Nifanyeje niache tabia ya kujitenga na watu?

Nifanyeje niache tabia ya kujitenga na watu?

Safi sana hiyo....kama Mr. Bean hiyo...ila ma barmaids na Dada poaz ndio wanakuwa washkaji zako sana....maana hata ukienda bar unapenda kukaa mwenyewe basi utasikia "kaka mbona kama umeboreka nipe shoti moja nikupe kampani.." kumbe mtu ulikuwa unaenjoy tu self company.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata baa kwenyewe napo siendagi
 
Hizo tabia ninazo pia, kama sina jambo muhimu la kufanya niende nje kwenye mizunguko huwa nakaa ndani siku nzima. Rafiki zangu wa kubwa ni internet, movies, vitabu na pombe.

Mara chache ninapoongea na watu, na hakikisha nazungumza vitu vyenye msingi na nilivyo nauhakika navyo. Jambo hilo limenifanya niheshimika na kupendwa sana na wanao nizunguka. Ila changamoto kubwa ipo kwa vidada vya mtaani wengi wanapenda sana kuwa karibu na mm...inawezekana wanawake wengi wanavutiwa na tabia hizi.

Kiufupi kwangu naona fresh, coz inaniepusha na vingi, hlf inanifanya niwe huru na amani zaidi...maana siruhusu changamoto kuja kirahisi ingawaje hazikwepeki.
 
Hizo tabia ninazo pia, kama sina jambo muhimu la kufanya niende nje kwenye mizunguko huwa nakaa ndani siku nzima. Rafiki zangu wa kubwa ni internet, movies, vitabu na pombe.

Mara chache ninapoongea na watu, na hakikisha nazungumza vitu vyenye msingi na nilivyo nauhakika navyo. Jambo hilo limenifanya niheshimika na kupendwa sana na wanao nizunguka. Ila changamoto kubwa ipo kwa vidada vya mtaani wengi wanapenda sana kuwa karibu na mm...inawezekana wanawake wengi wanavutiwa na tabia hizi.

Kiufupi kwangu naona fresh, coz inaniepusha na vingi, hlf inanifanya niwe huru na amani zaidi...maana siruhusu changamoto kuja kirahisi ingawaje hazikwepeki.
Rafiki zangu wa kubwa ni internet, movies, vitabu na pombe..



Hauko peke yakooo mkuu. Yanii mimi siku nikiwa na mzukaa basii nachukua pc najiiungaa bundle langu na k vant ndogo najifunzaa vitu vipyaa,mpaka akilii ina sema basiii.
 
Back
Top Bottom