Nifanyeje, nahisi Mume wangu ameniwekea mtego wa kishirikina

Haya mawazo na imani za kishirikina zitavunja ndoa yenu bure. Fanya uchunguzi na utafiti badala ya kutoa hitimisho la haraka
 
Asante sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏❣
 
Ishi nae vzur, wanakuaga na msaada watu km hapo pale jambo baya limepangwa juu yako au ktu kbaya kinataka kutokea kwako

Pia usiogope kuongea nae khs yy alivyo

Mtangulize Mungu kwanza
Chukua huu ushauri.
 
hakuna kiumbe hata majini hayawezi kujua unachofikiria, narudia hakuna
 
Sijawahi kucheat wala kuwaza hilo. Sipendi anavoniona kila nachofanya. I just need my privacy
Privacy ikusaidie nini,akati ulishanunuliwa kwa mahari,na umwili mmoja kaa kwa kutulia au nawew mtege
 
Unaanzaje kuolewa na mtu mshirikina? Kaa nao mbali washirikina, kama ukijiridhisha ni kweli amekufanyia mambo ya kishirikina vunja ndoa dada, Washirikina sio watu wazuri kabisa. Ni washenzi tu.
 
Mwamba kasha install mobile tracker kwenye Simu yako na ameificha huko kwenye bila vault ( Ina muonekano wa saa).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…