Nifundisheni jinsi ya kuwaingia watu wakubwa VIP!! Sina kazi sina mchongo Nashindwa Kuongea na Maboss

Nifundisheni jinsi ya kuwaingia watu wakubwa VIP!! Sina kazi sina mchongo Nashindwa Kuongea na Maboss

Umechelewa

Connection na VIP zinaanzia shule za Chekechea mtoto asome chekechea , primary na secondary wanakosoma watoto wa ma VIP watajenga mahusiano

Mtoto wa nyoka ni nyoka mtoto wa VIP mbele ya safari ni VIP

Wewe laumu wazazi wako kukusomesha shule za Kayumba za kwenda na mfagio na kidumu

Ubahili haulipi mbele ya safari

Ukiona watu wanaishi maisha ya shida Wengine kujinyima watoto wao wasome shule nzuri unawaona mabwege na wazazi wako ona Sasa jitu Zima umezeeka unatafuta connection na VIP too late
Hii nakukatalia mkuu angalau Tz masikini...wa masikini kutoka familia duni anaweza kupanda mpaka kufikia CEO,na mtu mkubwa sana....hii ikoTz fatilia history za kina Mwana Fa,wengi ni Wa hivyo.....mtt kusoma medium siyo guarantee ya kuwa na maisha mazuri....Ingawa kama una pesa mpeleke.
 
Wakuu hapa napoongea saizi nipo dorooooo dorooo kinoma yaani moja haikai Mbili haiendi Mpaka siyo poa.

Nachangamoto ya mawasiliano.Siwezi kuwaingia watu wakubwa namaanisha maboss.
Simu yangu hapa ina no za watu wazito lakini nawaingiaje hatujuani personal.
Gear ya kuingia sina.
Kuna mmoja hapa nilimtext akajibu nilivojitambulisha hakujibu tena yaan nilipata hasira.

Personality yangu
-Hupenda kufanya mambo yangu kazi zangu kifupi nikiwa kazin nafanya kazi sinaga habar ya kujipendekeza kwa boss
-Sinaga urafiki nje ya kazi na maboss
-Sinaga maneno maneno (kama ushakuwa makazini utajua naongelea nn)

Sasa naona hii personality yangu inaniyeyusha vile
Ingia Facebook Mtafute Jamaa anaitwa Respicius F Mtakyawa atakusaidia connection ya kukutana na wakubwa.
 
Hii nakukatalia mkuu angalau Tz masikini...wa masikini kutoka familia duni anaweza kupanda mpaka kufikia CEO,na mtu mkubwa sana....hii ikoTz fatilia history za kina Mwana Fa,wengi ni Wa hivyo.....mtt kusoma medium siyo guarantee ya kuwa na maisha mazuri....Ingawa kama una pesa mpeleke.
Nimeipenda hii
 
Sasa hapo mtajuanaje
VIP ndiye aanzishe maongezi ya kujuana na wewe sio wewe na ulofa wako unaanza kuongea ohh wewe naona lafudhi au umbo lako kama wa Kabila letu Tujuane naomba namba wewe wa kwetu kabisa

Lofa hawezi omba namba ya VIP

VIP ndie humpa namba lofa akijisikia
Maskini marufuku kuomba namba ya Tajiri labda akupe mwenyewe

Uhusiano wa maskini na Tajiri ,Tajiri au VIP ndie mwamuzi kuwa huo uhusiano anauhitaji au la na lofa usililazimishe akisema Hapana au akiwa haulkujibu hata meseji kaa mbali naye pambana na Hali yako hakutaki kuwa karibu naye
 
VIP ndiye aanzishe maongezi ya kujuana na wewe sio wewe na ulofa wako unaanza kuongea ohh wewe naona lafudhi au umbo lako kama wa Kabila letu Tujuane naomba namba wewe wa kwetu kabisa

Lofa hawezi omba namba ya VIP

VIP ndie humpa namba lofa akijisikia
Maskini marufuku kuomba namba ya Tajiri labda akupe mwenyewe

Uhusiano wa maskini na Tajiri ,Tajiri au VIP ndie mwamuzi kuwa huo uhusiano anauhitaji au la na lofa usililazimishe akisema Hapana au akiwa haulkujibu hata meseji kaa mbali naye pambana na Hali yako hakutaki kuwa karibu naye
sawq meseji delivered mkuu
 
Tusene unataka kua chawa si ndiyo? Mfollow Mwijaku kazi ndogo hiyo.
 
Wakuu hapa napoongea saizi nipo dorooooo dorooo kinoma yaani moja haikai Mbili haiendi Mpaka siyo poa.

Nachangamoto ya mawasiliano.Siwezi kuwaingia watu wakubwa namaanisha maboss.
Simu yangu hapa ina no za watu wazito lakini nawaingiaje hatujuani personal.
Gear ya kuingia sina.
Kuna mmoja hapa nilimtext akajibu nilivojitambulisha hakujibu tena yaan nilipata hasira.

Personality yangu
-Hupenda kufanya mambo yangu kazi zangu kifupi nikiwa kazin nafanya kazi sinaga habar ya kujipendekeza kwa boss
-Sinaga urafiki nje ya kazi na maboss
-Sinaga maneno maneno (kama ushakuwa makazini utajua naongelea nn)

Sasa naona hii personality yangu inaniyeyusha vile
Usjaribu kuwaingia mpja kwa moja. Anzia mbali sana na uwe na subira.

