Nifanyeje? Mama Ntilie ni mcheshi sana kupitiliza kwangu

 
Hebu nifowadie kwanza PM, last huyu sio dogo langu kabisa hajiheshimu kama anaweza kutuma mk huyu ukimwita home sianaweza kupita na vijana wako wa kiume
anabahati sio jini mimi ila huyu angekufa kwa mateso sana
We taira upo
 
Hizi tabia niza wanawake wa iringa wengi sana huwa na tabia za kuchekea chekea wateja hata Mimi lilisha nikuta hilo ila kiunzi nilikiruka baada ya kumalizana nae kitandani. Kwa sasa hatuchekeani kabisa ni wamee tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…