Kungekuwa na sheria za wazi na zinazojulikana kuhusu fundraising.
Mfano, kuna nchi zinataka mtu anayechangisha awe na foundation na awe anaripoti mapato na matumizi wazi kwa taasisi ya kukusanya kodi na kwa wananchi.
Ni kweli kwamba kutojua sheria si excuse ya kuvunja sheria, lakini pia, sheria isiyojulikana ikivunjwa ni rahisi kwa wananchi kumuonea huruma aliyevunja sheria.
Zaidi, jamii yetu imekaa kuhukumiana zaidi ya kusaidiana. Mtu kama Niffer angeunganishwa tu katika efforts za serikali za kukusanya michango.