Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naamini.Pole sana, ni kweli hata kama ni mume wako bado kuna personal privacy unahitaji. Haya mambo yapo, miaka ya nyuma niliwahi kukutana na mtu ambaye alikuwa kama ana pepo ndani yake na ukienda popote pale na kumjadili anafahamu kila kitu ulichomwongelea. Suluhisho la hili ni kuombewa kwa mtumishi wa Mungu ambaye yupo vizuri. Nadhani kuna kitu anatumia kukuspy na mostly ni jini/pepo.
Mkuu achana na haya Mambo yatakutesa ..... Mana utajikuta mkiwa kwa kuwa utakuwa uko tofauti na watu iwe kifikra au la na kuwa mbele ya muda.... Usitamani Hadi ujue gharama ya kuwa mtu huyo📌Hiyo naipataje mzee?
We ni wa dini gani? Ningekwambia uende ukasali kama ni wa kwetu kwenye ukristo.Salaam wapendwa.
Niende direct kwenye hili suala linalonitatiza, mimi nimeolewa na huyu mumewangu tukiwa hatujuani sana kiundani wa tabia, yani hatujapitia Courtship before marriage.
Kwasasa tumejaaliwa mtoto mmoja na tuna miaka miwili ya ndoa. Tatizo ni kwamba kila ninachofanya siku yangu nzima, au kuongea popote na yoyote huwa anajua. Na sometimes huwa anarudia maneno yaleyale ambayo mimi niliongea na either mtu anaemjua or neno lilomkwaza ktk maongezi yetu mi na uyo mtu.
Kiufupi ukoo wao wana asili ya Uganga. Lakini kimuonekano wake sikutegemea kama na yeye anaweza kuwa amerithi hayo mambo. Kiukweli nakwazika sana yeye kunijua kwa kila kitu sina privacy kwake.
Naomba msaada na ushauri nifanye nini kujitoa kwenye huu mtego wa kishirikina. Nahitaji kuwa secure niwe huru nsaidieni jamani🙏😒.
Basi nenda kanisani, kafanyiwe maombi, toa sadaka. Sali sana. You’ll be safeMkristo
Mimi siamini kwenye ulozi..uza simu anza upyaKuna siku nilitoka kwenda mahali nilikuwa na mkaka jirani i swear sina mahusiano nae. Tulikuwa tunaongea tu story za kawaida. Sikuamini alipokuja kurudia some words ambazo niliongea na yule kaka
Wewe ni mhuni tuMy Personal privacy.
Hakuna cha personal privacy wala nini?hujui ya kwamba mume na mke ni kitu kimoja / 1+1=1 acha kupapatuka kama vipi omba talaka ujikatae na privacy zakoMy Personal privacy.
Hakuna cha mtihani wala nini! Jitulize mwanamke. Mtu anayeuchungulia uchi wako kila siku unataka umfiche nini eboo!?Asante kipenzi. Ni mtihani nnao
Umeona eeh mkuu.We ushasema mume wako, sasa privacy gani unayoitaka toka kwake
Tumekujua kupitia huu uzi-Mumeo ameweka hizo program kwenye simu take maana take hakuamini kwa nini unataka sisi tukuamini kama mumeo hakuamini.Dont judge me, hunijui pliiz
Duh!! Anyway mimi sio malaya.We Dada inaonekana ni Malaya wa kimya kimya kama walivyo wanawake wengine waliolewa.Hadi mumeo kakuwekea spying app maana yake hakuamini hata kidogo,na katika Uzi wako huu inaonesha mumeo anafatilia nyendo zako na wewe hutaki akufatilie why-kama sio umalaya ni nini?
Punguza jazba sijaolewa na kakaako. Kama huna utatuzi si ulale zako tu, sio unahukumu mtu ambae humjui.Tumekujua kupitia huu uzi-Mumeo ameweka hizo program kwenye simu take maana take hakuamini kwa nini unataka sisi tukuamini kama mumeo hakuamini.
Acha umalaya,kama ndio imekushinda rudi kwenu.
Hakuna shida tunza utu wa mumeo.Mbona reply zako za makasiriko sana. Shida nini