Dam55
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 5,641
- 11,958
Kwa kweli leo acha tu nitoe yangu ya moyoni.
Kila mtu hapa JF anasababu yake ilimfanya ajiunge humu.
Kwa kusema ukweli na Mungu wangu ni shahidi, mtu aliyenipelekea kujiunga humu ulikuwa ni wewe.!
Nilikuja JF kwasababu yako ila kilichonikuta kikaniuza sana, nimevumilia na nashukuru Mungu kuwa nimeweza kwa asilimia Kubwa.
Nilijua nikijiunga humu itakuwa rahisi kupata namna ya kuwa na we karibu lakini kumbe zilikuwa ndoto za mchana kweupee.
Kwasababu kaka mkubwa ndo kesha wahi Tayari kiasi gani niliumia baada ya kufahamu hilo nashindwa hata kueleza.
Nikaamua kuweke heshima kwako na kwa kaka Mkubwa The Bold.
Ila leo naomba tu niwe muwazi mbele ya wana JF wote kuwa Mimi nilikuwa mateka wako bila wewe kujua na kamwe sikuwahi kukwambia hata siku moja na hata PM yako sijawahi kugusa yote kwa sababu ya kuheshimu na sikutaka kuwa msumbufu.
Samahani sana kama nitakukwaza kwa hili lakini nimeamua tu niweke wazi hata hivyo sina lengo la kutaka kukuharibia kwa Bro.
Kwasababu sita kufuatilia hata kidogo.
Kaka mkubwa unisamehe tu mdogo wako kwa kumpenda huyu kipenzi chako lakini sikuwa na kosa kwasababu sikuja kama ni wako.
Kwasasa nimekubali matokeo kamwe sitatia mkono wangu.
Ahsante.
Kila mtu hapa JF anasababu yake ilimfanya ajiunge humu.
Kwa kusema ukweli na Mungu wangu ni shahidi, mtu aliyenipelekea kujiunga humu ulikuwa ni wewe.!
Nilikuja JF kwasababu yako ila kilichonikuta kikaniuza sana, nimevumilia na nashukuru Mungu kuwa nimeweza kwa asilimia Kubwa.
Nilijua nikijiunga humu itakuwa rahisi kupata namna ya kuwa na we karibu lakini kumbe zilikuwa ndoto za mchana kweupee.
Kwasababu kaka mkubwa ndo kesha wahi Tayari kiasi gani niliumia baada ya kufahamu hilo nashindwa hata kueleza.
Nikaamua kuweke heshima kwako na kwa kaka Mkubwa The Bold.
Ila leo naomba tu niwe muwazi mbele ya wana JF wote kuwa Mimi nilikuwa mateka wako bila wewe kujua na kamwe sikuwahi kukwambia hata siku moja na hata PM yako sijawahi kugusa yote kwa sababu ya kuheshimu na sikutaka kuwa msumbufu.
Samahani sana kama nitakukwaza kwa hili lakini nimeamua tu niweke wazi hata hivyo sina lengo la kutaka kukuharibia kwa Bro.
Kwasababu sita kufuatilia hata kidogo.
Kaka mkubwa unisamehe tu mdogo wako kwa kumpenda huyu kipenzi chako lakini sikuwa na kosa kwasababu sikuja kama ni wako.
Kwasasa nimekubali matokeo kamwe sitatia mkono wangu.
Ahsante.