Nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12

Nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa milion 12

Mkuu tuliza akili ...kupitia haya mawazo uliyopewa hapa chagua moja unaloona litakufaa ..lakini Usisahau kui invest muda wako katika project au biashara utakayoamua kuifanya na uifuatilie kwa karibu ...usiwe mtu wa kupewa report tuu .....na muhimu katika biashara au project ikiwa ktk introduction stage ni muhimu sana kuisimamia mwenyewe na sio kumuachia mtu
Dagger-V nashukuru kwa ushauri mzuri.
Kwa kuheshimu mawazo ya wengine, naomba niseme kwamba ninapitia kila ushauri uliopo hapa then nauchambua na nikikwama napiga simu kwa waliotoa ushauri ili ku-share uzoefu.
Pia niwashukuru wote ambao wamekuja mpaka inbox kunishauri, nawathamini sana.
Wadau, naendelea kupokea ushauri, nafurahi sana mnapotoa mawazo yenu, Mbarikiwe sana.
 
Binafsi me naaminiii sana kwenye uuzajii wa spea used kwa jumla na rejareja kikubwa ingia dubai na mtu ambae anazijua spea vizuriii alafu ingia popote pale Tanzania spea inalipa sanaaa kaka yani weka vitu miksa yaniii vya mechanic umeme wa magar pia ac za magari yaniii utapata zaid ya hiyo mil2 kwa mwezi ila uwe tu unauza kwa jumla na rejareja chap hyo pesa unarudisha kiongoz me naelewa sawa kuhus spare ndo maana nimechangia hoja hiiiii
Mkuu hii kitu waweza anza na minimum capital ya sh ngapi?
 
Biashara mpya kwa mtaji huo mkubwa is too much risk kama hautasimamia mwenyewe mkuu

Ila kuna option ya kununua mazao ya chakula hasa Mpunga gunia zako za kutosha na kuziweka store na inapofika kipindi cha Masika unafanya kuzikoboa gunia zako na kupata mchele wako swafi tayari kwa kuingiza sokoni kwani kipindi hicho uhitaji wa mchele unakuwa mkubwa sana hapa Dar es Salaam na Zanzibar

Minimum profit calculation

Katika centre nyingi ninazo zifahamu kwa muda huu gunia moja la Mpunga lina range kwenye TSH. 50,000/=
Hivyo basi kwa Pesa uliyonayo yaani TSH. 12,000,000, utaweza kupata gunia zenye debe sita sita 240 za mpunga na kuzihifadhi.

Kipindi ambacho Masika imechanganya hasa mwezi wa kwanza au wa pili, wewe ndo unafanya kukoboa mpunga wako ili upate mchele na gunia 1 la mpunga la debe sita linatoa debe tatu za mchele na debe moja la chenga za mchele

Hivyo basi katika zile gunia 240 unazidisha mara 3 na utapata debe 720 za mchele clear na debe 240 za chenga za mchele

Ukija sokoni debe moja la mchele lina range kwenye 35,000/= kwahyo unazidisha mara debe zako 720 za mchele na utapata kiasi cha TSH. 25,200,000/=, pia debe moja la chenga za mchele ina range kwenye TSH 10,000/= ukizidisha na debe 240 utapata kiasi cha 2,400,000/=

Total itakuwa ni Tsh. 27,600,000/= na ukitoa mtaji wako wa 12,000,000/= utapata net profit ya TSH. 15,600,000/= katika kipindi cha miezi mitano cha kuhifadhi mpunga wako

Ila ukija kutoa gharama za kuhifadhi mpunga na kukoboa haizidi TSH. 5,000,000/=,hivyo bado net profit itabaki kama 10,000,000/= katika miezi mitano yako ya uvumilivu.

Centre zenye mpunga mzuri ni kama zifuatazo Kyela, Kamsamba na kilyatundu, Usangu, Kahama ila kwa Morogoro sizifahamu vizuri

Naomba kuwasilisha na ninakaribisha maswali
Mkuu vipi unaweza recommend wapi kwa Kahama hasa mtu anaweza kupata huo mpunga? Kuna mtu ananisumbua Sana anahitaji mchele Kla
 
Mkuu, mrejesho wa faida hapa huonekana baada ya muda gani??
Inategemea unaifanyaje. Kwa mfano hiyo ya nguruwe unanunua wa miezi miwili wa kisasa unapiga msosi mzuri ambapo chakula chake ni wanga mwingi na madini ni bei rahisi kuliko cha protini ambacho wanahitaji wakiwa wadogo. baada ya miezi miwili au mmoja kwa formula maalumu unauza au uanchinja. Lets say umemnunua 150,000/= ukimtunza akazidi 100 kg unauza 380,000/= ukichinja ukauza lets say kilo ni 7,000 x 80 = 560,000/=

Au ukanunua mbegu ya kisasa wakubwa ambao hawatunzwi vizuri, choma vitamin, choma iron piga msosi vizuri, mwezi unamuweka sokoni.

