Niffah; msema kweli mpenzi wa Mungu

Niffah; msema kweli mpenzi wa Mungu

Nimetumia muda mrefu nikiwaza ni maneno gani ya kukuambia ndugu Dam55
Na hii yote ni sababu ya tone iliyopo ktk maandishi yako,umeandika kwa uchungu sana [emoji17]

Well,sina cha zaidi ya kukupa pole. Naweza kuyahisi maumivu yako kabisa.
Lakini hili lisiishie ktk maumivu pekee,naomba hili liwe fundisho kwako.
Huwa napenda msemo mmoja "Wakati mwingine subira ni kupoteza fursa"
Nikiwa na maana ya kwamba sio kila jambo linahitaji subira.

Kwanini nimesema iwe fundisho basi? Usirudie makosa uliyoyafanya juu yangu kwingine,sema...fikisha ujumbe wako kwa muhusika bila kusubiri.

Hata hivyo,usisikitike. Kila jambo hutokea au hata lisipotokea basi kuna sababu zake na kwetu sisi tunaoamini ktk Mungu tunasema huenda Mungu kakuepusha na jambo ambalo wewe hulijui.

Who knows?Huenda in real life nisingekupendeza kama ulivyopendezwa nami kupitia mwandiko wangu.

Baada ya kuyasema yote hayo basi,nikutakie kila la kheri.
Na nakuombea Mungu akupe aliye mbora zaidi ya Nifah,usisikitike wala kuhuzunika...amini Mungu ana mipango iliyokuwa bora juu yako,kila la kheri,

Nifah.
Kwa namna ulivyotiririka...salute
Kwa kweli leo acha tu nitoe yangu ya moyoni.
Kila mtu hapa JF anasababu yake ilimfanya ajiunge humu.

Kwa kusema ukweli na Mungu wangu ni shahidi, mtu aliyenipelekea kujiunga humu ulikuwa ni wewe.!

Nilikuja JF kwasababu yako ila kilichonikuta kikaniuza sana, nimevumilia na nashukuru Mungu kuwa nimeweza kwa asilimia Kubwa.

Nilijua nikijiunga humu itakuwa rahisi kupata namna ya kuwa na we karibu lakini kumbe zilikuwa ndoto za mchana kweupee.
Kwasababu kaka mkubwa ndo kesha wahi Tayari kiasi gani niliumia baada ya kufahamu hilo nashindwa hata kueleza.

Nikaamua kuweke heshima kwako na kwa kaka Mkubwa The Bold.
Ila leo naomba tu niwe muwazi mbele ya wana JF wote kuwa Mimi nilikuwa mateka wako bila wewe kujua na kamwe sikuwahi kukwambia hata siku moja na hata PM yako sijawahi kugusa yote kwa sababu ya kuheshimu na sikutaka kuwa msumbufu.

Samahani sana kama nitakukwaza kwa hili lakini nimeamua tu niweke wazi hata hivyo sina lengo la kutaka kukuharibia kwa Bro.
Kwasababu sita kufuatilia hata kidogo.

Kaka mkubwa unisamehe tu mdogo wako kwa kumpenda huyu kipenzi chako lakini sikuwa na kosa kwasababu sikuja kama ni wako.
Kwasasa nimekubali matokeo kamwe sitatia mkono wangu.

Ahsante.
 
Binadamu wengi wana hulka ya wizi. nifah angekua single wala msingemuanzishia nyuzi za kumsifia ila kisa yupo na boss wa stories baasi mnatamani kumuiba. Hapo kaweka kichwa tu mnahangaika je angeweka hii avatar uwiii
18161613_483002332091484_1267659365486166016_n.jpg
server ingejaa.

Conglats nifah upo vizuri
 
Binadamu wengi wana hulka ya wizi. nifah angekua single wala msingemuanzishia nyuzi za kumsifia ila kisa yupo na boss wa stories baasi mnatamani kumuiba. Hapo kaweka kichwa tu mnahangaika je angeweka hii avatar uwiiiView attachment 508410 server ingejaa.

Conglats nifah upo vizuri
Hahahaaaaaa asante mwaya.
 
Acha kuongea pumba, unamjua Inna ww huyo manzi ni mrembo balaa

Kwa ' Shemela ' la Kilimanjaro Nifah huyo uliyemtaja ' anasubiri ' Mkuu. Ukiona Kitu hadi GENTAMYCINE anakisifia basi jua hata kwa Mwenyezi Mungu kimeshapitishwa na kubarikiwa. JF Mwanamke ' Mnyange / Mrembo ' ni Nifah peke yake na waliobaki ni ' Makatuni ' tupu hutaki ' Kajiteke ' mwenyewe Ununio kisha ' Jitese ' halafu tuje tukuokote Mahaba beach.
 
Nimetumia muda mrefu nikiwaza ni maneno gani ya kukuambia ndugu Dam55
Na hii yote ni sababu ya tone iliyopo ktk maandishi yako,umeandika kwa uchungu sana [emoji17]

Well,sina cha zaidi ya kukupa pole. Naweza kuyahisi maumivu yako kabisa.
Lakini hili lisiishie ktk maumivu pekee,naomba hili liwe fundisho kwako.
Huwa napenda msemo mmoja "Wakati mwingine subira ni kupoteza fursa"
Nikiwa na maana ya kwamba sio kila jambo linahitaji subira.

Kwanini nimesema iwe fundisho basi? Usirudie makosa uliyoyafanya juu yangu kwingine,sema...fikisha ujumbe wako kwa muhusika bila kusubiri.

Hata hivyo,usisikitike. Kila jambo hutokea au hata lisipotokea basi kuna sababu zake na kwetu sisi tunaoamini ktk Mungu tunasema huenda Mungu kakuepusha na jambo ambalo wewe hulijui.

Who knows?Huenda in real life nisingekupendeza kama ulivyopendezwa nami kupitia mwandiko wangu.

Baada ya kuyasema yote hayo basi,nikutakie kila la kheri.
Na nakuombea Mungu akupe aliye mbora zaidi ya Nifah,usisikitike wala kuhuzunika...amini Mungu ana mipango iliyokuwa bora juu yako,kila la kheri,

Nifah.

Kwa ' utiririkaji ' huu kama namuona vile The bold ' mbichwa ' ulivyoongezeka ukubwa kutoka Tegeta hadi Mbagala.
 
Mkuu usijaribu kutaka kumfahamu maana utamharibia shemeji yangu the Bold, dadangu ni chombo cha ukweli.

Tunafahamiana vizuri tu ila hatuwahi kupeana ' ushirikiano ' wa ukaribu ambao ungepelekea sisi ' kubanduana ' mubashara.
 
Kwa ' Shemela ' la Kilimanjaro Nifah huyo uliyemtaja ' anasubiri ' Mkuu. Ukiona Kitu hadi GENTAMYCINE anakisifia basi jua hata kwa Mwenyezi Mungu kimeshapitishwa na kubarikiwa. JF Mwanamke ' Mnyange / Mrembo ' ni Nifah peke yake na waliobaki ni ' Makatuni ' tupu hutaki ' Kajiteke ' mwenyewe Ununio kisha ' Jitese ' kisha tuje tukuokote Mahaba beach.
achen maneno kila mtu aonyshe ushaid ili na ss tuwe na la kusema
 
Back
Top Bottom