachepuka vipi na nduguzako wakat nduguzako inabid achukulie kama wake na kwanini Hadi mkewe ajue yaani heshima,huruma na mapenz vinaenda sambamba kikikosekana kimoja ndoa Haina maana hapo mnalea watoto tu
 
Utaachana na wanaume wangapi ndugu yangu na mnawatoto?
Aso hili analile mama.

Kikubwa asiwe anakupiga hapo ndipo pa baya.

Ni malaya that’s fine.anajua wajibu wake katika familia?anatunza familia?
Kama umalaya wake umekuwa tishio..basi changua hakuna kushiriki nae tendo la ndoa.

Anza na furaha yako wewe mwenyewe mamaaa..ukitegemea furaha yako akuletee mtu mwingine 😅😅lazima uumie.

Ni mume wako umtupie nani?ni malaya lakini anatimiza majukumu yote kama baba wa familia ya nini nimtelekeze huko ukraine akalipuliwe na mabomu?hapana kwakweli.tutapambana tu muhimu asiwe ananizabua makofi.

Kuna majaribu yanakuhitaji wewe mke kusimama na Mungu katika kuiombea familia na kuikomboa.mna watoto..kwanini usiangalie hayo madhaifu Kwa jicho la tatu Kwa upande wa watoto na kuwaombea?

Ninaweza nisieleweke.ngoja niishie hapa.

Mwanamke yeyote zingatia kujipenda wewe kwanza.furaha ianze na wewe.furaha yako kipaumbele chako

🥂🥂
🤸‍♀️🤸‍♀️
Kwan tunaolewa tukalee watoto dear au tunaoana kwasabbu ya mapenz tukaishi pamoja watoto ni matokeo ya ndoa Kwan Kuna ndoa hazinawatoto n wako happy wameshukuru na wanafurahia muunganiko wao

Anaekuumiza ndo anaekuponya kma mume habadiliki ni kujidanganya tu najipenda hakuna kujipnda hapo kujitoa ufahamu tu kuwa haumii otherwise usiwe umempnda mumeo
 
Usijaribu akukute na hizo picha unazojiandaa kumwekea trust me ATAKUACHA na hutaamini utabakia kusema mbona wewe unachepuka. Njia bora zaidi ni kumpuuza kama huwezi kumuacha, mpuuze akifanya uone ni sawa asipofanya uone ni sawa bila hivyo itakula kwako maisha mafupi haya kuishi maisha unayoishi.
 
  • Nimerudi kuona kama muomba ushauri amepata suluhu au la.
  • Naona maoni yanatiririka, ligi baina ya 'men' na femists ikiendelea.
  • Busara itawale ikijulikana kwamba familia ndio msingi wa jamii
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekuwa nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikuwa na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Unda FUMANIZI

Akukute RED-HANDED kwenye kitanda chenu mnacholalia ukiwa unaliwa FORBIDDEN FRUIT yaan ukiwa una FUMULIWA LINDA yaan unatoa MTANDAO pendwa wa 0713 mbele ya CAMERA tayari kwa kuzisambaza

Kwisha Habari..

Akikuvumilia kwa hilo huyo atakua kazaliwa RED PLANET sio hii sayari yetu
 
Hivi ni kweli shetani ndie anaye husika na haya yote au ni mentality mind imetupelekea huko.
Uvivu wa kufikiri na tabia chafu, tunakwepa kuwajibika tunamsingizia shetani. Binadamu tumepewa utashi tofauti na wanyama.

Huyo mwanaume alioa ili iweje, si angebaki msela ili ijulikane. Na huyo mwanamke kama yamemshinda, aachane naye, kisasi hakitamsaidia lolote
 
"If you break my heart
I go date your fada
You gonna be my son
You go call me your mother
Say if you break my heart
I go date your fada
You gonna be my son
You go call me your mother"

Naupenda sana huu wimbo [emoji851]
 
Wanawake ni rahisi kuchangia mwanaume, ila si mwanaume kukubali mke wake kuliwa na mwanaume mwingine na akagundua.......kama umepanga kufanya hilo jiandae na madhara yanayoweza kufuata, ni hayo tu.
 
"If you break my heart
I go date your fada
You gonna be my son
You go call me your mother
Say if you break my heart
I go date your fada
You gonna be my son
You go call me your mother"

Naupenda sana huu wimbo [emoji851]
🙄🙄🙁
 
Nimeolewa ndoa yangu ina miaka kumi, miaka yote hiyo nimekuwa nikiishi kwa mateso, mume wangu anahudumia familia na kila kitu, lakini ni malaya sana, anatembea mpaka na ndugu zangu.

Nimevumilia mpaka nikachoka, mwaka jana kwa hasira nikaamua kuchepuka, mwanzo nilikuwa na amani lakini sasa hivi sina amani kwani naona kama mume wangu haumii. Yeye anachepuka mimi najua nateseka lakini yeye hajui kama mimi nateseka.

Tumeshaitishwa vikao mpaka wametuchoka, nataka kumuumiza mume wangu, nataka ajue uchungu ninaoupitia, nataka kumuonyesha kuwa nina mwanaume mwingine, nashindwa nifanyeje, niache meseji au nipige picha nikiwa na mwanaume mwingine ili aone.

Nataka aumie kama ninavyoumia.
Wakati mwingine ni pepo tu hajielewi jaribu kuomba sana kuntoa kwenye vifungo iyo amini mungu atamfungua .upo mkoa gani .naomba usilipize mungu wetu sio visasi
 
pole sa
[emoji23][emoji23][emoji23] acha ngono iitwe ngono na ndoa iitwe ndoa. Kutamaniwa na wanaume kukupanda haimaanishi ndiyo mtu atavalisha pete. Kwani yeye hajui alipokutoa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji38], tutafakarini kwanza.
yaani katika wanaume kumi unaochepuka nao hata mmoja asitokee wa kukuvalisha pete kama ni pete ndio unayoitaka???

by the way pete ndio ikufanye uishi kwenye kifungo?!
 
Wanaume ni wale wale ndugu

Genetically,kitabia,etc are mostly coherent....

Kujitoa kwa huyu na kujiweka kwa yule unafuu sio mkubwa sana kama unavyofikiri

Huyu malaya,ukamuacha ukaenda kwa yule asie malaya,ukakuta jinga kabisa hata kutafuta hela ya ada ya watoto hawezi,na wanawake hawasamehi ukijnga kama huu....still mateso yale yale ni versions tu

Wanadamu ni wale wale....unaweza achika,then tumaini la kupata mwingine likaishia hewani

Soko la mwanamke alieachika kupata mume tena ni mathematically impossibility ndugu....shida watu wana emotions too much wanajisahaulisha reality

Swali ni jee,by default,maisha ya loneliness na macho ya jamii unaweza yadhibiti for the rest of your life as a woman?If you can then good for you.
wanaume wengi huchepuka i agree..ila huyu anayetembea na hadi ndugu wa mke tena waziwazi ni malaya per se!,,,,hii ndoa ilishakufa kibudu siku nyingi,mtoa mada ukizubaa unaletewa ukimwi ndani kisa unaogopa jamii itakuchukuliaje ukiachika.
 
pole sa

yaani katika wanaume kumi unaochepuka nao hata mmoja asitokee wa kukuvalisha pete kama ni pete ndio unayoitaka???

by the way pete ndio ikufanye uishi kwenye kifungo?!
kwahiyo wewe ukajua ndoa ni free style😂😂😂. Ndio maana zikaitwa ndoa za mchongo sikuizi, wewe nani kakwambia ukiolewa unaishi kama msela. Sasa siubaki bachelor tujue.

Simwanaume wala mwanamke wote wapo kifungoni. Ndoa sio dating wala courtship 😂😂
 
Ndugu unafanya kazi?? Umeajiriwa au una biashara???

Ni hiiiviii

FOCUS FOCUS FOCUS on your THIIIINGZZZZ.....
achana na mambo ya kufatilia mwanaume...aumie haumii haikusaidii...unaumia moyo upate magonjwa ya kisukari na presha ya nini


Aseee i wsh nijue una umri gani...like serious...unapoteza muda na akili yako kumwaza mwanaume...

Pole...weka nguvu na akili kwa watoto wako na kazii
Once u die out of stress. mume ataoooaa..PERIOD...
Jipende wewe kwanza....huyo ataacha kwa muda wake...na ukishindana nae u will end up lossing...
 
pole sa

yaani katika wanaume kumi unaochepuka nao hata mmoja asitokee wa kukuvalisha pete kama ni pete ndio unayoitaka???

by the way pete ndio ikufanye uishi kwenye kifungo?!
Halafu kuchepuka kwa mwanamke kunamwisho labda awe anajiweza hivyo aanze kulea watakaochepuka naye. Huyo mwanaume mjinga wakuoa mdada wa kujirahisisha siatakuwa mjinga.

Wewe mwenyewe mdada utajishtukia. Pia, uzinzi ukifika kipindi utakuchosha tu. Kila siku unachukuliwa kama tambala bovu kwakujirahisisha, utajiona mpumbavu umri wa utu uzima ukiingia balaa. Ujana maji ya moto.
 
Hao ndugu mume hakuumizi bali ndugu zako ndio wanakuumiza kwa sababu wanajua lkn wanakula sahani moja.
 
Back
Top Bottom