Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu!

Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu!

Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu!

Baada ya kumuoa mke wangu, alinishawishi niachane na kazi ili nisaidie kusimamia biashara zake. Nilikuwa nimeajiriwa kwenye kampuni moja ya simu na kipato changu kwa mwezi, mshahara na marupurupu, kilikuwa kama milioni moja na nusu.

Ukiangalia, mke wangu alikuwa na biashara na maduka mawili ya vipodozi Kariakoo, kwa mwezi mauzo si chini ya milioni 50, yaani kila kitu kilikuwa vizuri. Kila kitu alinishirikisha na kweli niliona kama ni ujinga kuendelea na kazi wakati naweza kusimamia biashara zetu.

Mwaka wa kwanza katika biashara ulikuwa mzuri, alinishirikisha kwa kila kitu, na wakati mwingine tulikuwa tunasafiri pamoja. Ukiingia Instagram na kuniona na mke wangu, ungedhani kweli hii ndoa ni nzuri. Kizuri zaidi, alikuwa anafanya kama mimi ndiye nina pesa, hakutaka kunidhalilisha, hivyo ilinifanya niamini vizuri. Mambo yalibadilika baada ya kubeba ujauzito. Ujauzito ukawa unamsumbua sana, akalazwa hospitalini, hivyo mimi ndiye niakawa nasimamia biashara zetu kwa asilimia mia moja.

Kuna mtu aliniunganisha naye kwa ajili ya kuchukua mizigo yake, mara nyingi aliniambia nimnunulie vitu na kuna mambo mengine ambayo hayakuwa ya kueleweka. Ni mwanaume na alinionyesha kama dharau fulani. Nilimwambia mke wangu, “Mbona unaweza kufanya kila kitu mwenyewe, simhitaji huyu mtu.” Akanijibu, “Hapana, ukitaka tugombane, gombana na huyo mtu.”

Kweli nilishtuka na kujiuliza huyu ni nani, lakini niliamua kukaa kimya. Baadaye yule mwanaume alianza kuja dukani, kuuliza kuhusu mapato na kuongea na wafanyakazi kwa kujiamini kana kwamba mimi sipo. Nilimuuliza mke wangu, na akaniambia, “Msikilize tu, ananipa madili.” Nikasema, “Hapana, hata kama anakupa madili, hawezi kunidhalilisha, mimi ni mume wako.” Siku moja, wakati mke wangu alikuwa anakwenda kujifungua, nilimwambia jamaa kuwa sitaki uje dukani kwangu kusimamia kaa huko kama mlifanya biashara na mke wangu sitaki tena.”

Alicheka na kuniambia, “Yaani unajiona wewe una kauli? Subiri nitakuonyesha.” Sikukaa sawa, mke alipotoka tu kujifungua, nilikwenda kumuona mtoto, akanambia, “Usiende tena dukani, naona unataka kuniharibia na watu wangu.” Sijakaa sawa, na yule mwanaume akaanza kupiga simu kuuliza kuhusu mtoto. Nilimuuliza mke wangu inakuwaje, akanijibu, “Wewe rudi nyumbani.”

Kweli nilichanganyikiwa ila sikuenda dukani kwa mwezi mzima, mwanamke alinikatalia katakata. Kadri siku zilivyoendelea, nilimuangalia mtoto na kuona jinsi alivyofanana na yule mwanaume kabisa. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Ni akili zako tu.” Ndipo nilipoanza kufuatilia na nikaambiwa kwamba huyo ni mtu wake wa muda mrefu na ndiye aliyemfungulia yale maduka.

Kila mtu anajua mke wangu anatembea na huyo mwanaume na ndiyo kampa mtaji wa kila kitu, hata zile fremu ni za jamaa mke wangu ana mali tu siku wakigombana anamfukuza! Nilichunguza zaidi na kugundua kuwa hata mimi kumuoa ilikuwa ni mipango yao, kwani mke wa jamaa alishaanza kushuku na kuleta shida, hivyo akaamua mke wangu aolewe na mimi ili ionekane ana ndoa.

Niligundua kuwa hata kule kupostiwa kila siku si kwa sababu alikuwa ananipenda, bali mke wa yule jamaa ajue kuwa ana mume wake. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Fanya unavyotaka!” Sasa niko hapa nimechanganyikiwa, hata sijui nifanye nini. Ndoa yenyewe haina amani, sina hata kazi nilishaacha. Narudije kuanza sifuri

MWISHO
Wewe na Bushoke ni ndugu? Mbona ule wimbo wake unakuzungumzia?
 
Katafte pesa ulishe mke na familia yako kama huelewi tulia yatakupata, post hii ni majibu kwa yule aliyekuwa anauliza wanawake wafanye kazi au wakae nyumbani? Wakae nyumbani hawataki waende zao, Kila mtu atanielewa tu, hamtaki kuelewa mtaelewa kwa vitendo kama huyu jamaa nisuala LA mda tu.
 
Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu!

Baada ya kumuoa mke wangu, alinishawishi niachane na kazi ili nisaidie kusimamia biashara zake. Nilikuwa nimeajiriwa kwenye kampuni moja ya simu na kipato changu kwa mwezi, mshahara na marupurupu, kilikuwa kama milioni moja na nusu.

