Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

Niffer: Nilianza na mtaji wa elfu 40, sasa hivi nashika hadi milioni 150

Ni kweli yani, mi nilianza na vocha ya jero tu ila sasa nina maduka matatu ya iphone mjini[emoji3]! Biashara ni imani tu jamani tusikate tamaa.

mimi nimeota tu mambo ya biashara juzi usiku, nimeweka juhudi jana tu leo ninavoongea hivi nina bilioni mbili hivo juhudi na kujituma tu na kuacha kuandika ujinga mitandaoni
 
Back
Top Bottom