Mikopo Consultant
JF-Expert Member
- Oct 28, 2024
- 529
- 1,150
Umeona, kwahiyo kumbe ni double standard. Hili jambo la watu kuchangisha linafanyika mda mrefu tu. Hata kina Malisa wanachangisha. Je, wana vibali vya IGP? Au sheria imeainisha aina ya majanga????Kuchangisha mchango lazima uwe na kibali, nadhani kinatoka Polisi. Namuonaga hata Malisa anachangisha, lakini hainyeshi kibali kinachomruhusu. Kibali huepusha matapeli kujiingiza. Nashauri mamlaka zinazohusika zitoe elimu ya kuhusu kibali.
These people are not audited, wanatangaza kiwango wanachoona kinafaa, wasichotangaza haijulikani. Let the procedure ya michango iwe properly described
Umaarufu wa mitandaoni unamuelemea anashindwa kujicontrol hakukua na haja ya yeye kupost ligazeti lirefu kujibu. Namuombea avuke salama na ajifunze kwenye hili.Mwenyewe utamsikia nimekuja mjini kusaka helaa,lol
Ofisi zao zipo wapi mkuu 😅Bongo utapeli umepewa cheo cha foundation 😂
Zipo instagram 😎Ofisi zao zipo wapi mkuu 😅
😂 dah na ilianzishwa lini?Zipo instagram 😎
Niffer ana umaarufu gani sasa?hivi ndo anatafuta kujulikana,Umaarufu wa mitandaoni unamuelemea anashindwa kujicontrol hakukua na haja ya yeye kupost ligazeti lirefu kujibu. Namuombea avuke salama na ajifunze kwenye hili.
Ni maarufu kwa namba za followers alizonazo huko mjini insta na anao ushawishi.Niffer ana umaarufu gani sasa?hivi ndo anatafuta kujulikana,
aje na hiyo Foundation uchwara yake lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ilianzishwa alipofungua akaunti yake huko insta😂 dah na ilianzishwa lini?
Hadi hili sakata lifike mwisho kuna mtu au watu kadhaa watanufaika na lile tako. Ni fursa ya wenye maamuzi kupata utelezi. Niffer anatakiwa kuelewa sio tatizo kucheza na Kasim ila ni hatari mno kucheza na Waziri Mkuu. Mungu amlaze pema hayati EL kwa kusisitiza elimu.Sasa aogope nn akati wao ndo michepoz ya watoa amri na matamko.
Nashangaa sana Mzee mzima anabishana na vitoto vya buku beeMajaliwa kaanza kujidharaulisha mwenyewe kufukuzana na kina Nifer.
Hapo nasikia harufu ya utakatishaji fedha au mchongo wa chap chap wa kuongeza annual turnover ya akaunti isaidie kwenye mambo ya kibenki.Mfanyabiashara maarufu Jennifer Jovin, anayefahamika kama Niffer, ametoa majibu yake baada ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, kumtaja katika hotuba yake ya hadhara akitaka afuatiliwe na kueleza nani aliyempa mamlaka ya kuchangisha fedha kufuatia ajali ya kuporomoka kwa gorofa la Kariakoo.
Soma: Live Updates Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Watu 7 wengine waokolewa
Kupitia majibu yake yaliyojaa shukrani na kueleza nia njema, Niffer amesema:
"Kwanza kabisa, Alhamdulillah, namshukuru sana Allah kwa kunipa nafasi ya kuiona siku ya leo. Kwa kweli, ni jambo kubwa sana kwangu kuona Waziri Mkuu wa nchi yangu ametaja jina langu mbele ya hadhara ya watu mashuhuri. Hii ni ndoto kubwa iliyotimia kwa ulimwengu wa roho."
Niffer ameeleza kuwa nia yake kuu ilikuwa kusaidia wahanga wa ajali hiyo, akisisitiza kuwa hakujua sheria zinazohusiana na uchangishaji wa fedha kwa ajili ya mafaa kama hayo. Ameeleza:
"Nilikuwa tayari tangu mwanzo kutoa ushirikiano kwa Serikali na jamii kwa ujumla. Niliomba muongozo kutoka kwa Mkuu wa Mkoa kabla ya kuanza zoezi hili. Ninaamini nia yangu haikuwa mbaya, na kupitia changamoto hii, nimeona umuhimu wa kuwa na taasisi inayotambulika rasmi, Niffer Foundation."
Waziri Mkuu Majaliwa, wakati akizungumza eneo la Kariakoo, alisisitiza kuwa hakuna mtu anayepaswa kuchangisha fedha bila kibali maalum kutoka serikalini na akatoa agizo kwamba Niffer atafutwe ili aeleze ni nani aliyempa mamlaka hiyo.
Soma, Pia: Jeshi la polisi tayari limempata Niffer kwa kuchangisha michango ya wahanga wa Kariakoo
Baada ya agizo hilo, taarifa zilitolewa kuwa Niffer ameshapatikana na yuko tayari kushirikiana na mamlaka husika.
Inaitwa 'win win situation', anaowasaidia wanafaidika naye pia anafaidika mjini shule. Thinking, planning and manoeuvring properly is the order of the game.Dada mjanja sana huyu. Atafika mbali
Hizo hela alikuwa anaenda kuwasaidia wahanga.. huku na yeye anafaidika
Amefukuzana wapi hapoMajaliwa kaanza kujidharaulisha mwenyewe kufukuzana na kina Nifer.
Maelekezo 7ūWazee wa teeth hilo watalielewa kweli?
This is a logical non sequitur fallacy.Amefukuzana wapi hapo
Endeleeni kutuma hela tu
Hiki hapa kitengo cha maafaChizi huyo wamfundishe adabu anaaibisha kitengo cha maafa
Na wamechanga kweli kweli. Ndio maana Wazee WA 'Tuma kwenye namba hii' hata wakamatwe hawaachi maana kuna watu wanawashwa na hela wakiambiwa watume wala hawawazi mara mbili 🤣🤣Wapumbavu ni wachangaji michango ya uchochoroni