pandagichiza
JF-Expert Member
- Jul 9, 2013
- 5,248
- 3,663
Labda huwa wanaomba vibaliUmeona, kwahiyo kumbe ni double standard. Hili jambo la watu kuchangisha linafanyika mda mrefu tu. Hata kina Malisa wanachangisha. Je, wana vibali vya IGP? Au sheria imeainisha aina ya majanga????
Wivu tu ulikuwa unawasumbua.Huyu dada alikwishalalamikiwa sana na wafanya biashara wa Kariakoo kwa kuwharibia biashara zao.
Ni wakati sasa TRA waruke naye kuangalia kama analipa kodi ya mapato
Ngoja tuone itakuajeMamlaka bila meno, kibongobongo 'timu' ni muhimu kuliko mamlaka. Wale wote ambao ni timu Bi Urojo kwa sasa ni untouchables, just wait and see. Kama ushasikia maajabu ya sikio kuvuka kichwa, that's what's happening.
Jinga sana Niffer!! Alidhani atatapeli watu wote wakati wote??Zilipotumwa hadi jana, kwa sasa waulize PM na polisi na mkuu wa mkoa labda wameisha zichukua tayari.
Yaani tumuonee wivu tapeli?Wivu tu ulikuwa unawasumbua.
wewe ndio senge namba mmoja, niffer anakosa gani kama siobufirauni wako tuJinga sana Niffer!! Alidhani atatapeli watu wote wakati wote??
hilo danga lina kurasa zake humu wana hatuwezi ongeleaHuyu wa kushoto mwenye light blue top
View attachment 3155332
mbona alipomchangia mkaanga chips hamkusema haya yote, tena azam walimuunga mkono kwa kumpatia mifuko ya ngano na kumtembeza kiwandani kwaoTapeli huyo hapo walikuwa wanaenda kupigwa wengi sana
Na kwaninj asubiri hadi matukio yatokee ndiyo achangishe? Alikuwa wapi siku zote?
kwa taarifa yako bhakresa alishamwita ofisini kwake na kumpongeza, wewe na hela ya kukodi bajaj ya bolt unatoa watu huo uhanithiMwana umleavyo ndivyo akuavyo. Ameshazoea Kuona ................... Zao Sasa anawatunishia kifua😂😂😂🤣🤣🤣........
Nakumbuka mwamba Magufuli kule mwanza gerezani mfungwa alisema yule askari anawanyanyasa , yule askari kuulizwa anasema Magu labda amekuja ili yeye ainuliwe.... Wewe we we we kuliwaka moto.....
Sasa haka katoto nani wa kukawashia moto????
mbona crdb nbc ggm wanatuchangisha kwenye marathon zao, hela za kilimarathon zinaendaga wapi? kabla ya kudeal na niffer tuanze na crdb tbl na ggm ambao kila mwaka wanatuchangishaNakubaliana na wewe ila pia Niffer kujitwisha hiyo kazi kwenye account zinazosoma jina lake alitakiwa ajiulize mara mbili.
Kama sikosea huyo askari ndiye anayeonekana kwenye Avatar ya StuxnetMwana umleavyo ndivyo akuavyo. Ameshazoea Kuona ................... Zao Sasa anawatunishia kifua😂😂😂🤣🤣🤣........
Nakumbuka mwamba Magufuli kule mwanza gerezani mfungwa alisema yule askari anawanyanyasa , yule askari kuulizwa anasema Magu labda amekuja ili yeye ainuliwe.... Wewe we we we kuliwaka moto.....
Sasa haka katoto nani wa kukawashia moto????
ni sawa kuelezea hisia zake kwani upotoshaji ungezidi ukweli, ngoja tuone, na magroup ya whatsap nayo wayafanyie kazi sawa na wanavyo deal na katoto, hivi kweli murilo anahangaika na kasichana ka miaka 25 tena kauza vipodizi kweli,Umaarufu wa mitandaoni unamuelemea anashindwa kujicontrol hakukua na haja ya yeye kupost ligazeti lirefu kujibu. Namuombea avuke salama na ajifunze kwenye hili.
Acha sheria ichukue mkondo wakeni sawa kuelezea hisia zake kwani upotoshaji ungezidi ukweli, ngoja tuone, na magroup ya whatsap nayo wayafanyie kazi sawa na wanavyo deal na katoto, hivi kweli murilo anahangaika na kasichana ka miaka 25 tena kauza vipodizi kweli,
wakwamwaposa huwaoni? waliokuwa wanachangishwa lakitano na mkongoman wao je?Watanzania wengi ni wajinga jinga sana Kuna mtu yuko tayari ashinde njaa ili tu amchangie nifer , wajinga ndio waliwao japo mie naona hamna kesi hapo maana huyo nifer ni timu Moja ya waimba mapambio ya mama anaupiga mwingi
ni ujinga tu ku deal na kasichana ka miaka 25, najua huyo mkubwa hili janga nimemkwaruzaAcha sheria ichukue mkondo wake
Sheria ziko tofauti. Kuna ya majanga, NGO na ya serikali za mitaa nadhani. Zinatoa muongozo wa jinsi ya kuchangisha au kutoa msaada.Umeona, kwahiyo kumbe ni double standard. Hili jambo la watu kuchangisha linafanyika mda mrefu tu. Hata kina Malisa wanachangisha. Je, wana vibali vya IGP? Au sheria imeainisha aina ya majanga????
Hujapata maswaibu , ccmu umefanikiwa kuharibu vichwa vyenu , wao ndo chanzo Cha yote haya ila hapa wanajifanya wapo na nyinyaanzishe foundation kwa ajili ya kuchangisha tu kwenye matukio, au sijamuelewa Jeni