Ni bora kabisa kujitenga. Kadri unavyokuwa mbali na wengi,ndivyo unavyokaa mbali na matatizo. Kadri unavyokuwa na marafiki wengi ndivyo unavyokaribia kupata matatizo mengi
Nashukuru mkuu, hili na mimi nimeliona sema sasa changamoto ni jinsi ya kujizoesha kwa watu usiowafahamu. Ningekua mtu wa ulabu labda ingesaidia maana wengi ningekutana nao ila sasa mimi ni mzee wa
Ondoa Ego jumapili toka nenda kwa jirani kusalimia piga stori mbili tatu rudi nyumbani. Mimi jumapili huwa nafanya hivyo.Huyu jirani yangu upande wa kushoto yeye hajaweka fensi na yupo muda kidogo hapa mtaani, kama miaka minne mitano ivi. Juzijuzi nilienda kumsalimia maana bado ni kijana kijana tukawa tunabadilishana mawazo. Aisee nilishangaa jinsi anavyofahamiana na kila mtu, watu wakipita (kuna barabara kwa mbele, kama mita 20 - 30 kutoka ilipo nyumba) lakini wanasalimia, wanapunga mikono nk. Wenye magari wanapiga honi, wanashusha vioo wanapunga mikono... kwakweli nilisikia wivu sana.
Anza kusali Jumuiya utawapata majirani wengi sanaHuyu jirani yangu upande wa kushoto yeye hajaweka fensi na yupo muda kidogo hapa mtaani, kama miaka minne mitano ivi. Juzijuzi nilienda kumsalimia maana bado ni kijana kijana tukawa tunabadilishana mawazo. Aisee nilishangaa jinsi anavyofahamiana na kila mtu, watu wakipita (kuna barabara kwa mbele, kama mita 20 - 30 kutoka ilipo nyumba) lakini wanasalimia, wanapunga mikono nk. Wenye magari wanapiga honi, wanashusha vioo wanapunga mikono... kwakweli nilisikia wivu sana.
Kama hakuna ujirani mbaya basi kuna ujirani mwema.Hayo mazoea ya kuforce unayotaka yatakuja kuleta uadui.Ushauri wangu Relax.Majirania sio suluhu ya matatizo yako.Wengi tayari wanakujua na hio inatosha.Hayo mengine taratibu tu mtajuana.Je una watoto wadogo?Kama unao basi let them find their friends kwa namna yao.Tangu nimehamia hapa mtaani ni takribani mwaka sasa umekatika. Mtaa ninaoishi ni nje kidogo ya mji ambapo watu wamejenga nyumba zao wamezungusha fensi na mageti. Pia wengi (pamoja na mimi) ni wafanyakazi ambapo mara nyingi ni watu wa kutoka asubuhi na kirudi jioni wakiwa ndani ya magari yao.
Sasa leo nimekaa nikatafakari, nikagundua kuwa zaidi ya majirani niliopakana nao upande wa kushoto na kulia, hakuna jirani mwingine ambaye walau hata namjua kwa jina. Hakuna mawasiliano ya aina yoyote kati yangu na majirani zangu, hakuna tukio lolote linalotukutanisha, na hata ikitokea mtu akapata tatizo, sidhani kama kuna mtu atajitokeza kusaidia.
Mimi naona kama hii hali sio nzuri ila nashindwa kujua nifanyeje ili kujenga ujirani mwema, hasa kwa hawa majirani wa mbali kidogo nyumba ya tatu ya nne huko?
Good advice ila asilazimishe mazoeajilipue weka ka party alika majirani wote wale na wanywe kana kwamba una birthday
[emoji3516]Tangu nimehamia hapa mtaani ni takribani mwaka sasa umekatika. Mtaa ninaoishi ni nje kidogo ya mji ambapo watu wamejenga nyumba zao wamezungusha fensi na mageti. Pia wengi (pamoja na mimi) ni wafanyakazi ambapo mara nyingi ni watu wa kutoka asubuhi na kirudi jioni wakiwa ndani ya magari yao.
Sasa leo nimekaa nikatafakari, nikagundua kuwa zaidi ya majirani niliopakana nao upande wa kushoto na kulia, hakuna jirani mwingine ambaye walau hata namjua kwa jina. Hakuna mawasiliano ya aina yoyote kati yangu na majirani zangu, hakuna tukio lolote linalotukutanisha, na hata ikitokea mtu akapata tatizo, sidhani kama kuna mtu atajitokeza kusaidia.