Ukiangalia, mke wangu alikuwa na biashara na maduka mawili ya vipodozi Kariakoo, kwa mwezi mauzo si chini ya milioni 50, yaani kila kitu kilikuwa vizuri. Kila kitu alinishirikisha na kweli niliona kama ni ujinga kuendelea na kazi wakati naweza kusimamia biashara zetu.

Mwaka wa kwanza katika biashara ulikuwa mzuri, alinishirikisha kwa kila kitu, na wakati mwingine tulikuwa tunasafiri pamoja. Ukiingia Instagram na kuniona na mke wangu, ungedhani kweli hii ndoa ni nzuri. Kizuri zaidi, alikuwa anafanya kama mimi ndiye nina pesa, hakutaka kunidhalilisha, hivyo ilinifanya niamini vizuri. Mambo yalibadilika baada ya kubeba ujauzito. Ujauzito ukawa unamsumbua sana, akalazwa hospitalini, hivyo mimi ndiye niakawa nasimamia biashara zetu kwa asilimia mia moja.

Kuna mtu aliniunganisha naye kwa ajili ya kuchukua mizigo yake, mara nyingi aliniambia nimnunulie vitu na kuna mambo mengine ambayo hayakuwa ya kueleweka. Ni mwanaume na alinionyesha kama dharau fulani. Nilimwambia mke wangu, “Mbona unaweza kufanya kila kitu mwenyewe, simhitaji huyu mtu.” Akanijibu, “Hapana, ukitaka tugombane, gombana na huyo mtu.”

Kweli nilishtuka na kujiuliza huyu ni nani, lakini niliamua kukaa kimya. Baadaye yule mwanaume alianza kuja dukani, kuuliza kuhusu mapato na kuongea na wafanyakazi kwa kujiamini kana kwamba mimi sipo. Nilimuuliza mke wangu, na akaniambia, “Msikilize tu, ananipa madili.” Nikasema, “Hapana, hata kama anakupa madili, hawezi kunidhalilisha, mimi ni mume wako.” Siku moja, wakati mke wangu alikuwa anakwenda kujifungua, nilimwambia jamaa kuwa sitaki uje dukani kwangu kusimamia kaa huko kama mlifanya biashara na mke wangu sitaki tena.”

Alicheka na kuniambia, “Yaani unajiona wewe una kauli? Subiri nitakuonyesha.” Sikukaa sawa, mke alipotoka tu kujifungua, nilikwenda kumuona mtoto, akanambia, “Usiende tena dukani, naona unataka kuniharibia na watu wangu.” Sijakaa sawa, na yule mwanaume akaanza kupiga simu kuuliza kuhusu mtoto. Nilimuuliza mke wangu inakuwaje, akanijibu, “Wewe rudi nyumbani.”

Kweli nilichanganyikiwa ila sikuenda dukani kwa mwezi mzima, mwanamke alinikatalia katakata. Kadri siku zilivyoendelea, nilimuangalia mtoto na kuona jinsi alivyofanana na yule mwanaume kabisa. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Ni akili zako tu.” Ndipo nilipoanza kufuatilia na nikaambiwa kwamba huyo ni mtu wake wa muda mrefu na ndiye aliyemfungulia yale maduka.

Kila mtu anajua mke wangu anatembea na huyo mwanaume na ndiyo kampa mtaji wa kila kitu, hata zile fremu ni za jamaa mke wangu ana mali tu siku wakigombana anamfukuza! Nilichunguza zaidi na kugundua kuwa hata mimi kumuoa ilikuwa ni mipango yao, kwani mke wa jamaa alishaanza kushuku na kuleta shida, hivyo akaamua mke wangu aolewe na mimi ili ionekane ana ndoa.

Niligundua kuwa hata kule kupostiwa kila siku si kwa sababu alikuwa ananipenda, bali mke wa yule jamaa ajue kuwa ana mume wake. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Fanya unavyotaka!” Sasa niko hapa nimechanganyikiwa, hata sijui nifanye nini. Ndoa yenyewe haina amani, sina hata kazi nilishaacha. Narudije kuanza sifuri

MWISHO
Huyo kibopa aliwezaje kushea shimo na mwanaume mwingine tena Kwa kupanga mwenyewe au yeye anatumia shimo jingine?
 
Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu!

Baada ya kumuoa mke wangu, alinishawishi niachane na kazi ili nisaidie kusimamia biashara zake. Nilikuwa nimeajiriwa kwenye kampuni moja ya simu na kipato changu kwa mwezi, mshahara na marupurupu, kilikuwa kama milioni moja na nusu.

Ukiangalia, mke wangu alikuwa na biashara na maduka mawili ya vipodozi Kariakoo, kwa mwezi mauzo si chini ya milioni 50, yaani kila kitu kilikuwa vizuri. Kila kitu alinishirikisha na kweli niliona kama ni ujinga kuendelea na kazi wakati naweza kusimamia biashara zetu.

Mwaka wa kwanza katika biashara ulikuwa mzuri, alinishirikisha kwa kila kitu, na wakati mwingine tulikuwa tunasafiri pamoja. Ukiingia Instagram na kuniona na mke wangu, ungedhani kweli hii ndoa ni nzuri. Kizuri zaidi, alikuwa anafanya kama mimi ndiye nina pesa, hakutaka kunidhalilisha, hivyo ilinifanya niamini vizuri. Mambo yalibadilika baada ya kubeba ujauzito. Ujauzito ukawa unamsumbua sana, akalazwa hospitalini, hivyo mimi ndiye niakawa nasimamia biashara zetu kwa asilimia mia moja.

Kuna mtu aliniunganisha naye kwa ajili ya kuchukua mizigo yake, mara nyingi aliniambia nimnunulie vitu na kuna mambo mengine ambayo hayakuwa ya kueleweka. Ni mwanaume na alinionyesha kama dharau fulani. Nilimwambia mke wangu, “Mbona unaweza kufanya kila kitu mwenyewe, simhitaji huyu mtu.” Akanijibu, “Hapana, ukitaka tugombane, gombana na huyo mtu.”

Kweli nilishtuka na kujiuliza huyu ni nani, lakini niliamua kukaa kimya. Baadaye yule mwanaume alianza kuja dukani, kuuliza kuhusu mapato na kuongea na wafanyakazi kwa kujiamini kana kwamba mimi sipo. Nilimuuliza mke wangu, na akaniambia, “Msikilize tu, ananipa madili.” Nikasema, “Hapana, hata kama anakupa madili, hawezi kunidhalilisha, mimi ni mume wako.” Siku moja, wakati mke wangu alikuwa anakwenda kujifungua, nilimwambia jamaa kuwa sitaki uje dukani kwangu kusimamia kaa huko kama mlifanya biashara na mke wangu sitaki tena.”

Alicheka na kuniambia, “Yaani unajiona wewe una kauli? Subiri nitakuonyesha.” Sikukaa sawa, mke alipotoka tu kujifungua, nilikwenda kumuona mtoto, akanambia, “Usiende tena dukani, naona unataka kuniharibia na watu wangu.” Sijakaa sawa, na yule mwanaume akaanza kupiga simu kuuliza kuhusu mtoto. Nilimuuliza mke wangu inakuwaje, akanijibu, “Wewe rudi nyumbani.”

Kweli nilichanganyikiwa ila sikuenda dukani kwa mwezi mzima, mwanamke alinikatalia katakata. Kadri siku zilivyoendelea, nilimuangalia mtoto na kuona jinsi alivyofanana na yule mwanaume kabisa. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Ni akili zako tu.” Ndipo nilipoanza kufuatilia na nikaambiwa kwamba huyo ni mtu wake wa muda mrefu na ndiye aliyemfungulia yale maduka.

Kila mtu anajua mke wangu anatembea na huyo mwanaume na ndiyo kampa mtaji wa kila kitu, hata zile fremu ni za jamaa mke wangu ana mali tu siku wakigombana anamfukuza! Nilichunguza zaidi na kugundua kuwa hata mimi kumuoa ilikuwa ni mipango yao, kwani mke wa jamaa alishaanza kushuku na kuleta shida, hivyo akaamua mke wangu aolewe na mimi ili ionekane ana ndoa.

Niligundua kuwa hata kule kupostiwa kila siku si kwa sababu alikuwa ananipenda, bali mke wa yule jamaa ajue kuwa ana mume wake. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Fanya unavyotaka!” Sasa niko hapa nimechanganyikiwa, hata sijui nifanye nini. Ndoa yenyewe haina amani, sina hata kazi nilishaacha. Narudije kuanza sifuri

MWISHO
Hii story hata mim ningeweza kunasa, kwakua umejua setup nzima nawe anza kuunda mitego yako mwanamke wa jamaa ajue story nzima , hii ndo maana ya UBAYA UBWELAA
 
Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu!

Baada ya kumuoa mke wangu, alinishawishi niachane na kazi ili nisaidie kusimamia biashara zake. Nilikuwa nimeajiriwa kwenye kampuni moja ya simu na kipato changu kwa mwezi, mshahara na marupurupu, kilikuwa kama milioni moja na nusu.

Ukiangalia, mke wangu alikuwa na biashara na maduka mawili ya vipodozi Kariakoo, kwa mwezi mauzo si chini ya milioni 50, yaani kila kitu kilikuwa vizuri. Kila kitu alinishirikisha na kweli niliona kama ni ujinga kuendelea na kazi wakati naweza kusimamia biashara zetu.

Mwaka wa kwanza katika biashara ulikuwa mzuri, alinishirikisha kwa kila kitu, na wakati mwingine tulikuwa tunasafiri pamoja. Ukiingia Instagram na kuniona na mke wangu, ungedhani kweli hii ndoa ni nzuri. Kizuri zaidi, alikuwa anafanya kama mimi ndiye nina pesa, hakutaka kunidhalilisha, hivyo ilinifanya niamini vizuri. Mambo yalibadilika baada ya kubeba ujauzito. Ujauzito ukawa unamsumbua sana, akalazwa hospitalini, hivyo mimi ndiye niakawa nasimamia biashara zetu kwa asilimia mia moja.

Kuna mtu aliniunganisha naye kwa ajili ya kuchukua mizigo yake, mara nyingi aliniambia nimnunulie vitu na kuna mambo mengine ambayo hayakuwa ya kueleweka. Ni mwanaume na alinionyesha kama dharau fulani. Nilimwambia mke wangu, “Mbona unaweza kufanya kila kitu mwenyewe, simhitaji huyu mtu.” Akanijibu, “Hapana, ukitaka tugombane, gombana na huyo mtu.”