Anza kwa kujuwana na watu wao wa karibu, kama vile wanawe wa rika lako, au watoto wa marafiki zake wa rika lako, au hata pigania kufanya uafiki na watu wa chini walio karibu yake, kama wahudumu wa nyumbani na pofisini kwake, wafagizi wake, madereva wake na watumishi wake.

Kati ya watu hao usiwaingia kwa kutaka kumuona boss, waingie wawe marafiki zako wakukinai, kitu ambacho kitachukuwa muda, siku ya siku utakuwa unajikuta macho kwa uso na biss, kama mtu wa kawaida na akipewa intro safi na hao walifanya nao urafiki, yeye mwenyewe anakuvaa na kuuliza unachofanya, ndiyo mwanya huo.

Fursa zumejaa lakini namna ya kuzitumia ndiyo shida, tunapenda shortcut sana.

Kuwa orijino, mwaminifu, mcheshi na unaeweza kuingiliana na watu wa chini kabisa. Mtu unaomwona wa chini kabisa kwa kumlinganisha na boiss huyi huyo kwa muono wa boss ni mtu muhimu sana kwake.
 
VIP ndiye aanzishe maongezi ya kujuana na wewe sio wewe na ulofa wako unaanza kuongea ohh wewe naona lafudhi au umbo lako kama wa Kabila letu Tujuane naomba namba wewe wa kwetu kabisa

Lofa hawezi omba namba ya VIP

VIP ndie humpa namba lofa akijisikia
Maskini marufuku kuomba namba ya Tajiri labda akupe mwenyewe

Uhusiano wa maskini na Tajiri ,Tajiri au VIP ndie mwamuzi kuwa huo uhusiano anauhitaji au la na lofa usililazimishe akisema Hapana au akiwa haulkujibu hata meseji kaa mbali naye pambana na Hali yako hakutaki kuwa karibu naye
Kuna jamaa aliomba namba kwa mwenzake ambaye amemzidi kimaisha akaambiwa hii namba usipige wala kutuma text ya kawaida ila utume text kwa njia ya wasap tuu 😂 nikabaki kucheka
 
Wakuu hapa napoongea saizi nipo dorooooo dorooo kinoma yaani moja haikai Mbili haiendi Mpaka siyo poa.

Nachangamoto ya mawasiliano.Siwezi kuwaingia watu wakubwa namaanisha maboss.
Simu yangu hapa ina no za watu wazito lakini nawaingiaje hatujuani personal.
Gear ya kuingia sina.
Kuna mmoja hapa nilimtext akajibu nilivojitambulisha hakujibu tena yaan nilipata hasira.

Personality yangu
-Hupenda kufanya mambo yangu kazi zangu kifupi nikiwa kazin nafanya kazi sinaga habar ya kujipendekeza kwa boss
-Sinaga urafiki nje ya kazi na maboss
-Sinaga maneno maneno (kama ushakuwa makazini utajua naongelea nn)

Sasa naona hii personality yangu inaniyeyusha vile
[/QUOTE
Wakuu hapa napoongea saizi nipo dorooooo dorooo kinoma yaani moja haikai Mbili haiendi Mpaka siyo poa.

Nachangamoto ya mawasiliano.Siwezi kuwaingia watu wakubwa namaanisha maboss.
Simu yangu hapa ina no za watu wazito lakini nawaingiaje hatujuani personal.
Gear ya kuingia sina.
Kuna mmoja hapa nilimtext akajibu nilivojitambulisha hakujibu tena yaan nilipata hasira.

Personality yangu
-Hupenda kufanya mambo yangu kazi zangu kifupi nikiwa kazin nafanya kazi sinaga habar ya kujipendekeza kwa boss
-Sinaga urafiki nje ya kazi na maboss
-Sinaga maneno maneno (kama ushakuwa makazini utajua naongelea nn)

Sasa naona hii personality yangu inan
Wakuu hapa napoongea saizi nipo dorooooo dorooo kinoma yaani moja haikai Mbili haiendi Mpaka siyo poa.

Nachangamoto ya mawasiliano.Siwezi kuwaingia watu wakubwa namaanisha maboss.
Simu yangu hapa ina no za watu wazito lakini nawaingiaje hatujuani personal.
Gear ya kuingia sina.
Kuna mmoja hapa nilimtext akajibu nilivojitambulisha hakujibu tena yaan nilipata hasira.

Personality yangu
-Hupenda kufanya mambo yangu kazi zangu kifupi nikiwa kazin nafanya kazi sinaga habar ya kujipendekeza kwa boss
-Sinaga urafiki nje ya kazi na maboss
-Sinaga maneno maneno (kama ushakuwa makazini utajua naongelea nn)

Sasa naona hii personality yangu inaniyeyusha vile
Ogopa kujipendekeza MUNGU amekataza.......
 
Wakubwa nishakutana nao wengi tu lakin sina ukaribu nao nataka kufundishwa Dos and Dont
Atakupa ABCs zote ,alishakutana na Late Mengi na kupewa hadi Milioni 5,Pia alikjenga urafiki na aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Scout TZ,achilia mbali urafiki na wabunge na madiwani na wafanyabiashara wakubwa na pia international figures kutoka nchi mbali mbali including US,UK etc
 
Hayo maisha unayotaka kuyaishi mbona ni magumu sana,sijui lkn watu tuko tofauti,kwanza una elimu gani?una uzoefu gani?una skills gani?Je ni muaminifu kwenye kazi?Je unamawasiliano mazuri?ukiwa na hivyo vigezo hauna haja ya kutumia nguvu sana hao maboss watakutafuta tu wenyewe na kupokonyana kutaka kufanya kazi na wewe
 
Back
Top Bottom