Nifanye Nini, Niliacha Kazi Nikijua Napendwa Kumbe Mimi Ni Mume Wa Mchongo Tu!

do! kitonga ni shida ndugu!
ulitakiwa toka mwanzo uingie naye mkataba na ikiwezekana akulipe mshahara mara mbili ya ule uliokuwa nao awali .
kila mradi tunaoingia lazima uelewe lazima uandae exit programe vinginevyo ni vilio.
nilipofikia inawezekana hata mama yangu mzazi angekuwepo nisingemwamini kwa kila kitu.
lakini mwisho wa sk ni mama zetu.
tafuta kazi tena au omba mtaji ujipange kivyako japo unaweza kukaa na mwanaume mwenzako muyajenge ulipwe ujira unaostahili kisha uondoke kabisa.
pole sana.
 
Ukigundua usafiri uliopanda unaelekea mahala ambako siko cha msingi ni kushuka kituo kinachofuata mapema na utafute namna ya kwenda ulikotaka kwenda. Unavyozidi kuchelewa ndio itakugharimu zaidi
 
Mtafute mke wa huyo mume mwenza pelekea moto Hadi apate zygote.
 
Hii ni hadithi ya kufikirika chai yenye milo tamu sana ulimuoaje muoaje huyo mwanamke
 
Oya nyenyekea omba msamaha akikupa access iba kila cku milion moja u laki tano ikifika mil 30 chomoka achananae
 
Noma sana!
 

Nafiki
Mbona solution ni rahisi tu? Kusanya ushahidi, kampelekee mke wa jamaa. Halafu tulia pembeni uangalie moto unavyowaka. Wala usikimbilie kumwacha kwanza, mkaange kisawasawa malaya huyo. And usisahau kutafuta kazi ujitegemee.
 
Iba pesa kwanza halafu sepa.Wakati jnasimamia biashara ulishindwa nini kuiba? Ukisha iba kusanya ushahidi wote mpelekee mke wa huyo jamaa.Halafu mfungulie kesi ya madai atakulipa fidia ndefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…