Kweli nilishtuka na kujiuliza huyu ni nani, lakini niliamua kukaa kimya. Baadaye yule mwanaume alianza kuja dukani, kuuliza kuhusu mapato na kuongea na wafanyakazi kwa kujiamini kana kwamba mimi sipo. Nilimuuliza mke wangu, na akaniambia, “Msikilize tu, ananipa madili.” Nikasema, “Hapana, hata kama anakupa madili, hawezi kunidhalilisha, mimi ni mume wako.” Siku moja, wakati mke wangu alikuwa anakwenda kujifungua, nilimwambia jamaa kuwa sitaki uje dukani kwangu kusimamia kaa huko kama mlifanya biashara na mke wangu sitaki tena.”

Alicheka na kuniambia, “Yaani unajiona wewe una kauli? Subiri nitakuonyesha.” Sikukaa sawa, mke alipotoka tu kujifungua, nilikwenda kumuona mtoto, akanambia, “Usiende tena dukani, naona unataka kuniharibia na watu wangu.” Sijakaa sawa, na yule mwanaume akaanza kupiga simu kuuliza kuhusu mtoto. Nilimuuliza mke wangu inakuwaje, akanijibu, “Wewe rudi nyumbani.”

Kweli nilichanganyikiwa ila sikuenda dukani kwa mwezi mzima, mwanamke alinikatalia katakata. Kadri siku zilivyoendelea, nilimuangalia mtoto na kuona jinsi alivyofanana na yule mwanaume kabisa. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Ni akili zako tu.” Ndipo nilipoanza kufuatilia na nikaambiwa kwamba huyo ni mtu wake wa muda mrefu na ndiye aliyemfungulia yale maduka.

Kila mtu anajua mke wangu anatembea na huyo mwanaume na ndiyo kampa mtaji wa kila kitu, hata zile fremu ni za jamaa mke wangu ana mali tu siku wakigombana anamfukuza! Nilichunguza zaidi na kugundua kuwa hata mimi kumuoa ilikuwa ni mipango yao, kwani mke wa jamaa alishaanza kushuku na kuleta shida, hivyo akaamua mke wangu aolewe na mimi ili ionekane ana ndoa.

Niligundua kuwa hata kule kupostiwa kila siku si kwa sababu alikuwa ananipenda, bali mke wa yule jamaa ajue kuwa ana mume wake. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Fanya unavyotaka!” Sasa niko hapa nimechanganyikiwa, hata sijui nifanye nini. Ndoa yenyewe haina amani, sina hata kazi nilishaacha. Narudije kuanza sifuri

MWISHO
Kiongozi mbona hiyo simple saana.
Kikubwa we jicontrol kwanza jifanye kama vile hamna kilichotokea.

Jirudishe Kwa mke wako kuwa bwege kabisa ikiwezekana omba msamaha Kwa ulichokifanya.

Tengeneza upendo feki ikiwezekana akurudishe hapo dukani.

Then fight upate mtaji walau wa milioni 5 hivi weka pembeni.

Baada ya hapo mpige picha huyo mtoto na note vitu kadhaa ambavyo unaona kama amefanana nae huyo jamaa.

Chukua vitu muhimu kutoka Kwa huyo mtoto ambavyo vinaweza kutumika kwenye DNA.

Ukimaliza hayo tafuta mke wa jule jamaa kaa nae chini alafu mpasulie vyote na mwambie kamzalia mke wako.

Weka wazi vyote alivyovifanya mume wake Kwa mke wako ikiwemo hiyo ndoa feki, kumpa mtaji na flemu za biashara.

Mpe picha na vile vitu vya mtoto mwambie kama haamin akapime DNA.

Ukimaliza hapo kaa chini usikilizie hizo shoo yake.

Hasira za mke wake zinaweza kukutajirisha kiongoz maana we ndo utakuwa master plan Kwa mke wake.

Watavurugana kesi itaenda mahakaman, wakigawana Mali we lazima akupe percent yako.

Alafu huyo mke wako wasasa atageuka mamantlie huko sokon.

Huna chakupoteza kaka we Anza nae tu, mtoto sio wako huna share kwenye Mali zake yaani huna chakupoteza kabisa
 
Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu!

Baada ya kumuoa mke wangu, alinishawishi niachane na kazi ili nisaidie kusimamia biashara zake. Nilikuwa nimeajiriwa kwenye kampuni moja ya simu na kipato changu kwa mwezi, mshahara na marupurupu, kilikuwa kama milioni moja na nusu.

Ukiangalia, mke wangu alikuwa na biashara na maduka mawili ya vipodozi Kariakoo, kwa mwezi mauzo si chini ya milioni 50, yaani kila kitu kilikuwa vizuri. Kila kitu alinishirikisha na kweli niliona kama ni ujinga kuendelea na kazi wakati naweza kusimamia biashara zetu.

Mwaka wa kwanza katika biashara ulikuwa mzuri, alinishirikisha kwa kila kitu, na wakati mwingine tulikuwa tunasafiri pamoja. Ukiingia Instagram na kuniona na mke wangu, ungedhani kweli hii ndoa ni nzuri. Kizuri zaidi, alikuwa anafanya kama mimi ndiye nina pesa, hakutaka kunidhalilisha, hivyo ilinifanya niamini vizuri. Mambo yalibadilika baada ya kubeba ujauzito. Ujauzito ukawa unamsumbua sana, akalazwa hospitalini, hivyo mimi ndiye niakawa nasimamia biashara zetu kwa asilimia mia moja.