Inategemea umekuja na plan gani.
 
Hata ikiwa kila ki2 humo sawa na zitatosha kwa kianzio ila profit utayopata ni kubwa sana kaa uwekezaji wa hiyo mil8 kikubwa UZA jumla na rejareja utamaliza mzigo haraka na utawahi kuchukua mzigo mwingine na ukienda kwa mara ya pili dubai unaweza pata mzigo kwa discount kubwa mno yaniii kiufupiii spare parts used haimuangushiii mtuuu tuishiii humu
Inaweza kuwa kweli lakini nadhani ushindani ni mwingi sana kwani naona Ilala yote imejaa spare hizo chini ya Wapemba ambao najua wanazipata kwa bei nafuu au "bure" au kwa msaada kutoka kwa ndugu zao huko Uarabuni na hivyo kuziuza kwa bei che! Labda uangalie chimbo jingine nje ya Dar!
 
Inaweza kuwa kweli lakini nadhani ushindani ni mwingi sana kwani naona Ilala yote imejaa spare hizo chini ya Wapemba ambao najua wanazipata kwa bei nafuu au "bure" au kwa msaada kutoka kwa ndugu zao huko Uarabuni na hivyo kuziuza kwa bei che! Labda uangalie chimbo jingine nje ya Dar!
Kwa mkoani nadhani patafaa zaidi
 
Kwa mkoani nadhani patafaa zaidi
Hasa mikoa yenye uchumi unaokua kwa kasi na yenye shughuli nyingi za kibiashara; hapa nafikiria hata mikoa ya pembezoni mwa nchi kama Mara au Kagera au Songwe na mingine ya aina hiyo au hata Kibaha kwenye mpishano wa magari mengi. Sijui nawaza kimya kimya tu!
 
Hasa mikoa yenye uchumi unaokua kwa kasi na yenye shughuli nyingi za kibiashara; hapa nafikiria hata mikoa ya pembezoni mwa nchi kama Mara au Kagera au Songwe na mingine ya aina hiyo au hata Kibaha kwenye mpishano wa magari mengi. Sijui nawaza kimya kimya tu!
Upo sawa
 
Kama ungekua na walau 20M
Ningekushauri nenda mgodini kahama/geita au Tarime
[emoji117]Nunua crusher machine(karasha) 7M
[emoji117]kodi eneo bei 60k per month(though inategemea na makubaliano yenu)
[emoji117]ingia share/agreement na wamiliki wa duara nzuri
[emoji117]nunua mawe usage na kuosha
In the next two or three months unaenda leaching plant kwa ajili ya kuozesha trust me faida utaipata nzuri tu kama ulipata mtu mzuri wa kusort mawe kwenye duara
 
Kama ungekua na walau 20M
Ningekushauri nenda mgodini kahama/geita au Tarime
[emoji117]Nunua crusher machine(karasha) 7M
[emoji117]kodi eneo bei 60k per month(though inategemea na makubaliano yenu)
[emoji117]ingia share/agreement na wamiliki wa duara nzuri
[emoji117]nunua mawe usage na kuosha
In the next two or three months unaenda leaching plant kwa ajili ya kuozesha trust me faida utaipata nzuri tu kama ulipata mtu mzuri wa kusort mawe kwenye duara

kwahiyo Mkuu hiyo 12M mgodi haitoshi mbona nasikia kuna kalasha used mpaka 4M
 
Nisipotoa maoni yangu. Ntakua najinyima na nakunyima kitu mkuu. Kwanza i was interested kuona hiyo m12. Pili i was getting more interested kadri nilivyosoma thread, ni hivi;

1. Kuna jamaa hapa kakukazia sana swala la spear used. Miminaongezea hapa both used and new. Aisee kama alivyokaza, hii biashara inalipa haswaaa. Nunua mzigo weka hata chumbani kwako utaisha tu. Market your products. Hyo return ya 2m mbona ndogo sana. Used dubai,new china. Agiza usiogope. Fanya research then ona utafanya nini bora. Kama unavyoona magari yanavyonunuliwa, ndivyo hivyo spare. Zinanunuliwa kwa wingi. In a year utapiga hata milioni 500. Ukitulia na kukazana. Hii sio mahesabu ya kusema tu. Nakwambia from experience.

2. Ukishindwa vyote chukua frame kkoo, agiza mzigo wa nguo weka iwe jeans, tshirts, tights au hata chupi. Zinalipaaaaa saaaaaaana.
agiza mzigo wako china njoo uuze kkoo. Hata milioni 20 utapiga kwa siku. Faida hapo sichini ya milioni 2 kwa siku. Kkoo ni rahisi kwa nguo. Congo tower, aggrey nk.

boss.. biashara ni kupambana na uvumilivu. Hizo kazi zote zinahitaji uvumilivu na uthubutu. Ukileta mzigo week umeisha.
 
