Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Na kuolewa ni kumilikiwa na kuoa ni kumiliki na kumiliki ni pamoja na kuweka guard mfano fency, CCTV camera, etcWe ushasema mume wako, sasa privacy gani unayoitaka toka kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kuolewa ni kumilikiwa na kuoa ni kumiliki na kumiliki ni pamoja na kuweka guard mfano fency, CCTV camera, etcWe ushasema mume wako, sasa privacy gani unayoitaka toka kwake
atakua na maruhani labdaSi useme kuwa ka hack simu yako? Maana hakuna jinsi anavyoweza kujua umeongea nini au umetuma sms gani kama hajadukua simu yako.
Hakuna dawa ya kiganga yenye uwezo huo unless kama unao ongea nao ndo wanampa umbea
Hiyo itakua mbaya zaidiKwanza nikusahishe tu, Huo sio ushirikina bali ni mambo ya tamaduni zetu za afrika, Mfano Mkwawa alikuwa na wake 15 hivi, Alikuwa na mtambo wake kumgundua aliechepuka, Nenda makumbusho ya Kaelnga utapewa full story 🙂🙂
Huyo hana haja tena ya kushika simu yako, Teknolojia yake ya asili ina nguvu zaidi kujua mambo yako.
Ok, back to the topic, Huyo mme wako inaonekana nae wamemmegea kateknolojia ka kudukua ama kuhack mawasiliano yako kwa njia za asili kabisa, ni heri mtu adukue simu yako kwa teknolojia ya mzungu kuliko mtu akudukue mawasiliano yako kwa njia asili.
Haijalishi una elimu gani au cheo kipi, mwenzio kashakuzidi nguvu huyo, ukae kwa kutulia bila kumkwaza, endelea kuufaidi utimamu wako kihisia lasivyo anaweza kukuchapa limbwata usione wengine zaidi yake,
BE CAREFUL !!
Personal privacy unayo mbona, yeye sio Mungu bali ni mwanadamu tu. Wengi mnatakaga freedom ya kuficha ouvuMy Personal privacy.
Ukishaolewa automatically umeuza uhuru na usiri wako. Ndio maana utalala uchi ili akikutaka airline wala kusumbuka kupunguza nguo🤣My Personal privacy.
Sio uchawi ni vipawa na kila mtu anavyo ila kuvi'cultivate ndo shughuli inapoanza asilimia 90 ya binadam tunaishi maisha ya hovyo ndo maana hivyo vipawa tunaita uchawiKwahy jamaa kaona umeshusha Uzi.
Clairvoyant clairaudience Ni uchawi tu.
Nampenda sana hadi nahisi sio akili zangu😒Humpendi. Sio ndio Mana kuwa mwili mmoja anachowaza naye anakiwaza.furahia anakupenda. Na humu atakuja kiyarudia mkiwa mmelala atayasema Tena na maoni yote.
Narudia kusema oana na mtu unayejua babu wa babu yake walikuwaje ama waliishiji
Basi sasa ukitaka kuwa salama, kwanza Restore simu yako, kisha badili password, usiweke patern weka password za maneno, character pamoja na namba. Akiendelea kujua unachoongea na watu akiwa mbali niite mbwaNdio smartphone.Huwa Inakua offline, na simu yangu huwa hashiki. InaPattern
Natamani anipende kwa kunionesha jinsi anavyonijali na sio kunionesha kuwa hanijali, hashiki simu yangu, ananiruhusu popote napotaka kwenda, hata nikienda haulizi nilipo. Hana wivu haata kidunchu. He's just careless like that. Kuna mtego wa upendo hapo au anataka tu kunichunguzaUnataka privacy aunt? kwani kuna mambo mabaya unamteta mmeo? nadhani wewe ndo wa kusaidiwa. Anaekupenda ni lazima akulinde(kwa mjibu wa vitabu vitakatifu). Mwanaume amepewa mamlaka ya kulinda miliki yake.
Hata mimi sijaona baya ikiwa hana makandokando.Personal privacy unayo mbona, yeye sio Mungu bali ni mwanadamu tu. Wengi mnatakaga freedom ya kuficha ouvu
Aaah weeh kwa haya niache tuSio uchawi ni vipawa na kila mtu anavyo ila kuvi'cultivate ndo shughuli inapoanza asilimia 90 ya binadam tunaishi maisha ya hovyo ndo maana hivyo vipawa tunaita uchawi