Nifanyeje ili nisikumbwe na kichaa cha dini?

Nifanyeje ili nisikumbwe na kichaa cha dini?

Dini ni maisha soma kwanza acha kufuata matamko ya watu ,ibada ni maisha unaweza kufanya kimpango wako hata kwa siri bila kuingilia starehe za wengine.

Epuka mambo ya madhehebu huleta kiburi na majivuno mwishoe ni ubaya....Acha kufuatulia wengine kama wanapiga kelele we angaliq maisha yako.
Nakaa karibu na bar wanapiga mziki ila nasali sana ndani haswa insha na alfajiri ila sina time wala sioni kama wananiharibia kwa vile kitu na maisha yake , nasali kwangu wao wanapiga mziki eneo lao.

Kuwa mwema fuata amri zenu uone utakuwa mtu safi kabisa .
 
Amin Mungu yupo na usimtende mwenzako jambo ambalo hutaki utendewe.
tenda mema
 
Nimechoka na maisha ya dhambi sasa nataka nishike dini niwe mtu safi.
Ila ninaogopa sana kichaa cha dini, dini inaleta kichaa kibaya.

Walijitolea kwenda kufa kwa njaa ili waende mbinguni ni vichaa.

Waliokubali kuchomwa moto na Kibwetere ni vichaa.

Walioenda Airport wakitegemea wataenda Ulaya na mataifa mengine kuhubiri bila hata ya kuwa na passport, boarding pass, na visa ni vichaa.

Wanaoua wengine kwa kuwalipua mabomu na wao kujitoa muhanga ni vichaa.

Sitaki kuwa kichaa, ila nataka kuwa na mahusiano ya karibu sana na Mungu wangu.

View attachment 2859852
Kafungue msahafu blindly utapa jibu lako hapo kwa hapo.
 
Nimechoka na maisha ya dhambi sasa nataka nishike dini niwe mtu safi.
Ila ninaogopa sana kichaa cha dini, dini inaleta kichaa kibaya.

Walijitolea kwenda kufa kwa njaa ili waende mbinguni ni vichaa.

Waliokubali kuchomwa moto na Kibwetere ni vichaa.

Walioenda Airport wakitegemea wataenda Ulaya na mataifa mengine kuhubiri bila hata ya kuwa na passport, boarding pass, na visa ni vichaa.

Wanaoua wengine kwa kuwalipua mabomu na wao kujitoa muhanga ni vichaa.

Sitaki kuwa kichaa, ila nataka kuwa na mahusiano ya karibu sana na Mungu wangu.

View attachment 2859852
Seen.
 
Usishike dini, shika Imani, amini Mungu tu..

Hutashikwa na kichaa cha dini...
Mungu ni moja, hana wakala wala chawa. Principles ni moja tu. Usimtendee mwenzako kitu ambacho wewe hutaki kutendewa. Ukizingatia hilo umeokoka kutoka kwenye mambo mengi.
 
Jana usiku nilikuwa nasoma kitabu cha psychiatry,ili nipate faida kutokana na hii Discipline ya psychiqtry
Hiki kitabu kimeandikwa na emminent psychistrists:wana MD,Phd,wanafundisha katika Universities,wanafanya medical practice.
Sasa,zipo article nyingi pale,nikaanza na article ya kwanza.
Huyu psychiatrist,mwanamama,anataja category nne za vichaa.
Category tatu za kwanza sizikumbuki. Lakini category ya nne ni spiritualist,mtu wa dini,mtu ambaye ghafla ameamua yeye ana dhambi nyingi,ataadhibiwa vikali na Mungu,basi huyu mtu anasali usiku na mchana. Anasema huyu spiritualist,kwa uhakika ni kichaa.
Baada ya kuambiwa mtu wa dini ni kicha,basi,kwa huzuni,nikakiweka kando kitabu cha psychiatry.
Inawezekana kwamba hapa tunachukua mambo out of context na tunaanza kusema psychiatrists wanawaita watu wa dini vichaa. But this is what was written.
Natamani hapa ningeweza kuweka nukuu,lakini ninazo document nyingi,poorly filed,nashindwa kuipata ile document.
 
Kuwa Muislam ndio utakuwa na uhakika na Mungu wako , dini yako na Imani yako

Zaidi ya hapo unaweza kuwa kichaa kweli
kwani akuna waislam walio chizika na dini
 
Kuwa Muislam ndio utakuwa na uhakika na Mungu wako , dini yako na Imani yako

Zaidi ya hapo unaweza kuwa kichaa kweli
Kuna wale waislamu wafia dini huwa nakutana nao wanatembea juani na akili zao kama zimeruka
 
Kwenye Uislamu kuna watu wanaitwa Dar-wesh au daruwesh. Hao watu dunia kwao waliishaitupa. Dunia ina vituko hii? Madaruweshi ni kama nati zimekata kwa sababu ya dini.
 
Back
Top Bottom