Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Izogi

Senior Member
Joined
Dec 4, 2014
Posts
168
Reaction score
212
Salaam wapendwa.

Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.

Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.

Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.

Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.
 
Si useme kuwa ka hack simu yako? Maana hakuna jinsi anavyoweza kujua umeongea nini au umetuma sms gani kama hajadukua simu yako.

Hakuna dawa ya kiganga yenye uwezo huo unless kama unao ongea nao ndo wanampa umbea
 
Salaam wapendwa. Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage. Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu. Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake. Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.


Don't mind my ID name.
Una uhakika ni mchawi?

Dawa ya wachawi ipo kwa nabii mkuu jeo dev wasiliana naye kutengua uchawi wa mumeo
 
Cha kwanza kabisa inawezekana ni simu yako ndio imedukuliwa, hapo nyuma nakumbuka kuna watu walikuwa wakiwanulia simu wanawake, kilichofuata wanaenda kwa mtaalam anazidukua zivujishe taarifa, wanawake wanafurahia kupewa zawadi ya simu mpya tena kali tu bila kujua wamepewa kifaa cha kuwachunguza.. route zote zinajulikana sehemu alipoenda na muda, message zote zinaonekana, simu zote zilizopigwa na kupokelewa zinaweza kurekodiwa, call logs zinatunzwa, mda wowote simu inaweza kufunguliwa mic inase sauti, n.k. jaribu kuformat upya simu yako kila kitu endapo udukuzi ni wa kawaida, kwa uhakika zaidi ili kukabiliana na udukuzi sugu nakushauri nunua simu mpya, miaka ya

ila kama ni hicho unachodhani nikusahishe tu, Huo sio ushirikina bali ni teknolojia zetu asili za afrika, Mfano Mkwawa alikuwa na wake 10+ , Alikuwa na mtambo wake kumgundua aliechepuka, Nenda makumbusho ya Kalenga utapewa full story 🙂🙂 Huyo mme wako labda nae wamemmegea kateknolojia
 
Salaam wapendwa. Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage. Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu. Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake. Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.


Don't mind my ID name.
Humpendi. Sio ndio Mana kuwa mwili mmoja anachowaza naye anakiwaza.furahia anakupenda. Na humu atakuja kiyarudia mkiwa mmelala atayasema Tena na maoni yote.


Narudia kusema oana na mtu unayejua babu wa babu yake walikuwaje ama waliishiji
 
Salaam wapendwa. Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage. Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu. Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake. Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.


Don't mind my ID name.
NEnda Kwa mwamposa atakutegua na ukiwa mtu wa maombi hata kugusa , ila kama mdomo wako, matendo yako na ubongo wako unafanya yasiofaa Kwa mume, ndoa na uaminifu basi kakufanyia vizuri, fanyq fyongo kusudi ili akuache
 
Salaam wapendwa. Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage. Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu. Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake. Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.


Don't mind my ID name.
We ushasema mume wako, sasa privacy gani unayoitaka toka kwake
 
Back
Top Bottom