Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐞𝐬𝐭𝐢𝐧𝐠Hivyo huwa vinafichwa na hii sentensi "bidii na kumuomba Mungu tu"
Kwenye kila mafanikio kuna uchafu Fulani hufunikwa na kaniki nyeusi tii usionekane
Sent using Jamii Forums mobile app
Kashajionea wanaombea anguko lake𝐊𝐚𝐰𝐚𝐜𝐡𝐚𝐧𝐠𝐚𝐧𝐲𝐚 𝐰𝐚𝐥𝐞 𝐰𝐚𝐥𝐢𝐨𝐬𝐞𝐦𝐚 𝐓𝐑𝐀 𝐧𝐝𝐢𝐨 𝐳𝐞𝐧𝐠𝐰𝐞
𝐧𝐚 𝐢𝐥𝐞 𝐩𝐨𝐬𝐭 𝐤𝐚𝐟𝐮𝐧𝐠𝐚 𝐜𝐨𝐦𝐦𝐞𝐧𝐭𝐬, 𝐦𝐛𝐢𝐯𝐮 𝐧𝐚 𝐦𝐛𝐢𝐜𝐡𝐢 𝐚𝐧𝐚𝐳𝐢𝐨𝐧𝐚
𝐊𝐢𝐤𝐮𝐥𝐚𝐜𝐡𝐨 𝐤𝐢 𝐧𝐠𝐮𝐨𝐧𝐢 𝐦𝐰𝐚𝐤𝐨
𝐀𝐦𝐞𝐩𝐢𝐠𝐚 𝐚𝐦𝐛𝐮𝐬𝐡 𝐫𝐚𝐢𝐚 𝐰𝐞𝐧𝐠𝐢 𝐬𝐚𝐧𝐚 𝐦𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨𝐧𝐢 𝐢𝐥𝐢 𝐚𝐣𝐮𝐞 𝐰𝐚𝐤𝐰𝐞𝐥𝐢 𝐧𝐚 𝐰𝐚𝐨𝐧𝐠𝐨
Mimi bado nampongeza Niffer hata kama anadanga lkn ana akili. Wangapi wanadanga hawana lolote yeye kajua kujiongeza, hizo pesa angewea kutumia kweye starehe na mambo yasiyo na maana lkn kaamua kufanya kitu na hata anaemuhonga mwenyewe anaona hapa sijaokota kichwa tupu.Kumbe ni nguvu ya Kipochi manyoya...
Ila amejua kulenga penye hela, maana wenzao akina Wema hawana hata Duka la kuzugia hapo Sinza [emoji119]
Umesema sahihi MkuuMimi bado nampongeza Niffer hata kama anadanga lkn ana akili. Wangapi wanadanga hawana lolote yeye kajua kujiongeza, hizo pesa angewea kutumia kweye starehe na mambo yasiyo na maana lkn kaamua kufanya kitu na hata anaemuhonga mwenyewe anaona hapa sijaokotota kichwa tupu.
Unaona sasa, yaani Niffer apewe tu hongera zake ana akili ya kujiongeza.Umesema sahihi Mkuu
Hata katika maisha ya kawaida ni nadra sana kukuta video vixen wanaojitambua.
I once dated miss Mkoa fulani for almost 2 yrs, yule binti alikuwa ni empty set
Unaweza kumpa hela nzuri tu, lakini baada ya Siku mbili anakwambia hela hana, yote ameenda kununulia Kucha/mawigi na other accessories kuhusiana na urembo [emoji119]
Ni kama wanaishi bila malengo kwenye hii Dunia.
Unamwambia, sasa hebu tusaidiane kubuni biashara uweze kufanya kwaajili ya maendeleo yako binafsi, she doesn't care
Role mode wake eti Kajala, anasema mbona yupo kwenye 40+ lakini still anaonekana hajazeeka
Nikamtania, unajua Mtaani Kuna mabinti wa Mwaka 2003, warembo hao balaa [emoji12]
Akaninunia
Of course apewe Maua yakeUnaona sasa, yaani Niffer apewe tu hongera zake ana akili ya kujiongeza.
Hata mimi nilianza na mtaji wa elfu 50 nikawa nanunua majeneza used ya wizi nayapaka rangi nauza upya lakini sasa hivi mradi umekuwa mkubwa kiasi kwamba nimekuwa msambazaji mkubwa wa majeneza ndani na nje ya nchi!
Mlimbwende kunako kiwanda cha Utangazaji, Mjasiriamali na mwanamitandao maarufu Bongo, Niffer Jovin, maarufu kama "Niffer" amefunguka namna alivyohaha kujitafuta hadi kufikia mafanikio makubwa akiwa na umri mdogo.