Kuna mtu aliniunganisha naye kwa ajili ya kuchukua mizigo yake, mara nyingi aliniambia nimnunulie vitu na kuna mambo mengine ambayo hayakuwa ya kueleweka. Ni mwanaume na alinionyesha kama dharau fulani. Nilimwambia mke wangu, “Mbona unaweza kufanya kila kitu mwenyewe, simhitaji huyu mtu.” Akanijibu, “Hapana, ukitaka tugombane, gombana na huyo mtu.”

Kweli nilishtuka na kujiuliza huyu ni nani, lakini niliamua kukaa kimya. Baadaye yule mwanaume alianza kuja dukani, kuuliza kuhusu mapato na kuongea na wafanyakazi kwa kujiamini kana kwamba mimi sipo. Nilimuuliza mke wangu, na akaniambia, “Msikilize tu, ananipa madili.” Nikasema, “Hapana, hata kama anakupa madili, hawezi kunidhalilisha, mimi ni mume wako.” Siku moja, wakati mke wangu alikuwa anakwenda kujifungua, nilimwambia jamaa kuwa sitaki uje dukani kwangu kusimamia kaa huko kama mlifanya biashara na mke wangu sitaki tena.”

Alicheka na kuniambia, “Yaani unajiona wewe una kauli? Subiri nitakuonyesha.” Sikukaa sawa, mke alipotoka tu kujifungua, nilikwenda kumuona mtoto, akanambia, “Usiende tena dukani, naona unataka kuniharibia na watu wangu.” Sijakaa sawa, na yule mwanaume akaanza kupiga simu kuuliza kuhusu mtoto. Nilimuuliza mke wangu inakuwaje, akanijibu, “Wewe rudi nyumbani.”

Kweli nilichanganyikiwa ila sikuenda dukani kwa mwezi mzima, mwanamke alinikatalia katakata. Kadri siku zilivyoendelea, nilimuangalia mtoto na kuona jinsi alivyofanana na yule mwanaume kabisa. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Ni akili zako tu.” Ndipo nilipoanza kufuatilia na nikaambiwa kwamba huyo ni mtu wake wa muda mrefu na ndiye aliyemfungulia yale maduka.

Kila mtu anajua mke wangu anatembea na huyo mwanaume na ndiyo kampa mtaji wa kila kitu, hata zile fremu ni za jamaa mke wangu ana mali tu siku wakigombana anamfukuza! Nilichunguza zaidi na kugundua kuwa hata mimi kumuoa ilikuwa ni mipango yao, kwani mke wa jamaa alishaanza kushuku na kuleta shida, hivyo akaamua mke wangu aolewe na mimi ili ionekane ana ndoa.

Niligundua kuwa hata kule kupostiwa kila siku si kwa sababu alikuwa ananipenda, bali mke wa yule jamaa ajue kuwa ana mume wake. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Fanya unavyotaka!” Sasa niko hapa nimechanganyikiwa, hata sijui nifanye nini. Ndoa yenyewe haina amani, sina hata kazi nilishaacha. Narudije kuanza sifuri

MWISHO
Yaani wewe inatakiwa upigwe mijeredi na bakora za kutosha.
 
Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu!

Baada ya kumuoa mke wangu, alinishawishi niachane na kazi ili nisaidie kusimamia biashara zake. Nilikuwa nimeajiriwa kwenye kampuni moja ya simu na kipato changu kwa mwezi, mshahara na marupurupu, kilikuwa kama milioni moja na nusu.

Ukiangalia, mke wangu alikuwa na biashara na maduka mawili ya vipodozi Kariakoo, kwa mwezi mauzo si chini ya milioni 50, yaani kila kitu kilikuwa vizuri. Kila kitu alinishirikisha na kweli niliona kama ni ujinga kuendelea na kazi wakati naweza kusimamia biashara zetu.

Mwaka wa kwanza katika biashara ulikuwa mzuri, alinishirikisha kwa kila kitu, na wakati mwingine tulikuwa tunasafiri pamoja. Ukiingia Instagram na kuniona na mke wangu, ungedhani kweli hii ndoa ni nzuri. Kizuri zaidi, alikuwa anafanya kama mimi ndiye nina pesa, hakutaka kunidhalilisha, hivyo ilinifanya niamini vizuri. Mambo yalibadilika baada ya kubeba ujauzito. Ujauzito ukawa unamsumbua sana, akalazwa hospitalini, hivyo mimi ndiye niakawa nasimamia biashara zetu kwa asilimia mia moja.

Kuna mtu aliniunganisha naye kwa ajili ya kuchukua mizigo yake, mara nyingi aliniambia nimnunulie vitu na kuna mambo mengine ambayo hayakuwa ya kueleweka. Ni mwanaume na alinionyesha kama dharau fulani. Nilimwambia mke wangu, “Mbona unaweza kufanya kila kitu mwenyewe, simhitaji huyu mtu.” Akanijibu, “Hapana, ukitaka tugombane, gombana na huyo mtu.”

Kweli nilishtuka na kujiuliza huyu ni nani, lakini niliamua kukaa kimya. Baadaye yule mwanaume alianza kuja dukani, kuuliza kuhusu mapato na kuongea na wafanyakazi kwa kujiamini kana kwamba mimi sipo. Nilimuuliza mke wangu, na akaniambia, “Msikilize tu, ananipa madili.” Nikasema, “Hapana, hata kama anakupa madili, hawezi kunidhalilisha, mimi ni mume wako.” Siku moja, wakati mke wangu alikuwa anakwenda kujifungua, nilimwambia jamaa kuwa sitaki uje dukani kwangu kusimamia kaa huko kama mlifanya biashara na mke wangu sitaki tena.”

