Niffer atoa majibu baada ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutaka akamatwe kwa uchangishaji wa fedha kwa ajali ya maafa Kariakoo

Kwahiyo niffer anatuaminisha hajakamatwa na kwamba polisi wamemdanganya waziri mkuu?
 
Huyu binti Ni muislamu?
 
Ignorance of the law does not afford any excuse for any act or omission which would otherwise constitute an offence unless knowledge of the law by the offender is expressly declared to be an element of the offence.

Kutokujua sheria siyo kinga, hakuna anaejali nia yako ni njema au mbaya kitakachoangaliwa ni umefata sheria au laa.
 
#UPDATES Wakati zoezi la kutoa misaada mbalimbali likiendelea Kariakoo, Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, na Uratibu. Dkt. Jim James Yonazi amewataka wananchi kuwa makini kuhusu michango inayoendeshwa ya kuwasaidia wahanga ambapo ameweka wazi kuwa akaunti inayokusanya michango ya fedha ni moja pekee na sio nyingine.

Dkt. Jim James amesema michango yote inayohusu tukio hilo inakwenda kwenye akaunti maalum ambayo ni ya serikali #EastAfricaTV
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…