Nifanyeje kuacha tabia ya kupenda 'totoz' niliyorithi kwa babu yangu?

Nifanyeje kuacha tabia ya kupenda 'totoz' niliyorithi kwa babu yangu?

Mdukuzii

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
2,552
Reaction score
6,422
Nimerithithi vitu vingi, mashamba na tabia nzuri kwa mbaya toka kwa babu yangu ila hili la totoz linaniumiza kichwa

Babu yangu alikuwa na wake saba na michepuko kadhaa kijijini,alizaa na wanawake za watu pale kijijini.

Nimejaribu kuwa tofauti na yeye nimeshindwa,

Mwaka juzi nilifunga hesabu kea kutembea na wanawake 32

Mwaka jana wanawake 25 mwaka huu mpaka sasa 21 hii sio trend nzuri kabisa ndio kwanza mwezi wa nane huu,
 
198351-Hot-Tea-Vapor.gif
 
Dah wee kama jamaa yanguu juzi tunapiga story kashakula nyapu 35 mwka huu Tu si mchezoo
 
Bora Babu yako amekuacha mjukuu!!!ila kwa hii ya kwako na Dunia ya sasa hutafika mbali.RIP
 
Yaani toka mwezi wa kwanza hadi huu wa 8 umekula mbunye 21 tu!!???..we jamaa mbona kama unategea!
 
Nimerithithi vitu vingi, mashamba na tabia nzuri kwa mbaya toka kwa babu yangu ila hili la totoz linaniumiza kichwa

Babu yangu alikuwa na wake saba na michepuko kadhaa kijijini,alizaa na wanawake za watu pale kijijini.

Nimejaribu kuwa tofauti na yeye nimeshindwa,

Mwaka juzi nilifunga hesabu kea kutembea na wanawake 32

Mwaka jana wanawake 25 mwaka huu mpaka sasa 21 hii sio trend nzuri kabisa ndio kwanza mwezi wa nane huu,

Huyu naye kijana wa hovyo
 
Back
Top Bottom