Nifanye nini nikiwa chuo ili nikimaliza nisitegemee ajira?

Nifanye nini nikiwa chuo ili nikimaliza nisitegemee ajira?

Cha kufanya..

1.Tafuta business partiner mwaminifu ambaye amesoma afya,ila yuko mtaani,mkae mtengeneze project ya kituo cha afya,mnaweza kuanza na pharmacy na maabara.mkishaandika project hiyo tafuteni mfanyabiashara mzuri hasa mhindi ambaye atatoa pesa kwa ajiri ya kuanzisha project na kuiendeshe siku za mwanzoni,kumbuka na huyo businessman lazima mmpe hisa..NB nimependekeza mhindi sababu wahindi sector ya afya wanajua inapesa nyingi na rahisi.

2.Tafuta location nzuri,mkoa au wilaya ambayo haina vituo vingi vya afya.

3.kila likizo uwe unafanya kazi kwenye project yako.

Ukifanya hivo nadhani utamaliza chuo ukiwa ceo kwahiyo badala ya kuandika cv utakua unapokea cv za kuombwa ajira.

Industry ya afya ina hela sana.
Samahani mkuu una uelewa kidogo juu ya uanzishwaji wa pharmacy au ka dispensary kadogo mtaji kias gani na vitu vingine
 
Husika na kichwa hapo juu,

Mimi ni mwanafunzi wa udaktari mwaka wa pili naingia sasa mwaka wa kwanza wote napokea boom lakini sijaona cha maana chochote nilichofanyia na hiyo pesa sina msichana sina matumizi makubwa siendi club, wala sehemu zozote za starehe, nataka nikiingia mwaka wa pili niwe tofauti nianze ku think mbali nisikae nikitegemea kumaliza na kuajiriwa na ajira sio uhakika siku hizi.

Nakaribisha mawazo yenu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
SUPER LIFE SUPPORT
Join link hii uje utengeneze pesa, waweza ni PM nikupe deal
 
Tafuta vibali ufanye biashara ya kuni inalipa ajabu...mm n Mwalim ila nafkilia kuacha kaz nizd kujitanua kibiashara


Mtaji n wakawaida mfano ukichukua fuso la saiz ya kat n kuni 1500 ....gar lak 3 ...bei ya kuni hzo lak 180000 kwa wew huna lesen n lak 3 ...so ukiwa na lak tisa unaanza...

Kuni 1=1000
Kuni 1500=1500000 faida lak 5 mm huwa napat kwa siku kumi na nna 23 years cna familia... Jarbu

Sent using Jamii Forums mobile app
Pm please
 
Fanya saving... ili ukimaliza ufungue biashara fulani wakati unapambana na ajira.
Weka malengo ya aina ya biashara (possible businesses) na kiwango cha pesa katika kuwekeza ili ikupe mwongozo wa kiasi cha kusave kila muda uliojiwekea....
 
Binafsi nilishawahi Kuwa na wazo Kama lako wakati nikiwa chuo Kikuu..

Nilipokuwa first year nilipanga pindi nimalizapo chuo nifungue company yangu binafsi au organization..
Lakini ktk mwaka huo huo first year nilibahatika kufanya field ktk organization flani, nilikuwa inspired jinsi wanavyofanya kaz maana ilikuwa target yng baada tu ya kumaliza masomo nifanye Kaz kwny company/organization yangu...

Lakini nilifikiria nikaona ili company / organization yangu ikue itanihitaji alteast 2years to 3years... Nikaona hiyo miaka miwili au mitatu nitakua nafanya nini baada ya kumaliza chuo wakati nikisubiri ku raise profile ya organization/company.

Nilipofika mwaka wa pili nikaamua rasmi kuanzisha na kusajili taasisi yangu ili iweze ku-compensate miaka 2 ijayo ili kukuwa na kufahamika... Niliomba baadhi ya classmates wangu kuungana nami lakini wote hawakuwa tayari maana waliona hakuna manufaa yoyote wangeyapata kwa kipindi hicho...

Kwasababu ilikuwa comfort zone yangu nikaamua kutumia Pesa yangu ya matumizi kutengeneza katiba + kusajili + kudesign website...

Baada ya hapo nilikuwa natumia muda mwingi kuipromote na kupost kwenye website makala zangu (zilikuwa inahusu changamoto zinazokabili jamii yangu)

Nikiwa mwaka wa 3 nilipata fursa ya kufanya kazi kupitia organization yangu in partnership na organization nyingine kubwa...

Nilianza ku-earn japokuwa kidogo sana hasa katika seasonal projects, kupitia hizo project nilipata kiasi Fulani cha Pesa nikaamua kununua piki piki 2, 1 kwa ajili ya matumizi yangu, nyingine nikamkabidhi mtu kwa ajili ya kuifanyia biashara...
Lakini baada ya miezi kadhaa niliuza piki piki kulingana na usumbufu niliokuwa na upata kutoka kwa mtu niliyempa kufanya biashara (in short hakuwa mwaminifu na hakuwa makini )

Nilipokuwa mwaka wa mwa mwisho chuo (fourth year, nimesoma Engineering) nilianza kupata wasiwasi juu hatima ya maisha yangu baada ya kumaliza chuo maana sikuwa na stable financial katika taasisi yangu, nikiwa nimebakiza mwezi mmoja kumaliza chuo niliapply kazi sehemu fulani nikaitwa interview.. Katika interview Mimi ndio nilikuwa mdogo kuliko wote na alikuwa anatakiwa mtu mmoja.
Kwa bahati nzuri nipata ile nafasi na nikafanya kazi kama miezi 3 nikaacha maana haikuwa comfort zone yangu na nikaona taasisi yangu inakufa kulingana kuwa busy na kazi kuliko kuendeleza taasisi.

Kuanzia hapo sijawahi kuomba kazi sehemu yoyote lakini ninaishi kupitia kufanya kazi kwenye taasisi yangu japokuwa bado ndogo inaendelea kukuwa.

Negative Impacts nilizokumbana nazo kulingana na maamuzi yangu:-
1. Attendance yangu darasani ilipungua hivyo performance yangu ilishuka japokuwa sikuwahi kupata surp hata 1
2. GPA yangu haikuwa nzuri sana, ilikuwa moderate, nilikuwa na 2nd class.
3. Idadi ya marafiki ilipungua sana maana muda mwingi nilikuwa busy na mambo yangu
4. Nilikuwa naongoza kwa kuzima moto darasani maana muda mwingi nilikuwa busy..

Nimeshare experience yangu kidogo ila sikushauri ufate kama Mimi nilivyofanya lakini jambo la msingi angalia Comfort zone yako ni ipi na sio copying & paste

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro unatumia jina gn fb nkutafute tuongee vizur mi na ww
 
Husika na kichwa hapo juu,

Mimi ni mwanafunzi wa udaktari mwaka wa pili naingia sasa mwaka wa kwanza wote napokea boom lakini sijaona cha maana chochote nilichofanyia na hiyo pesa sina msichana sina matumizi makubwa siendi club, wala sehemu zozote za starehe, nataka nikiingia mwaka wa pili niwe tofauti nianze ku think mbali nisikae nikitegemea kumaliza na kuajiriwa na ajira sio uhakika siku hizi.

Nakaribisha mawazo yenu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Develop your mindset.
 
Husika na kichwa hapo juu,

Mimi ni mwanafunzi wa udaktari mwaka wa pili naingia sasa mwaka wa kwanza wote napokea boom lakini sijaona cha maana chochote nilichofanyia na hiyo pesa sina msichana sina matumizi makubwa siendi club, wala sehemu zozote za starehe, nataka nikiingia mwaka wa pili niwe tofauti nianze ku think mbali nisikae nikitegemea kumaliza na kuajiriwa na ajira sio uhakika siku hizi.

Nakaribisha mawazo yenu wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
kaka njoo tuuze nots mashulen hasa shule za advance ani inapay nzuri sitamani kuacha hii kazi...unaweza kuacha kabisa chuo ukaachana na hao ma prof unapiga biashara zako
 
Nenda nje ya box kama huyu
4a60c22a6762d7db1d286ec1a07eee69.jpg


blame no body
😂😂😂Dr anaewaambia watu waende nje ya box wakati yeye kashindwa.
 
Kwa nini huwa hamuwezi kuunga ndugu zenu au wazazi wenu na koo zenu ili mpate neema zaidi?😳😳 hizo biashara zenu ni kama mizimu hazitaki familia/koo zenu?
Fanya biashara ya network marketing ni biashara inayolipa sana na haiitaji mtaji mkubwa sana kama biashara nyingine kama unahitaji kushirikishwa tuwasiliane kwa 0757409104
 
kaka njoo tuuze nots mashulen hasa shule za advance ani inapay nzuri sitamani kuacha hii kazi...unaweza kuacha kabisa chuo ukaachana na hao ma prof unapiga biashara zako
You think so little...mtu ache elimu ya juu kisa kuuza notes.....Ungekua na biashara feasible ningesema umeongea point ila wewe unauza notes[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mh! Inahitaji sana jicho la biashara kuona ni biashara ipi italipa na niwekeze kiasi gani, kama hana entrepreneurial mindset nadhani njia hii itakua ngumu kwake. Labda anunue shares DSE!.
Kuwa Venture Capitalist, wekeza kwenye kampuni ndogo za biashara unazozipenda kwa kuongezea mitaji
 
Soma kwa bidii afu nendaa Club. .
duuu

Nokia ya Torch
Unashangaa ya Mussa!? hii hapa ya firauni, enzi zangu za O level bila Castle kichwani mambo hayaendi, yaani pepa nilizowahi piga sijaweka vitu nilipata ufaulu hafifu sana. Advance nilindelea na kamchezo kangu, kufika chuo nikaanza tudemu basi nikikosa kipochi manyoya hata ubongo naskia umesimama, 2 + 2 nasema 16, nakumbuka mwamba mmoja alikuwaga anasema ile kitu ni kisafisha ubongo, yaani kipindi cha UE ilikuwa ni lazima nimuhamishie dada yako Geto vinginevyo ntachezea mi Sup kama sina akili, ila akiwepo mpaka UE inaisha hapo najua GPA ni kuanzia 4.4 na kuendelea.
 
Back
Top Bottom