Nisipotoa maoni yangu. Ntakua najinyima na nakunyima kitu mkuu. Kwanza i was interested kuona hiyo m12. Pili i was getting more interested kadri nilivyosoma thread, ni hivi;

1. Kuna jamaa hapa kakukazia sana swala la spear used. Miminaongezea hapa both used and new. Aisee kama alivyokaza, hii biashara inalipa haswaaa. Nunua mzigo weka hata chumbani kwako utaisha tu. Market your products. Hyo return ya 2m mbona ndogo sana. Used dubai,new china. Agiza usiogope. Fanya research then ona utafanya nini bora. Kama unavyoona magari yanavyonunuliwa, ndivyo hivyo spare. Zinanunuliwa kwa wingi. In a year utapiga hata milioni 500. Ukitulia na kukazana. Hii sio mahesabu ya kusema tu. Nakwambia from experience.

2. Ukishindwa vyote chukua frame kkoo, agiza mzigo wa nguo weka iwe jeans, tshirts, tights au hata chupi. Zinalipaaaaa saaaaaaana.
agiza mzigo wako china njoo uuze kkoo. Hata milioni 20 utapiga kwa siku. Faida hapo sichini ya milioni 2 kwa siku. Kkoo ni rahisi kwa nguo. Congo tower, aggrey nk.

boss.. biashara ni kupambana na uvumilivu. Hizo kazi zote zinahitaji uvumilivu na uthubutu. Ukileta mzigo week umeisha.
Hii thread imenipa unasiri sana mkuu. Kwa sababu unauzoefu kwenye hayo maeneo drop your contacts bro ili nikutafute unipe madini zaidi
 
Hii thread imenipa unasiri sana mkuu. Kwa sababu unauzoefu kwenye hayo maeneo drop your contacts bro ili nikutafute unipe madini zaidi
Ni watu wachache sana tunapenda kufahamika au kufahamiana humu JF ndio maana ya hayo majina ya bandia, hivyo kazana tu kuhojiana humu JF hadi kieleweke. Suala la kutoa contacts litakuja baadaye. Uliza maswali yako humu humu kweupe! Na majibu utapata bila shaka yoyote.
 
Salaam Alleykhum,

Wadau kwa kutumia uzoefu wenu, nishaurini nifungue project/biashara gani kwa mtaji wa million 12 nilionao ili kila mwisho wa mwezi at least nipate Net profit ya milioni mbili.

Nipo tayari kufanya biashara ktk mkoa wowote Tanzania au hata kama ni importation business kama mtaji unatosha nipo tayari.

Nipeni ushauri ili nami nitoboe.
nunua Toyota IST 2 kwa million 12 kila moja jumla 24.

weka uber au mpe mkataba mtu kwa miaka 3 awe analeta hela .

hela unaiona chapu
 
Nisipotoa maoni yangu. Ntakua najinyima na nakunyima kitu mkuu. Kwanza i was interested kuona hiyo m12. Pili i was getting more interested kadri nilivyosoma thread, ni hivi;

1. Kuna jamaa hapa kakukazia sana swala la spear used. Miminaongezea hapa both used and new. Aisee kama alivyokaza, hii biashara inalipa haswaaa. Nunua mzigo weka hata chumbani kwako utaisha tu. Market your products. Hyo return ya 2m mbona ndogo sana. Used dubai,new china. Agiza usiogope. Fanya research then ona utafanya nini bora. Kama unavyoona magari yanavyonunuliwa, ndivyo hivyo spare. Zinanunuliwa kwa wingi. In a year utapiga hata milioni 500. Ukitulia na kukazana. Hii sio mahesabu ya kusema tu. Nakwambia from experience.

2. Ukishindwa vyote chukua frame kkoo, agiza mzigo wa nguo weka iwe jeans, tshirts, tights au hata chupi. Zinalipaaaaa saaaaaaana.
agiza mzigo wako china njoo uuze kkoo. Hata milioni 20 utapiga kwa siku. Faida hapo sichini ya milioni 2 kwa siku. Kkoo ni rahisi kwa nguo. Congo tower, aggrey nk.

boss.. biashara ni kupambana na uvumilivu. Hizo kazi zote zinahitaji uvumilivu na uthubutu. Ukileta mzigo week umeisha.
Deal Done mkulungwa
 
biaahara ya kuhifadhi mavuno haina presha sana sawa but haina faida sana pia hawezi pata mil 2 kwa mwez
Biashara isiyo umiza kichwa ni mazao wakati wa mavuno..kama umeajiliwa kipindi cha mavuno ongea na boss chukua likizo zama shambani kanunue mazao ya chakula,sogeza mjini weka dawa na kuhifandhi store...yatakulipa,biashara nyingi za kumuachia mtu unaweza kuja kulia tu,labda awe mkeo/mumeo na awe na uchungu sana na hiyo pesa.

Usimpe pesa mtoto wako wala baba yako, labda mama mzazi.

Over
 
Back
Top Bottom