Mimi naona kama hii hali sio nzuri ila nashindwa kujua nifanyeje ili kujenga ujirani mwema, hasa kwa hawa majirani wa mbali kidogo nyumba ya tatu ya nne huko?
story of my lifeUkisha chagua kuweka uzio huwa Ni ngumu Sana kuwa karib na majirani. Mfano rahis angalia zile nyumba za kawaida ambazo hazina uzio kupata majiran huwa rahisi mno, mfano mtu anoashea vyombo nnje, kufulia nguo nnje. Mtu ukipita ukamkuta jiran yako mathalan anafua lazma mtasalimiana na mtapeana mbili tatu. Kila jambo katika maisha huwa na faida na hasara mkuuu.
hapo mwisho ulipomalizia, please ainisha hizo hatari za kuishi bila kufaham neighborsMkuu kama wewe ni mkristu jitahidi uwe unasali jumuiya na kwenda church huko utafahamiana na baadhi ya majirani zako mnaosali pamoja.
Pia jitahidi uwe unahudhuria shughuli za kijamii za mtaani kwako kama misiba au hata sherehe za harusi,kipaimara,kumunio zinazotokea hapo mtaani unapoishi.lazima tu utafahamiana na majirani zako.
Pia siku ukiwa off jitahidi utumie hata mda mchache kujimix mtaani,kama kufanya manunuzi kwenye maduka ya mtaani unapoishi, kaa kwenye vigrocery vya mtaani unywe hata Maji Kama sio mtumiaji wa alcoholic drinks, jitahidi uwe unakaa hata kwenye vijiwe vya mtaani sikumojamoja na pia uwe unasalimia watu wa mtaani hata Kama unagari na pia uwe unawapa lift ukikutana nao.
Kibongobongo ni hatari sana unapoishi bila kufahamu majirani zako.
Jirekebishe haraka
Utashangaa jirani na mbali zaidi wote wanakufahamu wanakuangalia tu. Nikupe incident tatu zimetokea nikajua kumbe watu wanakuchora tuHuyu jirani yangu upande wa kushoto yeye hajaweka fensi na yupo muda kidogo hapa mtaani, kama miaka minne mitano ivi. Juzijuzi nilienda kumsalimia maana bado ni kijana kijana tukawa tunabadilishana mawazo. Aisee nilishangaa jinsi anavyofahamiana na kila mtu, watu wakipita (kuna barabara kwa mbele, kama mita 20 - 30 kutoka ilipo nyumba) lakini wanasalimia, wanapunga mikono nk. Wenye magari wanapiga honi, wanashusha vioo wanapunga mikono... kwakweli nilisikia wivu sana.
Sasa mkuu janga lolote likitokea wa kwanza si jirani zako? Mfano moto huku uswazi wazimaji si majirani maanake fire hadi ifike huko ni majivu. au umeanguka ghafla nani atakupeleka hospitali,mkeo anaweza kupata shock akabaki analia tu. Majirani ni watu muhimu sana.hapo mwisho ulipomalizia, please ainisha hizo hatari za kuishi bila kufaham neighbors
You are rightMkuu kama wewe ni mkristu jitahidi uwe unasali jumuiya na kwenda church huko utafahamiana na baadhi ya majirani zako mnaosali pamoja.
Pia jitahidi uwe unahudhuria shughuli za kijamii za mtaani kwako kama misiba au hata sherehe za harusi,kipaimara,kumunio zinazotokea hapo mtaani unapoishi.lazima tu utafahamiana na majirani zako...
Kuna kijana mdogo sana amehamia hapa mtaani nyumba nzuri fensi nzuri, pesa anayo ila alijisahau akawa na madharau, Yuko bize na mambo yake tu, kuna siku alivamiwa na majambazi usiku akapiga kelele za kufa mtu hakuna aliyetoka, wezi wakachukua vitu vya thamani, asubuh ndo watu wanaenda kumpa pole.Utashangaa jirani na mbali zaidi wote wanakufahamu wanakuangalia tu. Nikupe incident tatu zimetokea nikajua kumbe watu wanakuchora tu
1.niliharibikiwa na gari mbali kidogo na home nikachukua bajaj kurudi home kutafuta alternative, yule wa bajaj akaanza kukata mitaa nikamuuliza wewe unajua unapoenda? akasema blaza si unakaa pale pako hivi na hivi...