The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,993
- 2,635
Wewe ni mlinzi? au Mtumishi wa guest/lodge au unafanya kazi bar? tuanzie hapo ili tukushauri vizuriMimi ni kijana ninaefanya kazi mahali Fulani na muda wangu wa kazi ni usiku tu....tupo wawili Mimi na mwenzangu ambae tunabadilishana zamu sasa nikiingia Mimi wateja wanakuwa wengi Hadi wananizidia uwezo lkn akiingia yeye anapata wateja wachache Hadi boss anatamka Hilo swala mbele yake na imepelekea yeye kuninunia...sasa imekaaje hii kiroho na nifanye nn ili kuepusha uadui
Hospital kama tabibuWewe ni mlinzi? au Mtumishi wa guest/lodge au unafanya kazi bar? tuanzie hapo ili tukushauri vizuri
Hospital! Usiku! Wateja?Hospital kama tabibu
Endelea kupiga kazi. Ila ata ukisifiwa mbele yake take it easy. Angalia usije ukaanza majivuno kwa mfanyakazi mwezako kwa kuwa unasifiwa. Lolote linaweza kutokea.Mimi ni kijana ninaefanya kazi mahali fulani na muda wangu wa kazi ni usiku tu na huwa tupo wawili
Mimi na mwenzangu ambae tunabadilishana zamu.
Katika zamu yangu huwa wateja ni wengi hadi wananizidia uwezo lakini akiingia yeye anapata wateja wachache hadi boss anatamka hilo suala mbele yake na imepelekea yeye kuninunia
Hii imekaaje?
Na nifanye nini ili kuepusha uadui?
Kwamba wagonjwa wanakuwa wengi kwako 😂 em jitazame vzr mkuu inawezekana ww ndo ugonjwa mwenyewe afu huyo mwenzako ndo mponyajiMuhudumu wa afya
Kha! Yaani sie tukiugua tukajazana hospitali usiku nyie mnashangilia?Muhudumu wa afya
na wewe mnunie!!Mimi ni kijana ninaefanya kazi mahali fulani na muda wangu wa kazi ni usiku tu na huwa tupo wawili
Mimi na mwenzangu ambae tunabadilishana zamu.
Katika zamu yangu huwa wateja ni wengi hadi wananizidia uwezo lakini akiingia yeye anapata wateja wachache hadi boss anatamka hilo suala mbele yake na imepelekea yeye kuninunia
Hii imekaaje?
Na nifanye nini ili kuepusha uadui?
Mm naenda kila siku wabab muhudum ana nyash.. lyajody ana hagaLabda ww n nrembo zaidi