Nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12

Mkuu angalia namna ya kuongeza hiyo 250 kwa trip kama kwa trip hiyo 1 unatumia 5mil.

Maana yake trip moja ukipata hasara ya 1mil... itakuchukuwa trip nne kurudisha faida ..
Na hapo ni kama hizo transaction zote ziende sawa bila shida
Sawa mkuu naupokea ushauri wako nitaufanyia kazi ,kwa maana ya kutafuta soko sehemu nyingine.
Wapo wanaopata faida ya 2M kwa mtaji huohuo wa 5M lakini ni baada ya miezi miwili au zaidi.sasa mimi nikaona nipate kiduchu tu Ila niwe na mzunguko mkubwa.
 
Sawa mkuu naupokea ushauri wako nitaufanyia kazi ,kwa maana ya kutafuta soko sehemu nyingine.
Wapo wanaopata faida ya 2M kwa mtaji huohuo wa 5M lakini ni baada ya miezi miwili au zaidi.sasa mimi nikaona nipate kiduchu tu Ila niwe na mzunguko mkubwa.
Ndio mkuu, jaribu kuangalia namna yakuongeza faida, kama kuna madalali kwa upande wa kununua au kuuza hapo kati au matumizi mengine ya uendeshaji wa biashara yako yasiyo ya lazima yapunguze..
Pamoja!!!!
 
Chukua tu million 8 chukua simu ndogo ndogo kwa ambazo sio smart phone,chukua na flash na memory then uwe unasambaza kwenye maduka ya kawaida utanishukuru sana.
"Maduka ya kawaida" ndio maduka gani sirajj john!? Ni maduka haya yaitwayo "ya mangi" au ni yale yanayouza simu hapo Msimbazi "round about" au maduka gani? Na hilo soko lenyewe la hivyo vifaa lipo?
 
Kopesha milioni 10 bot kwa mda wa miaka 20 au 25 inakua kama hazina yako ambapo kila mwaka wanakupa milioni 1 lakitano na kitu ukitaka kwa pamoja iyo 1.5 au kila baada ya miez 6 wanakupa laki 7 baada ya miaka 20 au 25 inakuja kucheza kwenye milioni 35+ na ile milioni 10 yako unapewa kama ilivo unakua kama umejitengenezea ki biashara chako mbadala au pesa za ada kwa watoto na kujikimu ki maisha incase main plan ikisumbua inatambulika kama treasure bonds (hatifunganii)
 
Njoo tusafirishe Mkaa kwenda Dsm na maeneo mengine
 
Kama kweli hii pesa unayo ukipewa mchongo wa kuingiza 10M ndani ya wiki mbili ama mwezi, utakubali kutoa 40% ya Faida utakayopata?
 
Kama mimi ningekuw ndiyo nin hizo hela kwa muda huu
Ningefany tafiti fast ya hawa wanaouza spea za simu,afu nikishajua namna ya kuiendesha hiyo biashara basi ningefungua ofic kweny uhitaji kwa sababu
Vifaa vya simu ni bei ndogo afu vinahitajik kila wakati mf mic,chaji system,vioo,betr,camera,nk
Hivo unawauzia mafund kwa bei ya jumla
Kwa siku unaingiza pesa nying nzuri bcs hata uhitaji ni mkubwa kibongo bongo weng wanatumia simu za kichina hazidumu
 
12 M haitoshi kutunza layers 1000
Itakata njiani, ufugaji umekua GHARAMA sana kwa sasa, labda aanze na layers 700 na aachane kwanza na mambo ya cages.pia awe na mabanda tayari nje ya hiyo 12M
Na kwa kiasi kikubwa yeye mwenyewe awe nguvu kazi.
Lakini ni biashara ambayo akifuata masharti ya ufugaji, kuzingatia huduma za chakula bora, maji safi na usafi hatapoteza pesa,
Itaanza kurudi baada ya miezi 7, na kwa mwaka wa pili atatengeneza faida.
Pili ukitaka kupotea katika ufugaji wa kuku wa kisasa ni uanze kuchanganya chakula kienyeji,
Layers kwa wiki ya tatu bado wapo kwenye starter, wiki ya 6 Ndiyo wanaanza kuchanganyiwa starter na growers mash, wiki ya 8 ndiyo wanaingia kwenye grower moja kwa moja na hiki chakula hua ni punje ndogo ndogo siyo pumba!
Anyways
Kwa ufupi ufugaji unalipa haswa kwa kuku wa mayai, lakini siyo kirahisi hivyo ulivyoandika, pia ni long-term businesse, faida ataanza kupata mwaka wa pili wa ufugaji.
 
Mbona miujiza ml12 ufungulie chuo rabda madrasa !!!
 
Mbona miujiza ml12 ufungulie chuo rabda madrasa !!!
Imagination never work, endelea kukaa hapo watu wanatajirika....kila kitu uki complicate hakiwezekani na pia unapaswa kujua juhudi zako ndio mafanikio yako... lazy people always do challenges not focusing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…