Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Salaam wapendwa. Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage. Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu. Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake. Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani[emoji120][emoji19].
Kwaio ata ulivoandika hpa kashajua?
 
Salaam wapendwa. Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage. Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu. Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake. Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.
Kwani uliingia kwenye ndoa ukiwa bado hujamaliza kurukaruka?.

Huwa mnaitikia tu kuwa utawaepuka wengine lkn sio kwa kumaanisha ee.
Pambana na mganga wako.
Na siku ukiliwa nje imetoka hiyoo😂
 
Tulia nae ufaidi na wewe mpe script za mazungumzo yake ya siku nzima shida iko wapi na hiyo privacy unayoitaka ili ufanye nini wewe hukujua ukiolewa unakuwa chini ya milki ya mwanaume? Sasa yeye kujua script yako huoni kama mmeo anaweza vutia watalii kifupi umelalia mgodi au siyo nduguzangu?
Sina uwezo Huo wa kumwambia anayofanya
 
ushirikina or no ushirikiano au technology, divorce huyo mwanaume haraka sana ,hakuna ndoa hapo, kama unataka kuzeeka au kufa kwa stress endelea kukaa naye
Ww mponze mwenzako....ashakwambia anampenda hadi hajielewi.
 
Kwani uliingia kwenye ndoa ukiwa bado hujamaliza kurukaruka?.

Huwa mnaitikia tu kuwa utawaepuka wengine lkn sio kwa kumaanisha ee.
Pambana na mganga wako.
Na siku ukiliwa nje imetoka hiyoo😂
Sio sawa kabisa
 
Salaam wapendwa. Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage. Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu. Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake. Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.
Akianza kukwambia mambo yako mwambie shindwaa pepo
 
Mumeo hakuamimi ila anakupenda sana, na siku ukimwambia umemchoka atafurahi na kukutakia kila la kheir. Kuna tatizo kubwa ndani yako. NADHANI KATI YA WEWE NA MUMEO MMOJAWAPO NI MNAFIKI SANA.
 
Mumeo hakuamimi ila anakupenda sana, na siku ukimwambia umemchoka atafurahi na kukutakia kila la kheir. Kuna tatizo kubwa ndani yako. NADHANI KATI YA WEWE NA MUMEO MMOJAWAPO NI MNAFIKI SANA.
Anakupenda sana, na siku ukimwambia umemchoka atafurahi na kukutakia kila la kheir. Nadhani Ushamjua mnafki hapo
 
Salaam wapendwa. Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage. Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu. Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake. Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani[emoji120][emoji19].
Sasa hii hoja yako sikashajua tayari unamsema Jamii forum?
 
Kuna siku nilitoka kwenda mahali nilikuwa na mkaka jirani i swear sina mahusiano nae. Tulikuwa tunaongea tu story za kawaida. Sikuamini alipokuja kurudia some words ambazo niliongea na yule kaka
Hakuna cha ulozi wala nini uza simu badili simu utaona...anakutisha bure
 
Pole sana, ni kweli hata kama ni mume wako bado kuna personal privacy unahitaji. Haya mambo yapo, miaka ya nyuma niliwahi kukutana na mtu ambaye alikuwa kama ana pepo ndani yake na ukienda popote pale na kumjadili anafahamu kila kitu ulichomwongelea.

Suluhisho la hili ni kuombewa kwa mtumishi wa Mungu ambaye yupo vizuri. Nadhani kuna kitu anatumia kukuspy na mostly ni jini/pepo.
Inawezekana pia lipo ndani yako.

Fanya ukaombewe itakwisha hiyo. Japo pia baada ya hapo inaweza ikawa mwisho wa ndoa yenu.
 
Back
Top Bottom