Sawa mkuu naupokea ushauri wako nitaufanyia kazi ,kwa maana ya kutafuta soko sehemu nyingine.Mkuu angalia namna ya kuongeza hiyo 250 kwa trip kama kwa trip hiyo 1 unatumia 5mil.
Maana yake trip moja ukipata hasara ya 1mil... itakuchukuwa trip nne kurudisha faida ..
Na hapo ni kama hizo transaction zote ziende sawa bila shida
Ndio mkuu, jaribu kuangalia namna yakuongeza faida, kama kuna madalali kwa upande wa kununua au kuuza hapo kati au matumizi mengine ya uendeshaji wa biashara yako yasiyo ya lazima yapunguze..Sawa mkuu naupokea ushauri wako nitaufanyia kazi ,kwa maana ya kutafuta soko sehemu nyingine.
Wapo wanaopata faida ya 2M kwa mtaji huohuo wa 5M lakini ni baada ya miezi miwili au zaidi.sasa mimi nikaona nipate kiduchu tu Ila niwe na mzunguko mkubwa.
"Maduka ya kawaida" ndio maduka gani sirajj john!? Ni maduka haya yaitwayo "ya mangi" au ni yale yanayouza simu hapo Msimbazi "round about" au maduka gani? Na hilo soko lenyewe la hivyo vifaa lipo?Chukua tu million 8 chukua simu ndogo ndogo kwa ambazo sio smart phone,chukua na flash na memory then uwe unasambaza kwenye maduka ya kawaida utanishukuru sana.
Njoo tusafirishe Mkaa kwenda Dsm na maeneo mengineSalaam Alleykhum,
Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.
Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.
Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
Nije wapi mkuuNjoo tusafirishe Mkaa kwenda Dsm na maeneo mengine
Hii business imekaaje mkuu??Invest in forex trading kil wik zaidi ya million 5
Beinya jumla ikoje, naweza kukupigia pande, ila tu uweze kusafirisha mpaka KamplaNauza popote nikishusha mzigo wangu Tazara naenda kutafuta wanunuzi wa jumla.
Kati ya watu wazurumaji ni watu wa mkaa.Njoo tusafirishe Mkaa kwenda Dsm na maeneo mengine
Kama kweli hii pesa unayo ukipewa mchongo wa kuingiza 10M ndani ya wiki mbili ama mwezi, utakubali kutoa 40% ya Faida utakayopata?Salaam Alleykhum,
Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.
Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.
Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
Biashara gani hii mkuu?Mimi mtaji wangu 5M na napata 2M kwa mwezi, kila wiki naingiza 500K
12 M haitoshi kutunza layers 1000Kaka km una kwako au kwenu eneo kubwa tuu, anza kufuga kuku wa layers kuku wale wa mayai, niamini utapiga zaidi ya hiyo milion 2 kwa mwezi ila yakupasa tu uvumilie ndan ya miez mitano hutovuna kitu ila baada ya hapo adi miaka 3 ijayo ww unavuna mamilioni.
1. Toa 2,500,000 nunua vifaranga 1000
2.Toa mil 2 uje ufungiwe cage ya kuingiza kuku 1000
3.Gharama za chanjo za siku 28 kwa vifaranga.
4.Vyakula vya kuku kuanzia starter Mash na kuendelea. Mfuko wa kilo 50 @49000 ila hapa wakishafikisha wiki tatu unaweza kuwachanganyia pumba+layers premix+layers mash
5. Vyombo vya chakula na maji.
6. Chumba maalum cha joto kwa vifaranga kwa miez 2
Yani inshort utatumia milion 7 tu mpaka kuku wanafika miezi 5 kuanza kutaga, na wakianza kutaga it means una uhakika wa kukusanya mayai 1000 kila siku iendayo kwa Mungu na hapo kuna kuku wengine wakishiba vizur wanaweza kukuangushia mayai 2 kwa siku.
Sasa chukua unakusanya mayai 1000 tu kwa siku, haya mayai 1000 ni sawa na trey 33 na mayai 10.
Trey kwa sasa ni sh 8000
Kwahiyo kwa siku 33x8000=264,000
Kwa mwezi sasa 264,000x30=7,920,000.
NB: Kwahiyo ukiwatunza vizur vifaranga kwenye chanjo, chakula braza wewe ni milionea unapiga zako Milion 7,920,000/= kwa mwezi kama faida haina tax hyo wala VAT. Na ukumbuke kuwa hawa kuku watakuwa wana uwezo wa kukutagia ndani ya miaka 3 wakichoka unawatoa unawauza nako unapiga hela kuku 1 sokoni 8000. 8000x1000= 8000,000/= baada ya miaka 3 utavuna Mil 8 km pesa yakuwauza nyama hapo umekosa nn kaka!!.
Yan ungejua mm nina shida ya milion 2 tu nitanue nitoke hapa kwny kuku 55 ambapo kwa mwez wanaingiza 440K tu.
Pia hakuna kosa kubwa kamaHao vifaranga 1000 wote watakua mitetea?
mkuu kwa sasa Chunya na kahama, wapi dhahabu inapatikana kwa wingi?Kwenye biashara ya dhahabu hiyo 12m kama eneo lina madini mengi unapata faida 3m na kuzidi kila wiki
IlikuwajeKati ya watu wazurumaji ni watu wa mkaa.
Ili upate Faida labda uwe na banda lako. Nimepoteza pesa Sana kwenye hii biashara
Lugha haipandi bwasheeBeinya jumla ikoje, naweza kukupigia pande, ila tu uweze kusafirisha mpaka Kampla
Hiyo shida sasaLugha haipandi bwashee
Mbona miujiza ml12 ufungulie chuo rabda madrasa !!!Mkuu habari za majukumu. Nimeona thread ukiuliza ufanye biashara ipi kwa milioni 12. Mimi ningependa kukushauri ufungue chuo. Biashara ya chuo inalipa sana, hivi sass wanafunzi wanaohitimu shule za kata ni wengi Sana, na asilimia kubwa hawapati Nafasi ktk vyuo vya serikali na pia wazazi wengi hawapendi watoto wao waishie kidato cha NNE. Hivyo hii ni fursa kubwa Sana. Binafsi ninafanya kazi Kama afisa masoko katika chuo kimojawapo jijini arusha pia Nina uzoefu katika haya masuala. Kwa hiyo pesa uliyonayo inatosha kabisa kuanzisha chuo bila tatizo lolote. Endapo utapenda kufanya biashara hii tunaweza wasiliana 0717051576
Mbona miujiza ml12 ufungulie chuo rabda madrasa !!!
Imagination never work, endelea kukaa hapo watu wanatajirika....kila kitu uki complicate hakiwezekani na pia unapaswa kujua juhudi zako ndio mafanikio yako... lazy people always do challenges not focusingMbona miujiza ml12 ufungulie chuo rabda madrasa !!!