Alicheka na kuniambia, “Yaani unajiona wewe una kauli? Subiri nitakuonyesha.” Sikukaa sawa, mke alipotoka tu kujifungua, nilikwenda kumuona mtoto, akanambia, “Usiende tena dukani, naona unataka kuniharibia na watu wangu.” Sijakaa sawa, na yule mwanaume akaanza kupiga simu kuuliza kuhusu mtoto. Nilimuuliza mke wangu inakuwaje, akanijibu, “Wewe rudi nyumbani.”

Kweli nilichanganyikiwa ila sikuenda dukani kwa mwezi mzima, mwanamke alinikatalia katakata. Kadri siku zilivyoendelea, nilimuangalia mtoto na kuona jinsi alivyofanana na yule mwanaume kabisa. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Ni akili zako tu.” Ndipo nilipoanza kufuatilia na nikaambiwa kwamba huyo ni mtu wake wa muda mrefu na ndiye aliyemfungulia yale maduka.

Kila mtu anajua mke wangu anatembea na huyo mwanaume na ndiyo kampa mtaji wa kila kitu, hata zile fremu ni za jamaa mke wangu ana mali tu siku wakigombana anamfukuza! Nilichunguza zaidi na kugundua kuwa hata mimi kumuoa ilikuwa ni mipango yao, kwani mke wa jamaa alishaanza kushuku na kuleta shida, hivyo akaamua mke wangu aolewe na mimi ili ionekane ana ndoa.

Niligundua kuwa hata kule kupostiwa kila siku si kwa sababu alikuwa ananipenda, bali mke wa yule jamaa ajue kuwa ana mume wake. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Fanya unavyotaka!” Sasa niko hapa nimechanganyikiwa, hata sijui nifanye nini. Ndoa yenyewe haina amani, sina hata kazi nilishaacha. Narudije kuanza sifuri

MWISHO
Sikia we tulia tu kwenye ndoa na mkeo,waache wafanye watakavyo,iko probability nawe utazaa nae,jiweke chini kabisa,msujudie huyo mwanaume,we usiulize kitu,ukiwa na shida muombe mkeo pesa za matumizi uwe rahimu na wala usimuibie pesa huyo mkeo,kuwa mwaminifunkwake na kwa mume mwenzio,polepole Mungu atakufungulia njia
 
Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu!

Baada ya kumuoa mke wangu, alinishawishi niachane na kazi ili nisaidie kusimamia biashara zake. Nilikuwa nimeajiriwa kwenye kampuni moja ya simu na kipato changu kwa mwezi, mshahara na marupurupu, kilikuwa kama milioni moja na nusu.

Ukiangalia, mke wangu alikuwa na biashara na maduka mawili ya vipodozi Kariakoo, kwa mwezi mauzo si chini ya milioni 50, yaani kila kitu kilikuwa vizuri. Kila kitu alinishirikisha na kweli niliona kama ni ujinga kuendelea na kazi wakati naweza kusimamia biashara zetu.

Mwaka wa kwanza katika biashara ulikuwa mzuri, alinishirikisha kwa kila kitu, na wakati mwingine tulikuwa tunasafiri pamoja. Ukiingia Instagram na kuniona na mke wangu, ungedhani kweli hii ndoa ni nzuri. Kizuri zaidi, alikuwa anafanya kama mimi ndiye nina pesa, hakutaka kunidhalilisha, hivyo ilinifanya niamini vizuri. Mambo yalibadilika baada ya kubeba ujauzito. Ujauzito ukawa unamsumbua sana, akalazwa hospitalini, hivyo mimi ndiye niakawa nasimamia biashara zetu kwa asilimia mia moja.

Kuna mtu aliniunganisha naye kwa ajili ya kuchukua mizigo yake, mara nyingi aliniambia nimnunulie vitu na kuna mambo mengine ambayo hayakuwa ya kueleweka. Ni mwanaume na alinionyesha kama dharau fulani. Nilimwambia mke wangu, “Mbona unaweza kufanya kila kitu mwenyewe, simhitaji huyu mtu.” Akanijibu, “Hapana, ukitaka tugombane, gombana na huyo mtu.”

Kweli nilishtuka na kujiuliza huyu ni nani, lakini niliamua kukaa kimya. Baadaye yule mwanaume alianza kuja dukani, kuuliza kuhusu mapato na kuongea na wafanyakazi kwa kujiamini kana kwamba mimi sipo. Nilimuuliza mke wangu, na akaniambia, “Msikilize tu, ananipa madili.” Nikasema, “Hapana, hata kama anakupa madili, hawezi kunidhalilisha, mimi ni mume wako.” Siku moja, wakati mke wangu alikuwa anakwenda kujifungua, nilimwambia jamaa kuwa sitaki uje dukani kwangu kusimamia kaa huko kama mlifanya biashara na mke wangu sitaki tena.”

Alicheka na kuniambia, “Yaani unajiona wewe una kauli? Subiri nitakuonyesha.” Sikukaa sawa, mke alipotoka tu kujifungua, nilikwenda kumuona mtoto, akanambia, “Usiende tena dukani, naona unataka kuniharibia na watu wangu.” Sijakaa sawa, na yule mwanaume akaanza kupiga simu kuuliza kuhusu mtoto. Nilimuuliza mke wangu inakuwaje, akanijibu, “Wewe rudi nyumbani.”

