Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

Binafsi nilishawahi kuletewa simu ndogo kutoka Kenya,kipindi hicho 1000 ya Kenya ni 18,500-19,500 na nikiileta Tanzania nauza 45,000. Nikaaona iwe biashara Kila nikiletewa pesa yote naagizia mizigo. Mwisho wa siku nikakata passport ya east and central emergency travel document. Kwa week nilikuwa Nina uwezo wa kwenda Kenya Mara tatu,Dar-Nairobi,Hata majirani hawakuamini walijua natumia ndege lakini ilikuwa basi. Nairobi nilikuwa nakaa dk 45 tu nishafunga mizigo nageuza Tanzania. KABLA mwezi haujaisha nikawa Nina milioni sita. Ila short cut mbaya. Tauteni halali na mlipe Kodi kwa Kaisari au uwe unakula na kina Zakayo mkata ushuru Bila ya hivyo!!!!!!!!!!!!! Story ndefu na Mimi sio mwandishi MZURI
 
wakati mnalalamika yanga kaonewa....mamelod wamesonga, na ile tuu kufika nusu finale kuna mshiko mnono.... dunia ndivyo ilivyo....so mtaji wa 40sauzandi now ana 150m.....wacha tupige kellele ila matokeo ndio hayo.....Niffer kongole kwako.....maisha ni mbinu tuu......ukifuata mstari utafutika huko mbele....
 
Hadi Marehemu liyumba yule gavana wa benki . Pia dogo janja janjaro kafumua marinda.

King Kong III
 
Hizi story za, wadada wa bongo, hazinaga uhalithia hata kidogo,
Kuna Yule mdsda alikuwa anahitisha mikutano anawakusanya wanawake, wasichana anawapa madini ya lo motivational jinsi ya kutengeneza pesa,akijitolea mfano jinsi ye ye alivyofanikiwa, kumbe, nyuma ya pazia ye ye na mumewe, wanauza, "unga" Cocaine, sasa hv ananyea debe lupango, Mali zote zilitaifishwa,
Watu wa kusikiliza ni wale wanaofanya biashara zinazoonekana, Lady jayd,shilole, au, Freddy vunja bei, ukisikia wanamiriki bilioni 500,wala, hushangai! Maana, biashara zao, zinaonekana, lakini hawa, ambao wanaibuka ghafra,mwaka mmoja alikuwa, hafahamiki, ghafla Leo Ana mijengo, mindinga nk! Hapo, utakuta ni danga la waziri,
 
Mim pia nilianza na nyoya la kuku saizi nina kuku 1700 bandani, naingiza zaidi ya million 30 Kwa mwezi...

Vijana tafuteni pesa, ajira hakuna ila kazi zipo ....
Kazi, si kazi, tu, inahitqjika, yenye kuingiza maokoto, na ndio ajira, hata kutembea kutoka bagamoyo au chalinze mpaka posta dar, au masasi mpaka nachingwea, au tinde mpaka kahama, ushirombo, kagongwa, ni kazi, lakini sio, ajira,
 
Hawakukata rufaa hawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…