Nifanyeje sex hainisisimui kama zamani

Angalia mkuu akili isije i ikakuelekeza ukafanya kinyume chake ili upate huo msisimko 😂😂😂😂😂😂
 
Mimi nimeamua kuacha kabisa kufanya ngono mpaka pale hali itakapoimarika tena.
 
Kijana kama una nia ya kupona hilo tatizo, nione inbox, baada ya wiki mbili tu utapona. Tatizo la kutosikia raha ya tendo kwa mwanaume linatibika Kabisa..
 
Yaani wewe unakwenda Church kwa prayers na kufunga huku unazini?Hujui Mwenyezi Mungu amekataza zinaa?Au unakwenda kupoteza muda?
 
Fanya mambo mengine.
Tena itakusaidia kuepukana na mengi kama hadi sasa utakuwa salama kiafya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…