Kweli nilichanganyikiwa ila sikuenda dukani kwa mwezi mzima, mwanamke alinikatalia katakata. Kadri siku zilivyoendelea, nilimuangalia mtoto na kuona jinsi alivyofanana na yule mwanaume kabisa. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Ni akili zako tu.” Ndipo nilipoanza kufuatilia na nikaambiwa kwamba huyo ni mtu wake wa muda mrefu na ndiye aliyemfungulia yale maduka.

Kila mtu anajua mke wangu anatembea na huyo mwanaume na ndiyo kampa mtaji wa kila kitu, hata zile fremu ni za jamaa mke wangu ana mali tu siku wakigombana anamfukuza! Nilichunguza zaidi na kugundua kuwa hata mimi kumuoa ilikuwa ni mipango yao, kwani mke wa jamaa alishaanza kushuku na kuleta shida, hivyo akaamua mke wangu aolewe na mimi ili ionekane ana ndoa.

Niligundua kuwa hata kule kupostiwa kila siku si kwa sababu alikuwa ananipenda, bali mke wa yule jamaa ajue kuwa ana mume wake. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Fanya unavyotaka!” Sasa niko hapa nimechanganyikiwa, hata sijui nifanye nini. Ndoa yenyewe haina amani, sina hata kazi nilishaacha. Narudije kuanza sifuri

MWISHO
Mlioana ndoa ya dini gani?
 
Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu!

Baada ya kumuoa mke wangu, alinishawishi niachane na kazi ili nisaidie kusimamia biashara zake. Nilikuwa nimeajiriwa kwenye kampuni moja ya simu na kipato changu kwa mwezi, mshahara na marupurupu, kilikuwa kama milioni moja na nusu.

Ukiangalia, mke wangu alikuwa na biashara na maduka mawili ya vipodozi Kariakoo, kwa mwezi mauzo si chini ya milioni 50, yaani kila kitu kilikuwa vizuri. Kila kitu alinishirikisha na kweli niliona kama ni ujinga kuendelea na kazi wakati naweza kusimamia biashara zetu.

Mwaka wa kwanza katika biashara ulikuwa mzuri, alinishirikisha kwa kila kitu, na wakati mwingine tulikuwa tunasafiri pamoja. Ukiingia Instagram na kuniona na mke wangu, ungedhani kweli hii ndoa ni nzuri. Kizuri zaidi, alikuwa anafanya kama mimi ndiye nina pesa, hakutaka kunidhalilisha, hivyo ilinifanya niamini vizuri. Mambo yalibadilika baada ya kubeba ujauzito. Ujauzito ukawa unamsumbua sana, akalazwa hospitalini, hivyo mimi ndiye niakawa nasimamia biashara zetu kwa asilimia mia moja.

Kuna mtu aliniunganisha naye kwa ajili ya kuchukua mizigo yake, mara nyingi aliniambia nimnunulie vitu na kuna mambo mengine ambayo hayakuwa ya kueleweka. Ni mwanaume na alinionyesha kama dharau fulani. Nilimwambia mke wangu, “Mbona unaweza kufanya kila kitu mwenyewe, simhitaji huyu mtu.” Akanijibu, “Hapana, ukitaka tugombane, gombana na huyo mtu.”

Kweli nilishtuka na kujiuliza huyu ni nani, lakini niliamua kukaa kimya. Baadaye yule mwanaume alianza kuja dukani, kuuliza kuhusu mapato na kuongea na wafanyakazi kwa kujiamini kana kwamba mimi sipo. Nilimuuliza mke wangu, na akaniambia, “Msikilize tu, ananipa madili.” Nikasema, “Hapana, hata kama anakupa madili, hawezi kunidhalilisha, mimi ni mume wako.” Siku moja, wakati mke wangu alikuwa anakwenda kujifungua, nilimwambia jamaa kuwa sitaki uje dukani kwangu kusimamia kaa huko kama mlifanya biashara na mke wangu sitaki tena.”

Alicheka na kuniambia, “Yaani unajiona wewe una kauli? Subiri nitakuonyesha.” Sikukaa sawa, mke alipotoka tu kujifungua, nilikwenda kumuona mtoto, akanambia, “Usiende tena dukani, naona unataka kuniharibia na watu wangu.” Sijakaa sawa, na yule mwanaume akaanza kupiga simu kuuliza kuhusu mtoto. Nilimuuliza mke wangu inakuwaje, akanijibu, “Wewe rudi nyumbani.”

Kweli nilichanganyikiwa ila sikuenda dukani kwa mwezi mzima, mwanamke alinikatalia katakata. Kadri siku zilivyoendelea, nilimuangalia mtoto na kuona jinsi alivyofanana na yule mwanaume kabisa. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Ni akili zako tu.” Ndipo nilipoanza kufuatilia na nikaambiwa kwamba huyo ni mtu wake wa muda mrefu na ndiye aliyemfungulia yale maduka.

Kila mtu anajua mke wangu anatembea na huyo mwanaume na ndiyo kampa mtaji wa kila kitu, hata zile fremu ni za jamaa mke wangu ana mali tu siku wakigombana anamfukuza! Nilichunguza zaidi na kugundua kuwa hata mimi kumuoa ilikuwa ni mipango yao, kwani mke wa jamaa alishaanza kushuku na kuleta shida, hivyo akaamua mke wangu aolewe na mimi ili ionekane ana ndoa.

