Ww sio mzima kichwanisolve shida yako babe….dawa ya ubahiri mdo hiyo unless iwe ameamua
[emoji23][emoji23][emoji23]Unataka tukujibu umuonyeshe message baby ona watu walivyo wagombanishi.
😂Unataka tukujibu umuonyeshe message baby ona watu walivyo wagombanishi.
Happy New Year too dearGlad to see you sis, Happy new year.
Good answer,au mrudishie be supportive girlfriend
Mkuu inawezekana hiyo 200000 yake ni 20000 iliyobaki ya watu au ina utaratibu .Habari za muda huu Wakuu,
Wakuu mimi leo nina swali hapa maana nimekutana na kitu nimeshindwa kuelewa cha kufanya.
Nimemwomba mpenzi wangu shilingi 50,000 ila akasema hana na ana 20,000/- hivyo ananitumia lakini katika kutuma amenitumia 200,000/- 😊
Unashauri nifanye nini?
😂😂😂😔Good answer,
😉😂😂😂😔