Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Dada we kaa kwenye kodi hivyo vipaji vipo kama ulimtaka wa kumcheat au kummudu basi umeingia chaka huo ndo ukweli sepa mapema ukatafute uhuru kwa wasiojielewa.
Kipaji sio division one ya kibaha
 
Kwanza nikusahishe tu, Huo sio ushirikina bali ni mambo ya tamaduni zetu za afrika, Mfano Mkwawa alikuwa na wake 15 hivi, Alikuwa na mtambo wake kumgundua aliechepuka, Nenda makumbusho ya Kaelnga utapewa full story 🙂🙂

Ok, back to the topic, Huyo mme wako inaonekana nae wamemmegea kateknolojia ka kudukua ama kuhack mawasiliano yako kwa njia za asili kabisa, ni heri mtu adukue simu yako kwa teknolojia ya mzungu kuliko mtu akudukue mawasiliano yako kwa njia asili, hata kufeki hautaweza.

Haijalishi una elimu gani au cheo kipi, mwenzio kashakuzidi nguvu huyo, ukae kwa kutulia bila kumkwaza, endelea kuufaidi utimamu wako kihisia lasivyo anaweza kukuchapa limbwata usione wengine zaidi yake,

Labda cha kukusaidia tu utupe kabila lake, kuna makabila mengine mbinu zao zinajulikana na zinaweza kuwa unlocked, Hivyo ingependeza uelezee katokea wapi.
Ni mMakonde mkuu
 
Anajiamini sana kwaajili ya huo mtego wake. Simu yangu huwa hashiki.
Anakupenda na anakuhitaji kwa muda mrefu sana. Nyenyekea tu. Kama unabed nae uchi privacy gani tena?

Ukifanikiwa kutengua Mtego wake ndio siku ataacha kukuamini tena na ndio siku nyumba yako itaanza kubomoka. Jichunge asijue hata kuwa umefanya jaribio hili, maana atajiuliza UNATAKA KUFICHA NINI KAMA SI USALITI!

Huyo jamaa smart sana, nanyi hiyo dawa yenu!
 
Salaam wapendwa. Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage. Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu. Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake. Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.


Don't mind my ID name.
Unataka kusaliti ndoa kwani? So Mchawi ana maono huyo. Halafu waganga sio wachawi.
 
Mtoa mada acha kuendeleza utawala dume,push back na achana na mawazo ya kishirikina, kesho acha simu yako ndani, weka silence na nenda kaongee na yeyote na akirudi msikilizie, kwangu naona ame hack simu yako au ameweka cctv ya kificho humu nyumbani mwenu, unaishi once na sio lazima kuolewa na ishi maisha yako ya furaha sio kuishi kwa ajili ya bwana,elewa upo huru to file divorce ukiona shida
 
Nampenda sana hadi nahisi sio akili zangu😒
Tulia Sasa yeye na wewe Ni mwili mmoja ,hata kichwa kilitakiwa kiwe kimoja na tumbo moja. Naye anakupenda ndio Mana ameamua kukatalia kabisa.

Nishawahi penda mpaka nikaenda kutaka kumuoa mtu bana.upendo achana naye. Huyo anakupenda mpaka ameamua kujiunganisha mind zenu ziwaze sawa jamani. Ni upendo wa Hali ya juu mno
 
Natamani anipende kwa kunionesha jinsi anavyonijali na sio kunionesha kuwa hanijali, hashiki simu yangu, ananiruhusu popote napotaka kwenda, hata nikienda haulizi nilipo. Hana wivu haata kidunchu. He's just careless like that. Kuna mtego wa upendo hapo au anataka tu kunichunguza
Jiamini na uzidi kumpenda mmeo. Look, hisia zako mbaya zinakuondolea credits kwa mmeo. Just love your husband unquestionable and then, acha atafakari yeye mwenyewe mambo mengine. Wanaum tuna mambo mengi kwelikweli.

Huenda yupo busy anatafakari nini afanye kwa ajili ya mke wake. Mpende tu, mpende tena na tena. Speak to him softly dear. Onesha utii na adabu. Atanyooka tu. Stop wasting your time on the negative side.

Mimi naamini mmeo anakupenda sana na ndio maana anakukumbusha usipotoke lakini pia anaweza kuwa muaminifu sana.
 
Ina maana ameshajua kuwa umemfungulia uzi?

Kimbilia kanisani kaombewa ukate connection ya pepo la utambuzi.
 
Jiamini na uzidi kumpenda mmeo. Look, hisia zako mbaya zinakuondolea credits kwa mmeo. Just love your husband unquestionable and then, acha atafakari yeye mwenyewe mambo mengine. Wanaum tuna mambo mengi kwelikweli. Huenda yupo busy anatafakari nini afanye kwa ajili ya mke wake. Mpende tu, mpende tena na tena. Speak to him softly dear. Onesha utii na adabu. Atanyooka tu. Stop wasting your time on the negative side. Mimi naamini mmeo anakupenda sana na ndio maana anakukumbusha usipotoke lakini pia anaweza kuwa muaminifu sana.
I hope so. Thanks.
 
Salaam wapendwa. Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage. Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu. Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake. Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.


Don't mind my ID name.
okoka,mpe yesu maisha yako.
 
Back
Top Bottom