Niligundua kuwa hata kule kupostiwa kila siku si kwa sababu alikuwa ananipenda, bali mke wa yule jamaa ajue kuwa ana mume wake. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Fanya unavyotaka!” Sasa niko hapa nimechanganyikiwa, hata sijui nifanye nini. Ndoa yenyewe haina amani, sina hata kazi nilishaacha. Narudije kuanza sifuri

MWISHO
We jamaa,ulikuwa zyapu,cha mwanamke ni cha mwanamke cha mwanaume ni cha wote
 
Rudi nyuma kaa chini tafakari vizuri milokotoka na uyo manzi, Kisha Fanya maamuzi ambayo yatakupa furahaa na amani.
Usikurupuke kwenye maamuzi.
 
Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu!

Baada ya kumuoa mke wangu, alinishawishi niachane na kazi ili nisaidie kusimamia biashara zake. Nilikuwa nimeajiriwa kwenye kampuni moja ya simu na kipato changu kwa mwezi, mshahara na marupurupu, kilikuwa kama milioni moja na nusu.

Ukiangalia, mke wangu alikuwa na biashara na maduka mawili ya vipodozi Kariakoo, kwa mwezi mauzo si chini ya milioni 50, yaani kila kitu kilikuwa vizuri. Kila kitu alinishirikisha na kweli niliona kama ni ujinga kuendelea na kazi wakati naweza kusimamia biashara zetu.

Mwaka wa kwanza katika biashara ulikuwa mzuri, alinishirikisha kwa kila kitu, na wakati mwingine tulikuwa tunasafiri pamoja. Ukiingia Instagram na kuniona na mke wangu, ungedhani kweli hii ndoa ni nzuri. Kizuri zaidi, alikuwa anafanya kama mimi ndiye nina pesa, hakutaka kunidhalilisha, hivyo ilinifanya niamini vizuri. Mambo yalibadilika baada ya kubeba ujauzito. Ujauzito ukawa unamsumbua sana, akalazwa hospitalini, hivyo mimi ndiye niakawa nasimamia biashara zetu kwa asilimia mia moja.

Kuna mtu aliniunganisha naye kwa ajili ya kuchukua mizigo yake, mara nyingi aliniambia nimnunulie vitu na kuna mambo mengine ambayo hayakuwa ya kueleweka. Ni mwanaume na alinionyesha kama dharau fulani. Nilimwambia mke wangu, “Mbona unaweza kufanya kila kitu mwenyewe, simhitaji huyu mtu.” Akanijibu, “Hapana, ukitaka tugombane, gombana na huyo mtu.”

Kweli nilishtuka na kujiuliza huyu ni nani, lakini niliamua kukaa kimya. Baadaye yule mwanaume alianza kuja dukani, kuuliza kuhusu mapato na kuongea na wafanyakazi kwa kujiamini kana kwamba mimi sipo. Nilimuuliza mke wangu, na akaniambia, “Msikilize tu, ananipa madili.” Nikasema, “Hapana, hata kama anakupa madili, hawezi kunidhalilisha, mimi ni mume wako.” Siku moja, wakati mke wangu alikuwa anakwenda kujifungua, nilimwambia jamaa kuwa sitaki uje dukani kwangu kusimamia kaa huko kama mlifanya biashara na mke wangu sitaki tena.”

Alicheka na kuniambia, “Yaani unajiona wewe una kauli? Subiri nitakuonyesha.” Sikukaa sawa, mke alipotoka tu kujifungua, nilikwenda kumuona mtoto, akanambia, “Usiende tena dukani, naona unataka kuniharibia na watu wangu.” Sijakaa sawa, na yule mwanaume akaanza kupiga simu kuuliza kuhusu mtoto. Nilimuuliza mke wangu inakuwaje, akanijibu, “Wewe rudi nyumbani.”

Kweli nilichanganyikiwa ila sikuenda dukani kwa mwezi mzima, mwanamke alinikatalia katakata. Kadri siku zilivyoendelea, nilimuangalia mtoto na kuona jinsi alivyofanana na yule mwanaume kabisa. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Ni akili zako tu.” Ndipo nilipoanza kufuatilia na nikaambiwa kwamba huyo ni mtu wake wa muda mrefu na ndiye aliyemfungulia yale maduka.

Kila mtu anajua mke wangu anatembea na huyo mwanaume na ndiyo kampa mtaji wa kila kitu, hata zile fremu ni za jamaa mke wangu ana mali tu siku wakigombana anamfukuza! Nilichunguza zaidi na kugundua kuwa hata mimi kumuoa ilikuwa ni mipango yao, kwani mke wa jamaa alishaanza kushuku na kuleta shida, hivyo akaamua mke wangu aolewe na mimi ili ionekane ana ndoa.

Niligundua kuwa hata kule kupostiwa kila siku si kwa sababu alikuwa ananipenda, bali mke wa yule jamaa ajue kuwa ana mume wake. Nilipomuuliza mke wangu, akaniambia, “Fanya unavyotaka!” Sasa niko hapa nimechanganyikiwa, hata sijui nifanye nini. Ndoa yenyewe haina amani, sina hata kazi nilishaacha. Narudije kuanza sifuri

MWISHO
Kila siku mnaambiwa ya kwamba oa bikira. Unaoa malaya, unategemea nini?
 
Back
Top Bottom