Nifanyeje ili taarifa zangu muhimu zilizopo ndani ya simu zisiingie mikononi mwa mtu pindi ikiibiwa?

Nifanyeje ili taarifa zangu muhimu zilizopo ndani ya simu zisiingie mikononi mwa mtu pindi ikiibiwa?

Idrissou02

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2018
Posts
354
Reaction score
656
Mimi ni mdau mkubwa wa kusevu taarifa mbalimbali kwenye account yangu ya google.

Ninahofia sana kipindi nikipoteza simu, watu watakua na uwezo wa kuona taarifa mbalimbali nilizosevu kwenye akaunti ya google ikiwemo mpaka password za kuingia kwenye mitandao mbalimbali.

Hivi je kuna usalama kweli nikisevu taarifa zangu uko, au njia gani nifanye kuzilinda zaidi?
 
Ni salama,huyo alieiba simu atawezaje kufungua account yako ya google bila kuwa na password,cha muhimu ni kutunza password yako,labda kama sijakuelewa vizuri...
 
Ni salama,huyo alieiba simu atawezaje kufungua account yako ya google bila kuwa na password,cha muhimu ni kutunza password yako,labda kama sijakuelewa vizuri...
Asante nilidhani watu wana hack izo password maana nimeshaskia kesi km izo before
 
bongo taarifa hatari kwako na ambazo zinaweza kutumika vibaya na aliyeiba simu yako ni picha zako za utupu au mwenzi wako kama zitapatikana,vingine wala hawatahangaika navyo.

wakiiba simu wakafanikiwa kuireset,kifuatacho ni kuiuza au kuitumia.
 
Download app ya Dropbox unahifadhi makorokocho yote unatia pini simu ikipotea popote Kazi ya yako unadownload then unaweka password taarifa zako unazikuta.
Ngoja nidownload maana ni msahaulifu itanifaa kuhifadhi vitu
 
Umetunza kwenye google account. Google account inamilikiwa na watu.
Halafu hutaki taarifa zako ziende mikoboni mwa watu!!! Huoni kanuni zinapingana? Kifupi google team wanakujua sana na hata yale unayo dhani unayajua mwenyewe
 
Ngoja nidownload maana ni msahaulifu itanifaa kuhifadhi vitu
Hio app inasaidia sana na nzuri niliona hata hapa Jf kwenye uzi wa kusewa screenshots za app unatumia nikaona wadau wengi wanayo.

Kusevu vitu ni muhimu sana mimi mpk leo najuta simu yangu iliyoibiwa nilikuwa najivuta kusevu picha na vitu vingine muhimu mpk ajali ilipotokea nikawa nimepoteza vitu muhimu kwa sasa nimejifunza huwa sichelewi kuhifadhi mtandaoni vitu vyangu muhimu.
 
Hata usiogope, Google, Microsoft hawa ukisave vitu vyako uhakika asilimia kubwa, mimi nikesave picha Google drive sasa ni miaka 9ziko poa tu
 
Umetunza kwenye google account. Google account inamilikiwa na watu.
Halafu hutaki taarifa zako ziende mikoboni mwa watu!!! Huoni kanuni zinapingana? Kifupi google team wanakujua sana na hata yale unayo dhani unayajua mwenyewe
Google team hawamjui kwa lolote maana yeye sio interest yao. Google ina mabilioni ya watumiaji na TB kibao za data kwa siku wanahifadhi, wafanyakazi wa Google wanakumbana na mamilioni ya watumiaji kama yeye iweje wakomae na data zake. Kwa lipi alilonalo?

Ni sawa na kuogopa kumpeleka mwanamke kwa daktari wa kinamama kisa atamuona maungo yake. Yani anaona maelfu ya nyuchi sasa uchi huu una maajabu gani mpaka ufichwe
 
Hio app inasaidia sana na nzuri niliona hata hapa Jf kwenye uzi wa kusewa screenshots za app unatumia nikaona wadau wengi wanayo.

Kusevu vitu ni muhimu sana mimi mpk leo najuta simu yangu iliyoibiwa nilikuwa najivuta kusevu picha na vitu vingine muhimu mpk ajali ilipotokea nikawa nimepoteza vitu muhimu kwa sasa nimejifunza huwa sichelewi kuhifadhi mtandaoni vitu vyangu muhimu.
Nitaiweka kwakweli
asante
 
Google team hawamjui kwa lolote maana yeye sio interest yao. Google ina mabilioni ya watumiaji na TB kibao za data kwa siku wanahifadhi, wafanyakazi wa Google wanakumbana na mamilioni ya watumiaji kama yeye iweje wakomae na data zake. Kwa lipi alilonalo?

Ni sawa na kuogopa kumpeleka mwanamke kwa daktari wa kinamama kisa atamuona maungo yake. Yani anaona maelfu ya nyuchi sasa uchi huu una maajabu gani mpaka ufichwe
Huwezi jua kwanini ana haha asije kupoteza data. Labda ni nyeti kiasi cha kuwafanya gugo watake kuona kilichomo.

Aende hapo ngome atafundishwa namna ya kuhifadhi data na namna ya kuzilinda zisiende kwenye macho ya wasio takiwa
 
Weka authentication kwenye account zako nyingi

Google wanayo pia 2FA (Two Factor Authentication) inakera kwenye matumizi lakini ni safe sana kwenye ulinzi maana Hai bypass password
 
Asante sana
Weka authentication kwenye account zako nyingi

Google wanayo pia 2FA (Two Factor Authentication) inakera kwenye matumizi lakini ni safe sana kwenye ulinzi maana Hai bypass password
 
Umetunza kwenye google account. Google account inamilikiwa na watu.
Halafu hutaki taarifa zako ziende mikoboni mwa watu!!! Huoni kanuni zinapingana? Kifupi google team wanakujua sana na hata yale unayo dhani unayajua mwenyewe
Me huwa na upload xvideos huko kuna zile kali sana afu unaeza kaa kipindi flan ukazikosa wenyewe wamefuta sasa njia sahihi ni ku upload huko
 
Me huwa na upload xvideos huko kuna zile kali sana afu unaeza kaa kipindi flan ukazikosa wenyewe wamefuta sasa njia sahihi ni ku upload huko
Aosee 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom