From experience. Nina mke na watoto 2, tumeoana miaka 7 iliyopita. Tulipendana kwa miaka 3 kabla ya kufunga ndoa. Pearl, bado una swali?? Say Happy Birth day 2 Me!!
ooh jamani!
Ukimpata mpe kama miaka miwili ajiweke tayari kindoa na umwambie kabisa amalize mambo yake kwenye hicho kipindi.
Mbona unatafuta kimya kimya?
Hebu tangaza nia tutume cv zetu.
Lazima uhakikishe umeamua kuoa. Maana kuoa ni maamuzi makubwa sana. Jiandae kifikra kabla hujafikia uamuzi huo. Tena wewe unayesema bado unatafuta, bado kabisa uko mbali. Mtafute huyo unayedhani anakufaa, kaa naye miaka 2, 3, 4 ukimtarajia kuwa ndiye mke wako mtarajiwa. Hapo utajipa nafasi wewe kuamua vizuri na yeye pia, maana siyo wewe mvulana unahitaji kuamua vizuri, na msichana naye pia anhitaji kuamua vizuri kuona kama unamfaa na yeye anakufaa. Take time no hurry in marriage!!
kaka na mie nawatafuta hao.....wapo kweli?
Jamani wanaJF leo 24 January Birthday yangu. Nakaribisha salaam za kadi, zawadi, n.k.
kaka hawa watu ni very hard to understand and at the same time very easy to understand but all in all it depends on how well you can handle them.....wala usiwe na hofu kuhusu kuoa cha msingi muombe mungu akujaalie umpate ambae mtaendana. Hizi case za mwanamke kuchakachuliwa sijui na muuza urembo mara house boy ukizifuatilia utakuta kuna a bit of weakness kwenye ndoa though sio all the time.
kaka hawa watu ni very hard to understand and at the same time very easy to understand but all in all it depends on how well you can handle them.....wala usiwe na hofu kuhusu kuoa cha msingi muombe mungu akujaalie umpate ambae mtaendana. Hizi case za mwanamke kuchakachuliwa sijui na muuza urembo mara house boy ukizifuatilia utakuta kuna a bit of weakness kwenye ndoa though sio all the time.
Kisicho riziki hakiliki,upo huku unasemanini ati?????:nono::nono:
From experience. Nina mke na watoto 2, tumeoana miaka 7 iliyopita. Tulipendana kwa miaka 3 kabla ya kufunga ndoa. Pearl, bado una swali?? Say Happy Birth day 2 Me!!
Umesema yote Mkuu hapa chini.Kwa lugha ya kitaa(Mtaani) wanasema umegonga ikulu.
kisicho riziki hakiliki,upo huku unasemanini ati?????:nono::nono:
red handed!!
happy birthday......
Ooh jina lako gumu kutamka.
Ukikojoa niite nije kukubadilisha nepi. Sawa mtoto mzuri eeh?
zis is a monday to remember
Husninyo, nitake radhi. kwa hapa penye red.
hashy vipi maendeleo lol!!!!!
Baba ushauri,ntakuandama hadi ukose raha usirudie tena........lol πlayball:πlayball: