Niffer atoa majibu baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutaka akamatwe kwa uchangishaji wa fedha kwa ajali ya maafa Kariakoo

Swali la kichovu umeona namba maalumu ya maafa imetoka, acha ufala
Wakiambiwa watanzania hata ukiwa na PhD wana ujinga ndio kama huyu yale ni maafa ya kitaifa unapenyaoenya kulazimisha watu wakuwekee
Ela kwenye account yako halafu transaction ukakopee bank au na hela ukafate mzigo hawa ndio wale wafuasi wa twakatare pale tabata anasaidia maskini kwa kuombea misaada nje na kutajirika yy
 
kwa taarifa yako bhakresa alishamwita ofisini kwake na kumpongeza, wewe na hela ya kukodi bajaj ya bolt unatoa watu huo uhanithi
🤔🤔🤔😮😮🙄🙄😅😅 Unajaribu kusemaje????
 
🤔🤔🤔😮😮🙄🙄😅😅 Unajaribu kusemaje????
niffer anaheshimika sio kama mnavyojaribu kumchafua, dangote alisema wafanyabiashara ni kama ndege ukimpnda mmoja wote wanaruka bila kujali ulimpondea nini mwenzao, kulikuwa na haja kani ya kuropoka akamatwe siangemwita na kumwambia hivyo unavyofanya sio sawa fuata utaratibu, isitoshe mbona hao hao nao hutuchangisha kwenye mimarathoni yao
 
😅😅🤣🤣😂🤣🤣😂 Anaheshimika na nani??? Yeye ni nani nchi hii.... Acheni ujinga... Watanzania amkeni huo ilikua upenyo wa kupitisha hela Chafu......... Hana chochote mjinga huyo anatumika TU na wakubwa wa.mafisadi basi.....

Soma hii 👇👇
We hujui wewe. Tulia kama maji ya mtungi.
Hizo taasisi za kidini unazoongelea ndio mlango mkuu wa money laundering Tanzania na kwinginepo.
Pamoja na watu wanaofumuka kama uyoga kama huyo Binti. Binti mdogo pesa haijulikani imekuaje.
Mfano ni huu Mangi, mnatoa sadaka(Zina audit ya serikali)???? So mapapa wa mafisadi na wezi wanatoa sadaka na michango mikubwa then kesho na keshokutwa akaunti ya kanisa inatumika kununua kiwanja au mali ya aina yeyote alafu mwisho wa siku mnufaika na mmiliki anakuwa yule papa ambaye ni mafia.... Yaani hivyo...
Haya Binti kama huyu unayemtetea anaanzisha michango na inajaa kwa haraka sana mara 1m mara 5m mara 15m ,mara 30m papa mara 50m na angeendelea ingefika labda 400m... Hapo hao mafisadi na wezi na Wala rushwa wa serikali Sasa wanasafisha hela zao kwa kumtumia Fulani we tuma 2m, wewe tuma 5m, mwingine tuma 1m... Ni slow process but sure
Then huyu Binti anaenda kwenye duka la mmoja wa Hawa mapapa ananunua mahitaji hayo Then boom the money is clean and it can go to bank au ikahusika kwenye other legal transactions.....
Hivyo hivyo kwenye hayo ma mall anafungua... Ni kupitisha hela Chafu TU..
SASA UKIWA UNAWAZA KAMA WALE.... HUWEZI JUA
 
bado hujaeleza niffer kavunja sheria ipi? ya maafa? utakatishaji fedha? ukwepaji kodi? yaani umebwabwaja tu ka mwijaku, hebu tuondolee uhanithi wako katafute hela, eti binti mdogo katoa wapi hela! nani kakwambia hela ni kama shahawa hadi ubalehe!
 
waziri mkuu alipaswa kutamka wanaochangisha fedha wasitishe na walizochangisha wazikabidhi, bila kumchafua mtu wala kumdhalilisha
 
bado hujaeleza niffer kavunja sheria ipi? ya maafa? utakatishaji fedha? ukwepaji kodi? yaani umebwabwaja tu ka mwijaku, hebu tuondolee uhanithi wako katafute hela, eti binti mdogo katoa wapi hela! nani kakwambia hela ni kama shahawa hadi ubalehe!
Ningekutukana ila Mimi ni mtu mzima na pengine hapa nabishana na kijana wangu.... Mangi hebu angalia hii Sheria......👇👇👇👇👇👇






Halafu.... Kwahiyo na wewe unapingana ma waziri mkuu????????
 
Mambo ya msingi hamuyaoni mambo madogo kama haya mnayakalia kooni 😂😂 Kazi kweli kweli
 
Naona analaumiwa mchangishaji kuliko wachangaji. Tanzania raha sana😅.

Kwa hiyo mtu hata akisema anataka kwenda Morocco mwaka kuishangilia stars achangiwe apate nauli polisi/PM watakataza pia?
 
Umeona, kwahiyo kumbe ni double standard. Hili jambo la watu kuchangisha linafanyika mda mrefu tu. Hata kina Malisa wanachangisha. Je, wana vibali vya IGP? Au sheria imeainisha aina ya majanga????
Kına Malisa wana foundation , lakini pia hawa changii maafa , wanachangia watu wenye uhitaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…