ukute hawakai wote na shogare anakaa kwao badoWewe subiria atakupigia kukwambia hiyo 180k ni ya kazi gani. Pengine kaunganisha na ya kodi sasa wewe jichanganye.
Sasa hapo asubiri masaa 24 kwanzaππukute hawakai wote na shogare anakaa kwao bado
π π π π πGive them an inch they'll take a yard
Give them a yard,
They'll take a mile,
Once a man, twice a child.
Everything is just for a while.
uungwana ni kumuuliza kama amekosea kuongeza sifuri ama ameamua kukupa kiasi chote hicho, usisahau kumshukuru na kumtakia mema na kumfanya awe na furaha na umuhimu wako kwake uongezeke.Habari za muda huu Wakuu,
Wakuu mimi leo nina swali hapa maana nimekutana na kitu nimeshindwa kuelewa cha kufanya.
Nimemwomba mpenzi wangu shilingi 50,000 ila akasema hana na ana 20,000/- hivyo ana nitumia lakini katika kutuma amenitumia 200,000/- π
Unashari nifanye nini?
πππnaomba hela eh80% ya Wanawake Tanzania ni 'omba omba'
Wasalaam wana JF Naomba niwasilishe utafiti wangu uchwara kuhusu hawa watu. Ni reflection ya ukweli. Katika jitihada za serikali kupunguza umasikini na kuondoa omba omba hili kundi haliangaliwi, yaani wanawake na akina dada. Wana njaa kali na wanajitoa muhanga kwenye front zote. Wako...www.jamiiforums.com
ππππMfahamishe amekutumia zaidi ya kiasi ulichoomba, ni ustaarabu tu.
Yeye kuwa na kiasi zaidi ya alichosema sio juu yako, kila mtu ana bajeti zake.
kwa kukosea hela oke okemtego wa panya huo!!jamaa ana list yake anaangalia wife material sasa jichanganye and it is done!