Niffer ambaye ametimiza miaka 24 mwaka huu, amesema safari yake ya kuutwaa utajiri haikuwa rahisi kama watu wanavyodhani, amesema yeye ni miongoni mwa watu waliotokea katika familia za kimasikini ambazo asubuhi unalazimika kula maembe badala ya kunywa chai, mrembo huyo amesema amewahi kwenda shule bila viatu, amewahi kupigwa kisa tu kukosa sabuni ya kufulia sare zake za shule, lakini pia alikuwa akimuona mama yake namna alivyokuwa anawahangaikia ili wapate chochote kitu na wakati mwingine alikosa kabisa, amesema hiyo ndiyo ilimpa chachu ya kuyasaka mafanikio kwa udi na uvumba ili asipite walimopita familia yake.
Kama ulikuwa unadhani mtaji wa duka kubwa la Niffer "Niffer Outfitstore" lilianza na mtaji wa mamilioni kadhaa unajidanganya, mpambaji huyo amesema hakuanza na mtaji wa milioni, laki moja wala elfu 50, amesema alianza na elfu 40 pekee na haijamchukua muda mrefu tayari amekuwa tajiri kwa mtaji huo mdogo wa nyanya chungu na vitunguu.
Siri kubwa ya mafanikio ya Mwanaharakati huyo wa maisha amesema ni kuwa na nidhamu na pesa, kuwa na marafiki wa kukujenga, kumuomba Mungu huku ukifanya kazi, kwani yeye wakati anajitafuta alikuwa anafanya biashara hadi saa nane, saa tisa za usiku wa manane. Muhaya huyo wa Bukoba amesema watu wanamshangaa kwa kuwa na duka kubwa akiwa na miaka 24 kwasababu hawajui namna alivyopambana kwa bidii kuyasaka mafanikio.
Amemalizia kwa kuwashauri wasichana wenye umri mdogo na wanawake ambao umri umeenda na bado wanahaha kutafuta maisha kwamba wafanye kazi kwa bidii, waache kubwabwaja mitandaoni kufatilia maisha ya watu na badala yake wautumie huo muda wauze hata pilipiii mbuzi watafika alipofika yeye.
Hongera mkuu 😄Hata mimi nilianza na mtaji wa elfu 50 nikawa nanunua majeneza used ya wizi nayapaka rangi nauza upya lakini sasa hivi mradi umekuwa mkubwa kiasi kwamba nimekuwa msambazaji mkubwa wa majeneza ndani na nje ya nchi!
Pamoja na kwamba sikumaliza hata shule ya msingi niliishia darasa la nne nikafeli (sikuwa na akili)
Lakini leo hii kampuni yangu imeajiri wasomi
Ww uliongea ni kama jambo limetokea tayari, hapa ushageuka kuwa mtabiriAnaweza kupigwa ambush akiwa katikati ya mipango yake vilevile.
Acha umaku wewe. Nipe hicho kinyeo ili ujue kama mimi ni mwanamke au la.Ww uliongea ni kama jambo limetokea tayari, hapa ushageuka kuwa mtabiri
Huu ndio uchawi, hapo ukipewa ungo na usinga tu unaanza kupaa
Hutakiwi kuwaonea wivu wanawake wenzio, na sijui kwa nn wanawake huwa hampendani.
Sijaona sababu ya kupanic na kutukana. RelaxAcha umaku wewe. Nipe hicho kinyeo ili ujue kama mimi ni mwanamke au la.
Acha upumbavu. MamaSamia2025 ni tofauti kabisa na Mama Samia. Siku nyingine punguza shobo.Sijaona sababu ya kupanic na kutukana. Relax
Unaitwa "mama samia*", Kuna mama ni mwanaume?
Btw mm sina kosa lolote, uwe ke au me but point yako ilikua hapo mwanzo
Toa location na mawasilianoKama ni kujiuza hapa nipo Temeke watoto wanatoa hole zote na ni warembo huyo Nifa anasubiri Ila bado hawajipati wala kumiliki mkwanja.
Black hustle Kama kutoa uchi ,kuuza drugs na nyinginezo bado akili yako ikiwa haipo vizuri hautoboi.
Huyu demu kajua kuwachanganya, alafu uliandika hivi ukiwa na uhakika kabisa. Kumbe dada kataka kuwa-surprise
Bongo kila mtu mjuaji, dawa ni kuwachanganya tu kama huyu alivyofanya
Siyo Mirad Ayo Mkuu...Ni Millard Ayo..Mirad Ayo anapenda hizi habari lazima akutafute